MKUTANO NA TAMASHA LA CHAUKIDU TAREHE 23 APRILI 2015 WASHINGTON DC
![](http://1.bp.blogspot.com/-EzqGRjb-irM/VPD2JE3hqqI/AAAAAAADa8I/9vuJnFEXk7w/s72-c/Chaukidu%2BFlyer.bmp)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-EzqGRjb-irM/VPD2JE3hqqI/AAAAAAADa8I/9vuJnFEXk7w/s72-c/Chaukidu%2BFlyer.bmp)
RATIBA YA MKUTANO NA TAMASHA LA CHAUKIDU TAREHE 23 APRILI 2015 WASHINGTON DC CHUO KIKUU CHA HOWARD — WASHINGTON DC
![](http://1.bp.blogspot.com/-EzqGRjb-irM/VPD2JE3hqqI/AAAAAAADa8I/9vuJnFEXk7w/s1600/Chaukidu%2BFlyer.bmp)
MUDA/ SAATUKIOWAHUSIKAMAHALA2:00-3:00ASUBUHIKuwasili, kujiandikisha kwa washiriki wa mkutano (Chai / Kahawa)Washiriki wote Howard University3:00-3:30Ukaribishaji wa WashirikiMkurugenzi wa ChaukiduHoward University3:30-4:00Ufunguzi Rasmi wa MkutanoRais wa ChaukiduHoward University4:00-5:30Kikao cha 1 – Mawasilisho ya Mada mbali mbali kutoka kwa Wanazuoni Mratibu – Leonard...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-EzqGRjb-irM/VPD2JE3hqqI/AAAAAAADa8I/9vuJnFEXk7w/s72-c/Chaukidu%2BFlyer.bmp)
TAMASHA LA CHAUKIDU TAREHE 23 APRILI 2015 WASHINGTON DC
![](http://1.bp.blogspot.com/-EzqGRjb-irM/VPD2JE3hqqI/AAAAAAADa8I/9vuJnFEXk7w/s1600/Chaukidu%2BFlyer.bmp)
Mwana DMV, nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411 (Tumaini), 301-793-2833...
10 years ago
Vijimambo23 Apr
RATIBA YA TAMASHA LA CHAUKIDU TAREHE 23 APRILI 2015 WASHINGTON DC
HOLLYWOOD BALLROOM – SILVER SPRING, MARYLAND (MUDA/SAA)12:00 - 1:00 Kuwasili kwa Wanachama na Wageni Waalikwa Washiriki Wote Hollywood Ballroom 1:15-1:25 Ukaribisho Rasmi na maelezo kuhusu CHAUKIDU Mkurugenzi wa CHAUKIDU-Dr. L. Muaka Hollywood Ballroom 1:30-2:30 CHAKULA CHA JIONI - Shairi (Anna Mwalagho)- Wimbo - Kizazi Kipya (AJ Ubao)- Kanga Fashion Show (Ma Winny) MC / Mhudumu wa Chakula / Wasanii Hollywood Ballroom 2:30-2:45 ...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NwD6p9-fkyM/VMg3oD1NbEI/AAAAAAAAH1A/RCdzK9vDd3A/s72-c/logochaukidu1.png)
Mkutano Mkuu wa CHAUKIDU na Tamasha la ukuzaji Kiswahili kufanyika Washington DC
![](http://2.bp.blogspot.com/-NwD6p9-fkyM/VMg3oD1NbEI/AAAAAAAAH1A/RCdzK9vDd3A/s1600/logochaukidu1.png)
Hayo yatafanyika hapa Washington DC.
Septemba mwaka jana nilipata fursa ya kuhudhuria mkutano wa awali uliojadili mikakati ya mkutano na tamasha lijalo.
Baada ya hapo nilipata fursa kuzungumza na viongozi wa CHAUKIDU
Dr Leornard Muaka. Yeye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chaudiku. Na ni mwalimu wa lugha katika Chuo Kikuu cha Wiston Salem jimbo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DaP7jSFixbM/VQ1nyR4J9zI/AAAAAAADdAY/aRBoUKNMo2Y/s72-c/Chaukidu_Flyer%5B1%5D.bmp)
MKUTANO NA TAMASHA LA CHAUKIDU... Mzee Ali Hassan Mwinyi Mgeni Rasmi
MKUTANO KUANZA ASUBUHI, HOWARD UNIVERSITY (9:00AM-5:00PM) NA TAMASHA JIONI HOLLYWOOD BALLROOM (7:00PM-12:00 AM))Njoo ujumuike na wapenzi wa Lugha ya Kiswahili na kupata chakula cha Kiafrika, vinywaji, burudani ya muziki kutoka kwa gwiji Master DJ Luke na maonyesho kadhaa ya wasanii, wakiwemo Anna Mwalaghona AJ Ubao, katika Tamasha la kipekee Washington DC, April 23, 2015.
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411 (Tumaini),...
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411 (Tumaini),...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Qgzctr2tdDM/VR0KTLSy4ZI/AAAAAAAC2uE/7LKCOPAOW3k/s72-c/images.jpg)
MAONESHO YA KIMATAIFA YA VITO YA ARUSHA TAREHE 21-23 APRILI, 2015
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA NISHATI NA MADINI![](http://4.bp.blogspot.com/-Qgzctr2tdDM/VR0KTLSy4ZI/AAAAAAAC2uE/7LKCOPAOW3k/s1600/images.jpg)
MAONESHO YA KIMATAIFA YA VITO YA ARUSHATAREHE 21-23 APRILI, 2015
Wizara ya Nishati na Madini (MEM) kwa kushirikiana na Chama cha Wafanyabiashara wa Madini Tanzania (TAMIDA), wanawaalika wadau wote wa Sekta ya Madini na wamiliki wa leseni za biashara ya madini, Masonara na wachimbaji wa madini ya vito kushiriki kwenye Maonesho ya Nne ya Kimataifa ya Vito ya Arusha (Arusha Gem Fair-AGF 2015). Maonesho haya yatafanyika katika hoteli ya...
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qgzctr2tdDM/VR0KTLSy4ZI/AAAAAAAC2uE/7LKCOPAOW3k/s1600/images.jpg)
MAONESHO YA KIMATAIFA YA VITO YA ARUSHATAREHE 21-23 APRILI, 2015
Wizara ya Nishati na Madini (MEM) kwa kushirikiana na Chama cha Wafanyabiashara wa Madini Tanzania (TAMIDA), wanawaalika wadau wote wa Sekta ya Madini na wamiliki wa leseni za biashara ya madini, Masonara na wachimbaji wa madini ya vito kushiriki kwenye Maonesho ya Nne ya Kimataifa ya Vito ya Arusha (Arusha Gem Fair-AGF 2015). Maonesho haya yatafanyika katika hoteli ya...
10 years ago
Michuzi22 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h8VB6cIWwg4/VSbTQHd1uEI/AAAAAAAHP9Q/lqhpYwQkfEc/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
UZINDUZI WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MKOANI MOROGORO TAREHE 9 APRILI, 2015
Naibu waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (MB) azindua rasmi Baraza la Wafanyakazi la Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto mkoani Morogoro tarehe 9 Aprili, 2015. Baraza hili linafanya kikao chake cha siku mbili kuanzia tarehe 9 hadi 10 Aprili, 2015.
Baraza la Wafanyakazi linaundwa na wawakilishi wa wafanyakazi wote wa Wizara na wanachaguliwa kwa mfumo wa haki na uwazi. Baraza hili ni chombo muhimu sana kwani uhalali na uundwaji wake upo kisheria. ...
Baraza la Wafanyakazi linaundwa na wawakilishi wa wafanyakazi wote wa Wizara na wanachaguliwa kwa mfumo wa haki na uwazi. Baraza hili ni chombo muhimu sana kwani uhalali na uundwaji wake upo kisheria. ...
10 years ago
VijimamboBalozi mpya wa Senegal nchini Marekani atembelea ubalozi wa Tanzania Washington,DC leo Jumanne tarehe 10/02/2015.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania