Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika atoa mil. 10/- zijenge zahanati

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika ametoa Sh milioni 10 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Zahanati ya Malamba Mawili iliyopo Kata ya Msigani katika Manispaa Kinondoni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Zahanati kugharimu mil. 150/-

MANISPAA ya Kinondoni imetenga sh milioni 150 kwa ajili ya ujenzi wa zahanati katika Mtaa wa Saranga uliopo katika Jimbo la Ubungo. Taarifa hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika atoa siku tatu

MBUNGE wa Ubungo John Mnyika, amempa siku tatu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Bashir Mrindoko, kuuelezea umma matokeo ya uchunguzi uliopaswa kufanyika kubaini kama matatizo ya mara kwa mara ya...

 

11 years ago

Michuzi

TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 25 ZA KUCHIMBA KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA MAKUBURI, DAR

 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kinondoni,Joseph Nicholous 9kushoto) akimkabidhi Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni,  ambaye pia ni Kaimu Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Dk. Gunini Kamba mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 25 ikiwa ni msaada uliotolewa na TBL kwa ajili ya ujenzi wa kisima cha maji katika Zahanati ya Makuburi, Dar es Salaam. Hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika zahanati hiyo. Kulia ni Mganga Mfawidhi wa zahanati hiyo, Stella Kivugo na...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL 45 ZA UCHIMBAJI KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA MJI MWEMA KIGAMBONI


 Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Dorice Malulu (kulia), akikabidhi mfano wa Hundi ya Sh. Milioni 45, kwa Mganga Mkuu wa Zahanati ya Mji Mwema, Kigamboni, Bw. Richard Mwita, zilizotolewa na TBL kwa ajili ya ujenzi wa kisima cha maji. Wengine katika picha ni Mwenyekiti wa Bodi, Bw. Omari Kombe (kushoto), Bi. Upendo Mwabulambo (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Mganga wa Manispaa ya Temeke, Bw. Shaidi Simba (wa pili kulia).
Mwakilishi Mkuu wa Mganga wa Manispaa ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika atoa ushahidi kesi ubunge Afrika Mashariki

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema kuna hatari Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutumia wingi wake kuendelea kuikomoa kambi rasmi ya upinzani bungeni kwa kuchagua wabunge wa Bunge la Afrika...

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge viti maalumu atoa msaada wa mil 6/-

Martha MlataMBUNGE wa Viti Maalum kupitia tiketi ya CCM mkoa wa Singida, Martha Mlata ametoa msaada wa vifaa tiba mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 5.7 kwa Kituo cha afya cha Sokoine cha mjini Singida.

 

5 years ago

CCM Blog

RC HAPI: SHULE ZOTE MKOA WA IRINGA ZIJENGE CHUMBA CHA HUDUMA YA KWANZA


Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi akiwa katika shule ya sekondari ya Ifunda Girls mkoa wa Iringa wakati wa ziara ya Iringa mpya awamu ya pili alipokuwa akikagua miradi ya elimu na kutoa tamkoa la kila shule kuwa na chumba cha huduma ya kwanzaMkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi, mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela  na mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Iringa Robert Masunya walipokuwa wanawasili katika shule ya sekondari ya Isimila kwa ajili ya kukagua miradi ya elimu na kutoa tamkoa la...

 

11 years ago

Michuzi

JK afungua ukumbi wa mihadhara CHUO cha SEKOMU, aagiza wilaya zote nchini zijenge maabara katika kila shule

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Mkuu wa Chuo cha Sebastian Kolowa Memorial University SEKOMU  Askofu Dr.Stephen Munga(kushoto)Makamu Mkuu wa Chuo cha SEKOMU Dr.Anneth Munga(watatu kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Chiku Galawa(kulia) wakikata utepe kuzindua rasmi ukumbi wa mihadhara wa Benjamin William Mkapa wilayani Lushoto Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha wageni muda mfupi baada ya kuwasili katika Chuo Kikuu chA Sebastian Kolowa Memorial University mabapo alifungua...

 

11 years ago

GPL

GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!

Na Joseph Shaluwa na Musa Mateja
MARADHI yanayomsumbua mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ni tishio, Gazeti la Mastaa, Amani limeelezwa. Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akiwa hoi hospitali. Ray C anaugua ugonjwa wa Homa ya Dengu ambao kitaalam hujulikana kama Dangue Fever. Ulibainika baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari wa Hospitali ya Mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani