DJ BULLA NDANI YA BBA WIKI JUMAMOSI HII
Dj kutoka Clouds FM,Dj Bullah wiki hii atakuwa ndani ya jumba la Big Brother weekend hii nchini Afrika Kusini kuwapa burudani washiriki wa shindano hilo.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
Onyesho la Coke Studio kuanza Jumamosi wiki hii
-Wasanii wa Tanzania Ali Kiba,Fid Q na Vanessa kuwasha moto
Wasanii nguli kutoka Tanzania wataungana na wasanii wengine 27 barani Afrika katika msimu wa tatu wa maonyesho ya burudani ya muziki maarufu kwa jina la Coke Studio Afrika ambalo litaanza Jumamosi wiki hii .Onyesho la mwaka huu ni tofauti na yaliyopita kwa kuwa litaendana na mabadiliko yaliyopo katika muziki duniani “Kolabo”na litarushwa na kituo cha televisheni cha Clouds kuanzia saa 12 jioni.
Meneja wa Biashara za Coca-Cola...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0oMe_lQFSSA/VWwgqrAlPMI/AAAAAAAAuZA/Oij93FDBIlY/s72-c/membe%2B2.jpg)
MEMBE KUTANGAZA NIA YA URAIS JUMAMOSI WIKI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-0oMe_lQFSSA/VWwgqrAlPMI/AAAAAAAAuZA/Oij93FDBIlY/s640/membe%2B2.jpg)
Membe amesema, amepanga kutangaza nia hiyo, Juni 6, mwaka huu, na kuwaomba wananchi wamsikilize kwa makini siku hiyo kwakuwa ataeleza kwa kina nini anataka kufanya nchi iweze kuondoka ilipo ikiwemo kuendelea kudumisha amani na utulivu uliopo.
Waziri Membe ambaye hajatangaza...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0Xit0-2RV-c/U3xQDOVzdwI/AAAAAAAFkHc/xeZMhARKAhQ/s72-c/Spring+revival+2014+Mulamula+(2).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Lh9EV1qq1d8/VksvgH5-viI/AAAAAAAIGbs/pB1pO0YRwog/s72-c/Sports-swahili-Blog-Ad-800-X-600-Pixel.jpg)
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Mashindano ya Tanzania Movie Talents kutua Dodoma kusaka vipaji Jumamosi ya wiki hii
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled9.jpg)
Na Josephat Lukaza wa Proin Promotions Limited – Mwanza
Hatimaye Kikosi Kazi cha Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ndio waratibu na waandaaji wa Mashindano ya Kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania yajulikanayo kama Tanzania Movie Talents (TMT) kinaondoka leo asubuhi Mkoani Mwanza Kuelekea Mkoani Dodoma kwaajili ya kuendelea na shindano la kusaka vipaji vya kuigiza katika Kanda ya Kati ambapo mashindano yatafanyika Mkoani Dodoma katika Ukumbi wa African Dream kuanzia Jumamosi ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_vO2PFAttfI/U6OrA9UydcI/AAAAAAAAHIQ/CYN5KPhH8g0/s72-c/Bandio+&+Haika+interview.jpg)
Usikose kusikiliza kipindi cha NJE-NDANI Jumamosi hii
![](http://3.bp.blogspot.com/-_vO2PFAttfI/U6OrA9UydcI/AAAAAAAAHIQ/CYN5KPhH8g0/s1600/Bandio+&+Haika+interview.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pnEcRU5QgUs/U6OrA9HEMDI/AAAAAAAAHIM/WRLemu77nao/s1600/Haika+Lawere+ISKA.jpg)
Photo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3d5fnWbP0VgtCCOHJTy6dcA0az9NUMJ21Q9sCS*OMgNkkSIKLGoIRo5wX*SJk6fYno961dCAxL*GeZbHnshZ*nJ/unnamed80.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IE4iyuflJpw/U6oVSi_NrmI/AAAAAAAAHJc/i_5W089ZG0Q/s72-c/Nuru.jpg)
Katika "HUYU NA YULE" ya NJE-NDANI wiki hii...
![](http://1.bp.blogspot.com/-IE4iyuflJpw/U6oVSi_NrmI/AAAAAAAAHJc/i_5W089ZG0Q/s1600/Nuru.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Mwanza Ku-Jembeka na Sauti SOL Jumamosi hii Feb 21 ndani ya Jembe Beach
Hatimaye ule mpango mzima wa kuzifungulia burudani ulioasisiwa na redio mpya ya jijini Mwanza JEMBE FM na kubatizwa jina ‘JEMBEKA’ unaanza rasmi jumamosi ya wiki hii tarehe 21/02/2015 ndani ya kiota cha burudani cha kitalii Jembe Beach Mwanza.
Burudani itakayo fungua mpango huo wa ‘JEMBEKA’ ni kutoka kwa kundi maarufu Afrika Mashariki lililovuka mipaka na sasa muziki wake kuchezwa hadi barani Ulaya kundi la Sauti Sol toka nchini Kenya ambao watapiga muziki LIVE.
Vijana wa Nyumbani JJ Band...