Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnada wa ripoti kuhusu Biko wasitishwa

Mahakama nchini Afrika Kusini imesitisha, mnada wa ripoti kuhusu kifo cha mwanaharakati maarufu aliyepigania vita dhidi ya ubaguzi wa rangi, Steve Biko.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uhamiaji:Ripoti kuhusu wahamiaji 4

BBC imewafuata wahamiaji wanne na hii hapa mukhtasari wa safari yao ya kutafuta maisha mazuri nga'mbo

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yakanusha ripoti kuhusu FDLR

Tanzania imekanusha vikali tuhuma kwamba imekuwa ikiwaruhusu viongozi wa kundi la waasi la FDLR kufanya mikutano nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO watoa ripoti mpya kuhusu Ebola

Shirika la Afya Duniani, WHO limetoa takwimu mpya kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa Ebola Afrika magharibi

 

10 years ago

Mwananchi

Kauli ya JK kuhusu ripoti ya CAG iungwe mkono

Juzi Rais Jakaya Kikwete wakati akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka unaoishia Juni 2014, alitoa maagizo makali baada ya kubaini ndani ya ripoti hiyo kuna madudu mengi ya matumizi mabaya ya fedha za umma.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jumuia yatoa ripoti kuhusu DRC na Rwanda

Wachunguzi kutoka jumuiya ya mataifa ya eneo la maziwa makuu wamechapisha ripoti kuhusu mapigano kati ya DRC na Rwanda.

 

10 years ago

Michuzi

Ripoti ya GAG kuhusu akauti ya ESCROW yawasilishwa Bungeni leo

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali Mhe Zitto Kabwe akisoma Ripoti ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (GAG) kuhusu akauti ya ESCROW Bungeni Mjini Dodoma leo.Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Anne Makinda akifafanua jambo wakati akiendesha Bunge hilo leo mjini Dodoma.Baadhi ya wahudumu wa Bunge wakigawa Ripoti ya GAG kuhusu akauti ya ESCROW kwa WabungeWaheshimiwa Wabunge wakipitia ripoti ya GAG kwa makini wakati ikisomwa na Mwenyekiti wa Kamati ya...

 

9 years ago

StarTV

UONGOZI SIMBA:Wasubiri ripoti ya kocha Kerr kuhusu kambi.

Klabu ya soka ya Simba inasubiri ripoti ya kocha mkuu wa timu hiyo Dylan Kerr ambayo itaeleza wapi timu hiyo itaweka kambi ya mwisho ya kujiandaa na ligi kuu soka Tanzania bara.

Simba imesema ripoti hiyo itaeleza ni mchezaji gani anatakiwa kusajiliwa miongoni mwa wale waliopo klabuni hapo kwa ajili ya majaribio.

Haji Manara ni Afisa Habari wa Simba amesema baada ya kumaliza mchezo wao dhidi ya URA ambao waliutumia kuwapima baadhi ya wachezaji lakini ripoti ya kocha ndiyo itategua kitendawili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani