KOLETA NA MAPENZI YA ‘KURUKA UKUTA’
![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVftV2kKClvR4XA257SEkUBSyMl*UIiDICBIglajTVoipdnvfr2ezyrZtPTjYHSM6yhG*SBqMgab3whqv32vuxEi/KOLETA.jpg?width=650)
Na Gladness Mallya BISHOSTI anayeuza nyago kwenye filamu za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ amefunguka kuwa analaani mastaa wanaokubali kutumiwa kimapenzi kinyume na maumbile akidai kuwa wapo ambao wamekuwa wakifanya kitendo hicho kwa tamaa ya pesa. Coletha Raymond ‘Koleta’. Akistorisha na Ijumaa, Koleta alisema anachukizwa na tabia hiyo kwani ni uchafu na kujidhalilisha kulikopitiliza....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E6-J*b1OZQOmLnyj*18GBZiJMtZ9d29EQea6zE09InDKAK0LAxmjQN42Wn1EJPtOh7Torwq5zYiuMT9fSEnJs0td7VbGQxB3/mahaba.jpg?width=650)
MNAOPENDA KURUKA UKUTA SOMENI HII!
10 years ago
Vijimambo15 Nov
MNAOPENDA KURUKA UKUTA SOMENI HII!
![](http://api.ning.com/files/E6-J*b1OZQMkoYK7xvLXY50Es7b*pQvecmX9VrgMi6-TgeFMBDCE4Zfxk5Q5mM6q4l4zZmC53jQ4F1KhSx0nontMBF9VNDru/article2278406178D8C0B000005DC31_634x998.jpg?width=650)
NI matumaini yangu wapenzi wa safu yetu maridhawa ya Love Story mko vizuri. Tunakutana tena katika maeneo yetu ya kujidai na kupeana mawili matatu yahusuyo mapenzi.
Raha ya mapenzi ni pale yanapofanyika kwa nafasi na usalama. Kila mmoja akaendelea kufurahia uhusiano kwa maana ameridhika katika njia ambayo ni salama kwa pande zote mbili.Ndugu zangu, penzi linanoga pale linapomhusisha mwanaume na mwanamke katika njia ambazo hazina madhara na si vinginevyo.
Ukitazama kichwa cha habari hapo juu,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0myBkCzhTOY2-9lmdwCvFNmdz77hK8GoInUVSl-*PrBJU0aE5hgZtGyEZY7f4tejcKSTMJ0pgdlc1VLKzD61xIMf/koletha.jpg)
KOLETA: NACHUKIA WANAOJIRAHISISHA KWA WANAUME
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cuQD2ZpscewE9IBAMULZtgJh9H8vM2jOpDnVvg2lv7R5sbSIt66wsLUuG8wSd1HEPt1qrsX4zhjG1s*iptMASSD/koleta.jpg?width=650)
KOLETA AJAZA MATAMBARA KISA UJAUZITO
10 years ago
Bongo Movies08 Dec
KOLETA: Uchawi Umetawala Katika Filamu
Msanii wa filamu za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ amefunguka kuwa, tasnia ya filamu imetawaliwa na uchawi na kusisitiza kuwa itakuwa vigumu kwa baadhi ya wasanii kung’ara katika kazi hiyo.
Koleta alisema kwa sababu uchawi hauna ushahidi si rahisi kutamka hadharani lakini yeye anathubutu kusema ukweli kuhusu jambo hilo.
“Wengi wanaogopa kusutwa lakini lisemwalo lipo na kama halipo laja, suala la uchawi katika tasnia ya filamu lipo wala watu wasikatae, unakuta msanii anajua kuigiza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpwn0ODj2CaeKIfnmjnrVBaRc7ad3hQs35e1t4b6BtRGwK*Y9NSwXrhpoZwV*jvSjBYbcXJgeY0wlRyHCltxsTPT/koleta.jpg?width=650)
KOLETA ATOBOA SIRI YA KUCHUKIA WANAUME!
10 years ago
Bongo Movies11 May
Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.
Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni, Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa
“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7NNRcCrq4RQSxn-XESczWThpcrnx4pV8g1UGCMGqs3lYt7oX*uNiV4rP9WtN21xTfqdYmhI3HERh2ovhn8yWmMO/coleta.jpg?width=650)
MAKALIO YA KOLETA YADATISHA WATU MLIMANI CITY!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632rXM0Xw6Qb41JnZzC-QKASGUS5vCijCKbfdJxkQq2iOuocwC9s4NL4tZoNFfFJQqVUK4Xvypv0pIkeydOGZZrth/5.jpg?width=650)
STEVE NYERERE ACHOMOA MADAI YA KUMTENGA KOLETA