Mlela:Mwaka Huu Lazima Nioe
Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Yusuf Mlela amefunguka kwamba baada ya kuishi ‘singo’ kwa muda mrefu, sasa anajipanga kuoa hivyo ndani ya mwaka huu lazima ndoto yake hiyo itimie.
Akipiga stori na GPL, Mlela alisema mwaka huu amejiwekea malengo mengi lakini kubwa zaidi ni kuoa kwani anahisi akiendelea kuwa peke yake kuna mambo atakwama kwa kuwa hatakuwa na mtu wa kumshauri kwa karibu.
“Kiukweli maisha yenyewe ni mafupi na umri nao unaenda hivyo lengo langu kubwa kwa mwaka huu ni kuoa na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-De3K3n2yTF*jN-GQb4NvWrfIa0IhJDF19gYXkNgz1QqiVHLv602gH9MGKYkeGKZydRBFpIpSa7tP2y3iMAhekjm/Mlela.jpg)
MLELA: MWAKA HUU LAZIMA NIOE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/poNlDA9JoO3NVEiWySK6DETPLaoh7xTMPAkvUqGO1NrLlsVDFHa3VpgCzXuth4DDiYJvi07oXtjkLTT4bI74sVoCftlGmT*T/Cdrisa41.jpg?width=650)
MONALISA: MWAKA HUU LAZIMA NIPIGE KURA
10 years ago
Mwananchi22 Nov
MAONI: Unyonyaji huu lazima tuukomeshe
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
TANROADS Singida yatumia zaidi ya sh 5.1 B kutengeneza barabara zake Julai mwaka jana na februari mwaka huu
Mkuu wa mkoa wa Singida na mwenyekiti wa bodi ya barabara, Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua kikao cha bodi ya barabara cha 36 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA mjini Singida. Kulia (aliyekaa) ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan.
Meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Singida (TANROADS), Mhandisi Yustaki Kangole, akitoa ufafanuzi juu ya sheria zinazotawala akiba/hifadhi ya barabara kwenye kikao cha 36 cha bodi ya barabara mkoa wa Singida.
Mbunge wa jimbo la...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gc1eMcwTRSw/U2Nb54ZnPLI/AAAAAAAFe3I/tOs9qpcOP6c/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Prof Mwandosya; Mwaka 2005 nilikuwa wa tatu mwaka huu ikulu zamu yangu, ataka wagombea wenzake wasiogope kuelezwa maovu
![](http://lh3.googleusercontent.com/-UejVb5EwXPc/VYK19eciPLI/AAAAAAAB-B4/IWFAAe2Djhg/s640/blogger-image--442025607.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-oK4C43J87l0/VYK2GdT1urI/AAAAAAAB-CA/8LsqPxinRpE/s640/blogger-image-685183973.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-npatPrWyp9U/VYK3Q-yu3mI/AAAAAAAB-CI/eQGm0xPwytU/s640/blogger-image--1073419117.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Nak95vAOQ0A/VYK3hOgN1NI/AAAAAAAB-CQ/eevKioi1ZOI/s640/blogger-image-959981763.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hf9TZ07wfEs/VYK3ovrYg8I/AAAAAAAB-CY/ykmqWdvwPYA/s640/blogger-image--1313195988.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar19 Sep
Huu ni mwaka dume!
Na Rashid Abdallah Ndio! Ni kweli! Halinashaka kabisa! Kuwa CCM na raisi Jakaya na watangulizi wake wameshindwa kabisa kuikwamua Tanzania. Kama ni jahazi basi tungesema jahazi la CCM limelala upande mmoja na wala si ajabu kuwa […]
The post Huu ni mwaka dume! appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Tujitathmini, mwaka huu umeshamalizika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q0eTF77DOC7pOEH4eiW3*9g2rsPlMxNNycXks1kcQhAXRiyyyY-8pffkHzF574iRoDXYV6Uv-vXYI9rbJnh*MFH/money2lastspartan.jpg?width=650)
UTAJIRI MWAKA HUU UNAWEZEKANA?