Tanzania yakanusha ripoti kuhusu FDLR
Tanzania imekanusha vikali tuhuma kwamba imekuwa ikiwaruhusu viongozi wa kundi la waasi la FDLR kufanya mikutano nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e-_QIdQSZlw/VBL1PLIhhwI/AAAAAAAGjSY/z_aENCQ4EZ0/s72-c/jb1.jpg)
Mwigizaji JB atia fora katika uzinduzi wa ripoti ya benki ya dunia kuhusu ajira zenye tija tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-_QIdQSZlw/VBL1PLIhhwI/AAAAAAAGjSY/z_aENCQ4EZ0/s1600/jb1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tASNpVRPL8A/VBL1Uy-kTwI/AAAAAAAGjSg/cebLK9N4dpQ/s1600/jb2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2jMia3a9ylM/VBL1VdCS0HI/AAAAAAAGjSk/SwNcBZBj6sE/s1600/jb4.jpg)
9 years ago
Habarileo12 Oct
NEC yakanusha tuhuma kuhusu BVR
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema tuhuma zilizotolewa, zinazodai kuna uandikishaji wa wapiga kura kwa mashine za BVR, unaofanyika katika eneo la viwanda Mikocheni jijini Dar es Salaam, hazina ukweli.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tza8Cm-LPds/VlhNHVkaWjI/AAAAAAAIInY/37ZNvyPC518/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-24%2Bat%2B4.03.10%2BPM.png)
SERIKALI YAKANUSHA KUHUSU HAZINA KUACHWA TUPU
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tza8Cm-LPds/VlhNHVkaWjI/AAAAAAAIInY/37ZNvyPC518/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-24%2Bat%2B4.03.10%2BPM.png)
Serikali imekanusha taarifa zinazosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kuwa amekomba fedha hazina na kuiacha Serikali bila fungu lolote.
Hayo yamesemwa jijini dare es salaam na Kamishina wa Bajeti kutoka Wizara ya Fedha Bwa. John Cheyo huku akiwataka wananchi kupuuza habari hiyo kwani hazina ukweli wowote.
“Hazina inazo pesa za kutosha na tunajivunia kufanya uchaguzi wa mwaka huu, kununua mashine za BVR...
10 years ago
AllAfrica.Com20 Jan
New UN Report Pins Tanzania On FDLR Militia
AllAfrica.com
The leaders of the genocidal FDLR militia and its political supporters in Europe have held several meetings in Tanzania since at least 2013, a new UN report has said. The final report of the UN Group of Experts on the DR Congo, dated January 12, a copy of ...
10 years ago
Mail &Amp; Guardian Africa03 Feb
DR Congo and Rwanda's FDLR rebels: Why Tanzania could end up eating ...
Mail & Guardian Africa
Mail & Guardian Africa
Tanzania's position on the FDLR rebels is puzzling, and it is putting far too much on the line - for benefits that are unclear. Tanzanian UN troops in the eastern Congo in 2013, during an operation to rout the M23 rebel group. (Photo: Flickr/ K. Aksoy). THIS week ...
DRC 4, Republic of Congo 2London Review of Books (subscription) (blog)
Carey Mulligan Forms Deep Connection to...
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Serikali yakanusha taarifa za upotoshaji kuhusu matumizi ya Mashine za Kielektroniki( EFD’s)
Kaimu Mkurugenzi Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Julius Mjanga akiwaeleza waandishi wa Habari(Hawapo Pichani) kuhusu Taaarifa za Upotoshaji kuwa matumizi ya mashine za kielektroniki(EFD’s) yamesitishwa ila mashine hizo zinaendelea kutumika kwa mujibu wa Sheria na wafanyabiashara wanapaswa kuendelea kuzitumia il kuisaidia serikali katika ukusanyaji wa Kodi. Kushoto ni Afisa Uhusiano Mkuu wa Mamlaka hiyo Bi Oliver Njunwa.
Baadhi ya Waandishi wa...
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Serikali yakanusha uvumi uliokuwa umeenea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mavazi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiwa ofisini kwake.
Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo inapenda kuujulisha Umma kwamba kumekuwapo na upotoshwaji unaondelea katika mitandao ya kijamii hususan facebook, Instagram na WhatsApp ambapo sehemu ya upotoshaji huo imenukuliwa kama ifuatavyo “Wizara imetoa tamko kuwa kuanzia januari 2016 mavazi yote yasiyo stahiki ambayo hayaendani na mila na desturi zetu Wizara yangu na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Uhamiaji:Ripoti kuhusu wahamiaji 4
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Mnada wa ripoti kuhusu Biko wasitishwa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10