Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnec adaiwa kuchochea mapigano Kiteto

Mgogoro wa ardhi Wilaya ya Kiteto, jana umechukua sura mpya, baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Martha Umbulla kumshambulia Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM (NEC) wilaya hiyo, Emmanuel Papian kuwa ni mmoja wa wachochezi wa mapigano ya ardhi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

DC adaiwa kuchochea mauaji Kiteto

MKUU wa Wilaya (DC) ya Kiteto mkoani Manyara, Martha Umbulla, amedaiwa kuwa chanzo cha kuchochea mauaji ya wakulima na wafugaji. Madai hayo yalitolewa na Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai...

 

10 years ago

Habarileo

Asasi zatuhumiwa kuchochea migogoro ya Kiteto

IMEELEZWA kuwa baadhi ya mashirika yasiyokuwa ya kiserikali wilayani Kiteto mkoani Manyara yanachochea migogoro ya ardhi miongoni mwa jamii na makabila yanayoishi wilayani humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mfalme adaiwa kuchochea vita Kasese

Uganda hivi karibuni imeshuhudia hali ya usalama ikidbitiwa katika mipaka yake na DRC wiki moja tu baada ya zozo wa kikabila kusababisha vifo vya watu 100.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda atoa suluhisho la mapigano Kiteto

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewataka wakazi wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, wanaolima kwenye Hifadhi ya Jamii ya Emboley Murtangos, waridhie amri iliyotolewa na Mahakama ya Rufaa ya kuwataka waondoke kwenye eneo hilo wakati Serikali ikitafuta ufumbuzi wa suala la wapi watakwenda.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafugaji 30 mbaroni kwa mapigano Kiteto

Wakati bado hofu ya mapigano ya wakulima na wafugaji, ikiwa bado imetanda wilayani hapa, wafugaji 31, wamekamatwa kutokana na mapigano hayo yaliyosababisha vifo vya watu 10.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafugaji, wakulima Kiteto wauana katika mapigano

Migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji imeendelea kusababisha mauaji wilayani Kiteto mkoani Manyara baada ya watu watano, wakiwamo wakulima watatu na wafugaji wawili, kuuawa.

 

10 years ago

TheCitizen

We’ll bury many if Kiteto situation isn’t addressed penings in Kiteto?

It seems that the cries by the Deputy Speaker of the National Assembly, who is also Kongwa Member of Parliament, Mr Job Ndugai and several other law makers about the wanton killings in Kiteto have not been heard by the government. If the government has heard the cries, surely it would have moved to normalise the situation.

 

11 years ago

IPPmedia

Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto


Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto
IPPmedia
Last week The Guardian on Sunday brought you a story on the recent land conflict pitting farmers and pastoralists at the Kalikala hamlet in Kiteto District. In this second installment Gerald Kitabu reveals how the unfolding feud led to the killings of more than 10 ...

 

10 years ago

GPL

SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA

HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani