Mkwasa atangaza wanaokwenda Uturuki
WACHEZAJI 22 wa timu ya Taifa, Taifa Stars, wanatarajia kuondoka nchini kesho usiku kwenda Uturuki kwa kambi ya wiki moja kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria utakaochezwa Septemba 5, 2015.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo27 Aug
Mkwasa atambia kambi Uturuki
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Charles Mkwasa amesema anaamini kambi ya Uturuki itawapika wachezaji wake vya kutosha kuikabili Nigeria. Stars ipo Uturuki tangu mwishoni mwa wiki iliyopita na itarejea nchini siku chache kabla ya kuivaa Nigeria jijini Dar es Salaam Septemba 5 mwaka huu.
10 years ago
Michuzi06 Aug
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
10 years ago
Habarileo26 Dec
Dk Bilal kuaga watoto 53 wanaokwenda kutibiwa India
WATOTO 53 wanaougua maradhi mbalimbali ya moyo wanaondoka nchini leo kwenda India kwa upasuaji ambapo wataagwa na.
5 years ago
CCM Blog11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZpRIe3oJKi4/U5Fq86Rn3WI/AAAAAAACi5s/ex7u4_etMb0/s72-c/emirates.jpg)
Emirates yatoa punguzo maalumu la bei za tiketi kwa Watanzania wanaokwenda Chicago, Marekani
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZpRIe3oJKi4/U5Fq86Rn3WI/AAAAAAACi5s/ex7u4_etMb0/s1600/emirates.jpg)
Shirika la Ndege la Emirates, linalosifika kwa kutoa huduma bora za usafiri wa anga kwa abiria kwa mataifa mbalimbali, limetangaza ofa maalumu kwa Watanzania watakaokwenda Chicago nchini Marekani, kupitia Dubai wakitokea Dar es Salaam. Punguzo hilo au ofa hiyo maalumu ni kwa madaraja ya abiria wa kawaida yaani Economy Class na daraja la wafanyabiashara ‘Business Class’.
Emirates ilitangaza ofa hiyo mapema...
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Kaimu RC Singida, Alli Kamanzi, aaga vijana 279 wanaokwenda kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Alli Kamanzi, akitoa nasaha zake za kuwaaga vijana 279 waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika kambi mbalimbali nchini. Kushoto ni Mwenyekiti wa kikosi cha JWTZ kanda ya kati, meja Kakwayu.
Baadhi ya vijana kutoka mkoa wa Manyara, Dodoma na Singida, waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la kujenga taifa (JKT) kwenye kambi mbalimbali nchini na safari yao imeanza jana baada ya kuagwa na Kaimu Mkuu wa mkoa wa Singida,A lli Kamanzi.(Picha na...
10 years ago
Dewji Blog19 Dec
Fastjet yatoa punguzo la bei kwa wateja wanaokwenda kuhudhuria Lohana Sports and Cultural Festival Uganda
Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akiongea na Bw. Navin Kanabar (kushoto) na Bw. Manish Rughani (katikati) ambao ni wateja wa fastjet waliopata tiketi za punguzo la bei kwenda Entebe Uganda kuhudhuria tamasha la 33 la michezo na Utamaduni lijulikanalo kama Lohana Festival, kampuni ya Fastjet ilitoa punguzo la bei kwa kundi la wateja 150 walionunua tiketi nyingi.
Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akimkabidhi Bi. Nishita Davda tiketi ya kwenda...
10 years ago
Vijimambo20 Jan
HABARI YA KUSIKITISHA NA KUTISHA KUHUSU VIJANA WETU WANAOKWENDA CHINA NA HONGKONG KUUZA MADAWA YA KULEVYA SOMA HABARI KAMILI LIVE!
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2593248/highRes/924352/-/maxw/600/-/idoqeo/-/nzowa.jpg)