Mnyika: Sijaondoa hoja ya kuitaka Hati ya Muungano
>Mjumbe wa Bunge la Katiba, John Mnyika amesema hajaondoa hoja yake ya kutaka kuwekwa wazi mkataba halisi wa Muungano wa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj2Ti3e*Tdi9vBPzfEHmMU6wf9iec8NAaB-fDSDvJwjlgjla7YP6Gh3PsM*nu260xAwAtiFQlCMBiYDSNnB0dDFn/JohnMnyikaakichangia.jpg?width=650)
MNYIKA ASHINIKIZA KUPATA HATI YA MUUNGANO
11 years ago
Habarileo02 Apr
Hati za Muungano hoja Namba 1
SIKU ya kwanza ya kujadili rasimu jana, kwa kamati tatu zilizotoa taarifa, zimeeleza mjadala umeanza kwa amani huku wajumbe wengi wakitaka kuoneshwa kwanza hati za Muungano, zilizosainiwa na waasisi wake, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Shekhe Abeid Amaan Karume, ndipo waanze mjadala.
11 years ago
Habarileo02 Apr
Hati za Muungano zawa hoja Namba 1
SIKU ya kwanza ya kujadili rasimu jana, kwa kamati tatu zilizotoa taarifa, zimeeleza mjadala umeanza kwa amani huku wajumbe wengi wakitaka kuoneshwa kwanza hati za Muungano, zilizosainiwa na waasisi wake, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Shekhe Abeid Amaan Karume, ndipo waanze mjadala.
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-LJSP0p8dKjo/VjKmw_8k3vI/AAAAAAAAXA8/KT23tWMkako/s72-c/tamko.jpg)
TAMKO LA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA YA KUITAKA TUME IMTANGAZE MSHINDI WA KITI CHA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Kigwangwalla aibuka na hoja ya muungano
11 years ago
Habarileo15 Apr
Hati ya Muungano hadharani
HATIMAYE baada ya upotoshwaji mkubwa wa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuwa Hati ya Muungano haipo, sasa Serikali imeweka hati hiyo hadharani. Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema kuwa Rais Jakaya Kikwete ameridhia hati hiyo ioneshwe na waandishi wa habari walikuwa wa kwanza kuiona hati halisi jana.
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Hati za Muungano mvurugano
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Ikulu yaonyesha hati ya Muungano
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Hati ya Muungano yatinga bungeni
HATIMAYE serikali imewasilisha bungeni nakala ya hati halisi ya makubaliano ya muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika mwaka 1964. Makamu Mwenyekiti wa Bunge, Samia Suluhu, aliwatangazia wajumbe bungeni jana...