Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUTANO WA INJILI DMV


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZA MATUKIO YANAYOENDELEA KATIKA MKUTANO MKUBWA WA INJILI DMV


Mkutano mkubwa ulioandaliwa na kanisa la Cathedral of Praise unaendelea ukiwa katika hatua za mwishomwisho. Mkutano huo uliofanyika katika hotel ya Hampton iliyoko Baltimore ave College Park umefanyika kwa mafanikio ukishirikisha wahubiri kutoka states mbalimbali za hapa Marekani.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa Injili Washington DC Aug 14 — 16, 2015

Kanisa la The Way of the Cross Gospel Ministries linapenda kuwaalika katika siku tatu za mkutano wa uamsho utakaofanyika hapa Washington DC.

Ni kati ya Agosti 14-16 2015



Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgaya ama Masanja Mkandamizaji alipohudumu kwa waumini wa jiji la Washington DC na vitongoji vyake siku ya Jumapili 07/07/2013 katika kanisa la THE WAY OF THE CROSS GOSPEL MINISTRIES

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Injili Washington DC [Aug 14 - 16 2015]

Kanisa la The Way of the Cross Gospel Ministries linapenda kuwaalika katika siku tatu za mkutano wa uamsho utakaofanyika hapa Washington DC.
Ni kati ya Agosti 14-16 2015

Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgaya ama Masanja Mkandamizaji alipohudumu kwa waumini wa jiji la Washington DC na vitongoji vyake siku ya Jumapili 07/07/2013 katika kanisa la THE WAY OF THE CROSS GOSPEL MINISTRIES

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Injili Washington DC...WAZO LA JIONI (April 17, 2015)

Mch Wilbert NfubhusaKatika WAZO LA JIONI hii ya leo (Aprili 17, 2015), Mch Wilbert Nfubhusa ameendelea kuzungumzia kuhusu WAZO KUU la Mkutano huu ambalo ni KUFANANA NA YESU
Pia, alielezea ushuhuda aliosimuliwa na wakimbizi toka Burundi
Japo unafurahisha, lakini unafunza sana
KARIBU

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO MKUBWA WA INJILI WAFANYIKA VIWANJA VYA BIAFRA,KINONDONI JIJINI DAR

Mchungaji kiongozi wa kanisa la Kinondoni Reviral Church ambao ndio waandaaji wa mkutano wa Injili unaoendelea kufanyika kwenye viwanja vya Biafra Kinondoni, Dkt. Rogate Swai akihubiri neno la mungu katika mkutano huo. Waambaji wa kwaya wa Kanisa la Kinondoni Reviral Church wakipamba jukwaa katika mkutano mkubwa wa injili unaoendelea kufanyika katika viwanja vya Biafra,Kinondini jijini Dar es salaam. Mamia ya watu wakifuatilia kwa karibu mkutano huo mkubwa na waaina yake, katika...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano VIJANA WA DMV!!!

Mkutano wa Kwanza utafanyika jumamosi tarehe nne. Mkutano huu utafanyika nyumbani kwa Julia Nyerere: 9004 Brightlea Court Lanham, Maryland. Huu mkutano utaanza saa kumi kamili. Kama kuna maswali yoyote kuhusu huu mkutano, mpigie Julia Nyerere kwenye namba yake ya simu (240-764-9970).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani