MKUTANO WA INJILI KUFANYIKA HAMPTON IN HOTEL JUMAMOSI NA JUMAPILI WIKI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Xit0-2RV-c/U3xQDOVzdwI/AAAAAAAFkHc/xeZMhARKAhQ/s72-c/Spring+revival+2014+Mulamula+(2).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gzOUZPPpqZM/VSRrxiB3tzI/AAAAAAAAILM/TSVe7W-FEpo/s72-c/Save%2Bthe%2Bdate%2BApril%2B11.f-page0001.jpg)
Mkutano juu ya huduma za Afya Tanzania kufanyika DC wiki hii
Utafanyika Jumamosi hii (Aprili 11) katika Chuo Kikuu cha Howard Washington DC.
Maelezo kamili yapo kwenye tangazo hapa chini
![](http://4.bp.blogspot.com/-gzOUZPPpqZM/VSRrxiB3tzI/AAAAAAAAILM/TSVe7W-FEpo/s1600/Save%2Bthe%2Bdate%2BApril%2B11.f-page0001.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gr-xVS1PniM/VgTzHPtSOvI/AAAAAAAC_mM/zretHOv3RHI/s72-c/IMG_9278.jpg)
UPENDO NKONE KUZINDUA ALBAMU YA NYIMBO ZA INJILI YA "OMBA YESU ANASIKIA" JUMAPILI HII
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gr-xVS1PniM/VgTzHPtSOvI/AAAAAAAC_mM/zretHOv3RHI/s640/IMG_9278.jpg)
ALBAMU ya OMBA YESU ANASIKIA kuzinduliwa Septemba 27 mwaka huu(Jumapili hii) katika kanisa la TAG la upanga mkabala na chuo cha Uzumbe kwa Askofu Mwanesongore.
hayo yalisemwa na Mwimbaji wa nyimbo za Injili,Upendio Nkone wakati akizungumza na waandishi wa habari...
9 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-KA6nJefl_OY/Vhz2Nh9QNII/AAAAAAABXWI/O-PQzS8I5FQ/s640/vpl6.png)
9 years ago
Bongo528 Aug
Fainali za ‘The Jump Off Michano’ kufanyika Jumamosi hii
10 years ago
CloudsFM06 Mar
Tamasha la chakula cha kiafrika kufanyika Jumapili hii jijini Arusha.
Tamasha la Chakula cha Kiafrika linatarajiwa kufanyika Jumapili hii jijini Arusha kwenye mgahawa wa Umbrella(Umbrella Garden and restaurant).
Akizungumzia tamasha hilo,Elihuruma Msengi alisema kuwa leo la kufanya tamasha la chakula cha Afrika ni kuwakumbusha Watanzania umuhimu wa lishe na chakula cha kiafrika kwani magonjwa mengi yanatokana na vyakula vya viwandani na pia kudumisha upendo na amani kwa wananchi wa jiji la Arusha. Aidha ameongeza kuwa siku hiyo ya Jumapili itakuwa ni siku ya...
10 years ago
MichuziMAANDALIZI MBIO ZA MAGARI YAKAMILIKA,SASA KUFANYIKA JUMAPILI HII MAENEO YA KIA
Mafundi wakiweka mafuta ya ndege katika moja ya magari yanayoshiriki mbio hizo.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
9 years ago
Bongo527 Nov
Instagram Party kufanyika Jumamosi hii, Escape One Mikocheni, Dar
![Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk-300x194.jpg)
KAMPUNI ya Freconic Ideaz, imeandaa tamasha la burudani la ‘Instagram party’ litakalofanyika Jumamosi hii maeneo ya Escape One, Mikocheni jijini Dar es Salaam likiwa na lengo la kuwakumbusha wapenzi wa muziki, mavazi na misemo ya kizamani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic ideaz, Fred Ngimba akifafanua jambo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari Ijumaa hii katika fukwe za Escape One kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya tamasha kubwa la burudani litakalofanyika jumamosi hii tarehe 28...
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Pop Up Bongo kufanyika Jumamosi hii Triniti Oysterbay Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFJp_lVmeIc/VlP8Zq0exnI/AAAAAAAAL80/LWjmojgQGi8/s640/Mbili.jpg)
Nuya Essence.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_INDtSQ1jpE/VlP8aQISA6I/AAAAAAAAL88/HJngUSr5Hfo/s640/Moja.jpg)
Founder of Branoz Collection Bahati Abraham with customers.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqT2ohdtK54/VlP8bXkLpfI/AAAAAAAAL9E/KM6BASJWO2s/s640/nne.jpg)
Secret Habits Seller servings customers.
![](http://4.bp.blogspot.com/--C0fLaJhH3k/VlP8ZTwD8lI/AAAAAAAAL8w/Sbsq9VsD_6c/s640/Tatu.jpg)
Pediah John, Founder of PSJ Brand with customers.
Na Mwandishi Wetu
WASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oysterbay katika tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo.
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya...
10 years ago
CloudsFM26 Nov
DJ BULLA NDANI YA BBA WIKI JUMAMOSI HII
Dj kutoka Clouds FM,Dj Bullah wiki hii atakuwa ndani ya jumba la Big Brother weekend hii nchini Afrika Kusini kuwapa burudani washiriki wa shindano hilo.