MNAOPENDA KURUKA UKUTA SOMENI HII!
![](http://api.ning.com:80/files/E6-J*b1OZQOmLnyj*18GBZiJMtZ9d29EQea6zE09InDKAK0LAxmjQN42Wn1EJPtOh7Torwq5zYiuMT9fSEnJs0td7VbGQxB3/mahaba.jpg?width=650)
NI matumaini yangu wapenzi wa safu yetu maridhawa ya Love Story mko vizuri. Tunakutana tena katika maeneo yetu ya kujidai na kupeana mawili matatu yahusuyo mapenzi. Raha ya mapenzi ni pale yanapofanyika kwa nafasi na usalama. Kila mmoja akaendelea kufurahia uhusiano kwa maana ameridhika katika njia ambayo ni salama kwa pande zote mbili.Ndugu zangu, penzi linanoga pale linapomhusisha mwanaume na mwanamke katika njia ambazo hazina...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Nov
MNAOPENDA KURUKA UKUTA SOMENI HII!
![](http://api.ning.com/files/E6-J*b1OZQMkoYK7xvLXY50Es7b*pQvecmX9VrgMi6-TgeFMBDCE4Zfxk5Q5mM6q4l4zZmC53jQ4F1KhSx0nontMBF9VNDru/article2278406178D8C0B000005DC31_634x998.jpg?width=650)
NI matumaini yangu wapenzi wa safu yetu maridhawa ya Love Story mko vizuri. Tunakutana tena katika maeneo yetu ya kujidai na kupeana mawili matatu yahusuyo mapenzi.
Raha ya mapenzi ni pale yanapofanyika kwa nafasi na usalama. Kila mmoja akaendelea kufurahia uhusiano kwa maana ameridhika katika njia ambayo ni salama kwa pande zote mbili.Ndugu zangu, penzi linanoga pale linapomhusisha mwanaume na mwanamke katika njia ambazo hazina madhara na si vinginevyo.
Ukitazama kichwa cha habari hapo juu,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVftV2kKClvR4XA257SEkUBSyMl*UIiDICBIglajTVoipdnvfr2ezyrZtPTjYHSM6yhG*SBqMgab3whqv32vuxEi/KOLETA.jpg?width=650)
KOLETA NA MAPENZI YA ‘KURUKA UKUTA’
10 years ago
Vijimambo24 Oct
WAZAZI SOMENI HABARI HII YA KUSIKITISHA HAUSIGELI ALIVYOMFANYIA MTOTO
![](http://api.ning.com/files/TwbgnXl4eNXer45ae2WIzlIT6qSnyt4EKE9lf4HULzeGir*V48duKWfaS4Jr--aEjlk64JsKFLs8DjgOmK-3P2XkSsacm1Ut/IMG20141022WA0005.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/TwbgnXl4eNXSJS6A0zGLDatjzqmSjHCeOXj0l-sDdBXLgrrDFyeWHmgOMcUDFl5BV2DPYXwDBftTduE96JCg7hCxT*NeMekw/IMG20141022WA0007.jpg?width=650)
Na Imelda mtema wa GPLUnyama! Dada wa kazi (hausigeli), aliyetajwa kwa jina moja la Rachel, mkazi wa Tabata-Shule jijini Dar, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuchukua kisu jikoni kisha kumchomachoma nacho mtoto, Samwel John (4) anayeishi nyumba ya jirani.
Akizungumzia mkasa huo kwa masikitiko makubwa uliojiri hivi karibuni maeneo hayo, baba mzazi wa mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la John...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBDQrqFni8Y4DgrQ*zEdZwSzdukE2Szs2vV9T1CC*FrEhBATMFbKl-LkvXfDoRrOQH0WPnms0jjGPSX2-R0saus4/BARUANZITO.jpg)
CHOKI, ASHA BARAKA, HEBU TULIENI, SOMENI HII BARUA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNXddmpqsj9a*86*9hfFe6l70i2mJLRXimnzOazRlMks7h0Voied7WFrU6LVAKQcXe6FydXgKNpobTU4LnTrS2*A/unyama.jpg)
UNYAMA! WAZAZI SOMENI HABARI HII YA KUSIKITISHA HAUSIGELI ALIVYOMFANYIA MTOTO
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Kipindi cha Tuwalinde Watoto Wetu kuruka tena Alhamisi hii, Clouds TV
Mmiliki na mwendeshaji wa kipindi cha Tuwalinde Watoto Wetu, Janet Mwenda.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kipindi cha Tuwalinde Watoto Wetu kilichokuwa kikirushwa na Clouds TV, Alhamisi ya wiki hii kinatarajiwa kuanza tena kuonekana kupitia Clouds TV Alhamisi ya Disemba 10, saa tatu kamili usiku.
Akizungumza na Dewjiblog, Mmiliki na mwendeshaji wa kipindi hicho, Janet Mwenda amesema kuwa kipindi cha Alhamisi hii kinatarajiwa kuja na kitu kipya tofauti na vile walivyokizoea kuonekana hapo awali...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_ZnbT85994s/VP3Iy4KMfOI/AAAAAAAHJII/GzkMPjsQdkU/s72-c/IMG_8518.jpg)
MZINGA: GARI YA SERIKALI YA YAPARAMIA UKUTA JIONI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-_ZnbT85994s/VP3Iy4KMfOI/AAAAAAAHJII/GzkMPjsQdkU/s1600/IMG_8518.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--201IrDxJVM/VP3Iy90wGQI/AAAAAAAHJIE/xEihM4McpLQ/s1600/IMG_8524.jpg)
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Hii ndio kali yenyewe, unakojolea ukuta alafu mkojo unakurudia mwenyewe (+Video)
Kama una tabia ya kujibana kona alafu unajisaidia haja ndogo, mambo yanaweza kukuharibikia kona yoyote !! Nasubiri kuona hii kitu kwa hamu sana, itapunguza matangazo yaliyoandikwa ‘USIJISAIDIE HAPA, UKIKAMATWA FAINI ….‘ Hii stori nimeipata kwenye ukurasa wa BBC mtandaoni, wamesema Uingereza wako kwenye majaribio ya rangi maalum ambayo haipatani na mkojo kabisa, ikitokea mtu kajibana […]
The post Hii ndio kali yenyewe, unakojolea ukuta alafu mkojo unakurudia mwenyewe (+Video) appeared first...
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
SHUJAAZ RADIO SHOW NA DJ TEE: Kuanza kuruka hewani Jumamosi hii East Africa Radio
Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao? Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola. Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.
“Show yangu itahusika na...