Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yakanusha ripoti kuhusu FDLR

Tanzania imekanusha vikali tuhuma kwamba imekuwa ikiwaruhusu viongozi wa kundi la waasi la FDLR kufanya mikutano nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mwigizaji JB atia fora katika uzinduzi wa ripoti ya benki ya dunia kuhusu ajira zenye tija tanzania

 Mwigizaji nyota wa filamu nchini Steven Jacob a.k.a JB "akitema yai"  wakati akitoa mada yake kwenye  wa uzinduzi wa Ripoti ya Benki ya Dunia Kuhusu ajiora Zenye Tija Tanzania leo Septemba 12, 2014 katika hoteli ya Hyatt regency kilimanjaro Rais Kikwete akimpongeza mwigizaji nyota wa filamu nchini Steven Jacob a.k.a JB kwa kutoa mada yake vyema wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Benki ya Dunia Kuhusu ajiora Zenye Tija Tanzania leo Septemba 12, 2014 katika hoteli ya Hyatt regency kilimanjaro

 

9 years ago

Habarileo

NEC yakanusha tuhuma kuhusu BVR

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema tuhuma zilizotolewa, zinazodai kuna uandikishaji wa wapiga kura kwa mashine za BVR, unaofanyika katika eneo la viwanda Mikocheni jijini Dar es Salaam, hazina ukweli.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAKANUSHA KUHUSU HAZINA KUACHWA TUPU

Na Jovina Bujulu-Maelezo
Serikali imekanusha taarifa zinazosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kuwa amekomba fedha hazina na kuiacha Serikali bila fungu lolote.
Hayo yamesemwa jijini dare es salaam na Kamishina wa Bajeti kutoka Wizara ya Fedha Bwa. John Cheyo huku akiwataka wananchi kupuuza habari hiyo kwani hazina ukweli wowote.
“Hazina inazo pesa za kutosha  na tunajivunia kufanya uchaguzi wa mwaka huu,  kununua mashine za BVR...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

New UN Report Pins Tanzania On FDLR Militia


New UN Report Pins Tanzania On FDLR Militia
AllAfrica.com
The leaders of the genocidal FDLR militia and its political supporters in Europe have held several meetings in Tanzania since at least 2013, a new UN report has said. The final report of the UN Group of Experts on the DR Congo, dated January 12, a copy of ...

 

10 years ago

Mail &Amp; Guardian Africa

DR Congo and Rwanda's FDLR rebels: Why Tanzania could end up eating ...


Mail & Guardian Africa
DR Congo and Rwanda's FDLR rebels: Why Tanzania could end up eating ...
Mail & Guardian Africa
Tanzania's position on the FDLR rebels is puzzling, and it is putting far too much on the line - for benefits that are unclear. Tanzanian UN troops in the eastern Congo in 2013, during an operation to rout the M23 rebel group. (Photo: Flickr/ K. Aksoy). THIS week ...
DRC 4, Republic of Congo 2London Review of Books (subscription) (blog)
Carey Mulligan Forms Deep Connection to...

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yakanusha taarifa za upotoshaji kuhusu matumizi ya Mashine za Kielektroniki( EFD’s)

SAM_1155

 

Kaimu Mkurugenzi Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Julius Mjanga akiwaeleza waandishi wa Habari(Hawapo Pichani) kuhusu Taaarifa za Upotoshaji kuwa matumizi ya mashine za kielektroniki(EFD’s) yamesitishwa ila mashine hizo zinaendelea kutumika kwa mujibu wa Sheria na wafanyabiashara wanapaswa kuendelea kuzitumia il kuisaidia serikali katika ukusanyaji wa Kodi. Kushoto ni Afisa Uhusiano Mkuu wa Mamlaka hiyo Bi Oliver Njunwa.

SAM_1160

Baadhi ya Waandishi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yakanusha uvumi uliokuwa umeenea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mavazi

napezi

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiwa ofisini kwake.

Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo inapenda kuujulisha Umma kwamba kumekuwapo na upotoshwaji unaondelea katika mitandao ya kijamii hususan facebook, Instagram na WhatsApp ambapo sehemu ya upotoshaji huo imenukuliwa kama ifuatavyo “Wizara imetoa tamko kuwa kuanzia januari 2016 mavazi yote yasiyo stahiki ambayo hayaendani na mila na desturi zetu Wizara yangu na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uhamiaji:Ripoti kuhusu wahamiaji 4

BBC imewafuata wahamiaji wanne na hii hapa mukhtasari wa safari yao ya kutafuta maisha mazuri nga'mbo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mnada wa ripoti kuhusu Biko wasitishwa

Mahakama nchini Afrika Kusini imesitisha, mnada wa ripoti kuhusu kifo cha mwanaharakati maarufu aliyepigania vita dhidi ya ubaguzi wa rangi, Steve Biko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani