Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Unyonyaji huu lazima tuukomeshe

>Leo tunatumia nafasi hii kuipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa kazi nzuri iliyoifanya kwa muda wa miaka 13 mfululizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Mlela:Mwaka Huu Lazima Nioe

Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Yusuf Mlela amefunguka kwamba baada ya kuishi ‘singo’ kwa muda mrefu, sasa anajipanga kuoa hivyo ndani ya mwaka huu lazima ndoto yake hiyo itimie.

Akipiga stori na GPL, Mlela alisema mwaka huu amejiwekea malengo mengi lakini kubwa zaidi ni kuoa kwani anahisi akiendelea kuwa peke yake kuna mambo atakwama kwa kuwa hatakuwa na mtu wa kumshauri kwa karibu.

“Kiukweli maisha yenyewe ni mafupi na umri nao unaenda hivyo lengo langu kubwa kwa mwaka huu ni kuoa na...

 

10 years ago

GPL

MLELA: MWAKA HUU LAZIMA NIOE

Na Gladness Mallya/Ijumaa
MSANII wa filamu za Kibongo, Yusuf Mlela amefunguka kwamba baada ya kuishi ‘singo’ kwa muda mrefu, sasa anajipanga kuoa hivyo ndani ya mwaka huu lazima ndoto yake hiyo itimie. Msanii wa filamu za Kibongo, Yusuf Mlela. Akipiga stori na gazeti hili, Mlela alisema mwaka huu amejiwekea malengo mengi lakini kubwa zaidi ni kuoa kwani anahisi akiendelea kuwa peke yake kuna mambo atakwama kwa...

 

9 years ago

GPL

MONALISA: MWAKA HUU LAZIMA NIPIGE KURA

 Msanii mkongwe wa filamu Bongo , Ivon Cherry Ngatikwa ‘Monalisa’. Mayasa Mariwata ZIKIWA zimebaki siku tatu kuelekea uchaguzi mkuu, msanii mkongwe wa filamu Bongo , Ivon Cherry Ngatikwa ‘Monalisa’ amesema safari hii lazima apige kura, hata kama kutakuwa na foleni ya aina gani. Akichezesha taya na paparazi wetu, Monalisa alisema bila kujali ustaa wake, siku ya uchaguzi atapanga foleni hata kama ni kubwa ili kutimiza azma...

 

10 years ago

GPL

UKAWA: UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2015 LAZIMA, KIKWETE ASIONGEZEWE MUDA, KURA YA MAONI BAADAE

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa, James Mbatia (wa pili kutoka kushoto), Mwenyekiti wa Chadema, Mhe Freeman Aikael Mbowe (wa pili kutoka kulia) na Katibu Mkuu wa Chama cha Chadema, Dk Willbroad Slaa (kulia). VYAMA vinavyounda Umoja wa katiba ya Wananchi (UKAWA) leo vimetoa msimamo wao juu ya njama za...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Nec itabeba lawama kwa upungufu huu

>Inawezekana kuwa habari hii ni ile ambayo Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) haitapenda kuisikia kutoka katika mkoa mpya wa Njombe, ambako kazi ya uandikishaji wapigakura inaanza kesho.

 

10 years ago

Mwananchi

10 years ago

Vijimambo

Professor Jay kapita kura za maoni Ubunge huu hapa

Stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa mkongwe wa Hip Hop Joseph Haule aka Professor Jay ambaye wiki zilizopita alishinda kura za maoni kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo katika Jimbo la mikumi Morogoro.
Sasa leo Agosti 7, 2015 amekutana na ripota wa TZA na kupiga naye stori kuhusiana na mchakato wa kura za maoni jinsi ulivyofanyika.
‘Namshukuru Mungu kura za maoni zimeenda vizuri, niwapongezi tu watu wa CHADEMA kwa kutimiza demokrasia na tuliweza kupga kura na nimeweza kuibuka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rich Mavoko: Ring-tone ni unyonyaji

NYOTA anayefanya vema katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Richard Mavoko ‘Rich Mavoko’, amesema haoni umuhimu wa kuweka nyimbo zake kwenye mfumo wa ‘ring-tone’ wa mitandao ya simu....

 

11 years ago

Mwananchi

Kampuni za simu, madini zaongoza kwa unyonyaji

 Kampuni nyingi za simu na za madini nchini zinadaiwa kuwanyonya wafanyakazi wao na kusababisha serikali kuamua kuingilia kati kwa kusimamia moja kwa moja usajili mpya wa mawakala wa ajira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani