Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Nec itabeba lawama kwa upungufu huu

>Inawezekana kuwa habari hii ni ile ambayo Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) haitapenda kuisikia kutoka katika mkoa mpya wa Njombe, ambako kazi ya uandikishaji wapigakura inaanza kesho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Serikali ijipange kuukabili upungufu fedha za Ukimwi

Katika toleo letu la jana (Julai 11,2015), ukurasa wa 12, kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “wafadhili wapunguza fedha za Ukimwi

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: NEC isitoe majibu rahisi kwa masuala magumu

>Tunashangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuendelea kutoa majibu rahisi kwa masuala mazito ya kitaifa, ambayo tayari yameibua utata unaoweza kuiingiza nchi yetu katika matatizo makubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KWA AMANI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU BAADAYE MWAKA HUU

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanbzibar Balozi Seif akijibu maswali aliyoulizwa na Wanahabari wa Shirika la Magazeti ya Serikali la Zanzibar leo Hafsa Golo aliyepo Kati kati na Tatu Makame wa kwanza kushoto. Ripota wa Shirika la Utangazaji Tanzania {TBC } Marine Hassan akiporomosha maswali kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati wa mahojiano yao kuhusu maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Picha na – OMPR – ZNZ.
                                 ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.

Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC yahimiza wananchi kutoa maoni

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kama wananchi na wadau wanataka mfumo wa uteuzi wa wajumbe wake ubadilike, ni vema wakatoa maoni kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Mwenyekiti...

 

10 years ago

Mwananchi

NEC yatangaza zabuni Kura ya Maoni

Uwezekano wa Kura ya Maoni kufanyika mwaka huu na hasa sambamba na Uchaguzi Mkuu, umeanza kujionyesha baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza zabuni za ununuzi wa vifaa vitakavyotumika kwenye shughuli hiyo, zikiwamo karatasi za kupigia kura.

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda: Nec inaweza kuahirisha Kura ya Maoni

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema kama Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) itaona muda wa uandikishaji wananchi katika Daftari la Wapigakura kwa ajili ya Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa hautoshi, atawasilisha suala hilo bungeni ili uongezwe.

 

10 years ago

Tanzania Daima

NEC yaongeza utata kura ya maoni 2015

UWEZEKANO wa kufanyika kwa kura ya maoni Aprili 30 mwakani, kama alivyoahidi Rais Jakaya Kikwete ni mdogo, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuthibitisha kwamba itakamilisha kazi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani