Asasi zatuhumiwa kuchochea migogoro ya Kiteto
IMEELEZWA kuwa baadhi ya mashirika yasiyokuwa ya kiserikali wilayani Kiteto mkoani Manyara yanachochea migogoro ya ardhi miongoni mwa jamii na makabila yanayoishi wilayani humo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 May
DC adaiwa kuchochea mauaji Kiteto
MKUU wa Wilaya (DC) ya Kiteto mkoani Manyara, Martha Umbulla, amedaiwa kuwa chanzo cha kuchochea mauaji ya wakulima na wafugaji. Madai hayo yalitolewa na Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai...
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Mnec adaiwa kuchochea mapigano Kiteto
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
News Alert!!:Rais Jakaya Kikwete amuumbua Afisa SUMATRA! awalipua kwa kuchochea migogoro nchini
Rais Dk. Jakaya Kikwete.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete amemuumbua mtendaji wa SUMATRA nchini kwa kile alichokieleza kuwa anakibagua chama kipya cha madereva hali ambayo inasababisha madereva hao kukosa mikataba yao na kusabisha mifarakano baina ya madereva na waajili.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafi wa nchi kavu na Majini (SUMATRA), Dk Oscar Kikoyo alijikuta katika wakati mgumu pale Rais JK...
10 years ago
TheCitizen19 Nov
We’ll bury many if Kiteto situation isn’t addressed penings in Kiteto?
11 years ago
IPPmedia23 Feb
Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto
IPPmedia
Last week The Guardian on Sunday brought you a story on the recent land conflict pitting farmers and pastoralists at the Kalikala hamlet in Kiteto District. In this second installment Gerald Kitabu reveals how the unfolding feud led to the killings of more than 10 ...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Ufisadi ni mbolea ya kuchochea ugaidi
9 years ago
Habarileo07 Sep
Diaspora watakiwa kuchochea maendeleo
WATANZANIA wanaoishi ughaibuni (diaspora) wametakiwa kuwa kichocheo cha kuleta maendeleo ya biashara na uwekezaji katika nchi yao ili kuongeza Pato la Taifa na kuboresha maisha ya mwananchi wa kawaida.
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Mchungaji atuhumiwa kuchochea uhalifu Muleba
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Kashfa ya Escrow, Jk kuzima au kuchochea moto
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
FREDY AZZAH na SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
IKIWA leo ni siku ya 23, tangu Novemba 29,mwaka huu Bunge lilipopitisha maazimio nane juu ya kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 306 katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Rais Jakaya Kikwete anatazamiwa kuuzima ama kuchochea moto wa sakata hilo atakapozungumza na wazee wa Jiji la Dar es Saalam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, Rais Kikwete leo atazungumza na wazee hao katika...