MO anogesha tamasha la Simba Day
Mgeni rasmi katika Tamasha la Simba Day, Mohammed Dewji akichukua taswira mbalimbali kwenye majukwaa yaliyofurika mashabiki na wanachama wa Simba katika tamasha hilo lililofanyika kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi katika Tamasha la Simba Day, Mohammed Dewji akisalimiana na mmoja wa wadau kwenye jukwaa kuu wakati wa tamasha la Simba Day. Kulia mwenye pama ni Makamu wa Rais wa klabu ya Simba SC, Geofrey Nyange ‘Kaburu’.
Rais wa klabu ya soka ya Simba, Evans Aveva...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnWcGVf*OuvTrYdRLSM*dh5MT7K7prCN6VZ37mSSGMjrx4PDVQFN7ktm0VQ1*8QlT0JUmlFUVE8UOKuo*gJwcuep/simbaday11.jpg?width=650)
TAMASHA LA SIMBA DAY: SIMBA YALALA 3-0 KWA ZESCO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MIvenAIG-mQ/Vafy7AtF1_I/AAAAAAABduA/20bo7ddnuiQ/s72-c/MONALISA-2.jpg)
SIMBA DAY 2015 SIMBA KUCHEZA NA AFC LEOPARDS, KIINGILIO BURE
![](http://4.bp.blogspot.com/-MIvenAIG-mQ/Vafy7AtF1_I/AAAAAAABduA/20bo7ddnuiQ/s640/MONALISA-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cU7QaDzQTeg/Vaf0VrAplgI/AAAAAAABduM/tIA4SPj_vjo/s640/ODAMA.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Simba Day 2015 Simba kucheza na Leopards, kiingilio bure!
![SIMBA DAY 2015 Simba Kucheza na AFC Leopards, Kiingilio bure.](http://simbasports.co.tz/file/2015/07/simba-sports-club.png)
Afisa Mtendaji Mkuu wa EAG Group, Imani Kajula akiwa Pamoja na Rais wa Simba Sport Club, Evans Aveva, wakati wa uzinduzi wa Simba Day.
Dhima ya Simba Sports Club ya kuendeleza mabadiliko ndani ya Simba bado inaendelea kushika kasi, Katika kipindi cha miezi mitatu sasa, mmekuwa mashuhuda wa Simba inayolenga kuleta mapinduzi makubwa katika jinsi mpira unavyoendeshwa, kujali wanachama, wapenzi wake na kukuza vyanzo vya mapato.
Akizungumza wakati wa kutangaza rasmi Simba Week 2015 Rais wa...
10 years ago
Bongo Movies05 Aug
Picha: Bongo Movies Simba, Kuipamba Simba Day
Wachezaji wa BONGO MOVIES SIMBA wakiwa kwenye mazoezi makali kujiandaa na mechi ya SIMBA DAY tarehe 8/8 TAIFA STADIUM...HUYO MNAEMUONA NDIE MSHAMBULIAJI WAO TEGEMEO MSIKOSE
Jacob Stepehen ‘JB’ on instagram
10 years ago
Michuzi14 Aug
SIMBA SPORT CLUB YAWA ZAWADIA MASHABIKI WAKE WA BAHATI NASIBU ILIYOICHEZWA SIMBA DAY
9 years ago
MichuziTAMASHA LA KANDANDA DAY LAFANYIKA LEO JJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P6IrkiUW698/Vh0I3GAz1uI/AAAAAAAH_yQ/vScxLGYgnwo/s72-c/IMG-20151009-WA0013.jpg)
TASMA KUNOGESHA TAMASHA LA ‘KANDANDA DAY’ OKTOBA 17 MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-P6IrkiUW698/Vh0I3GAz1uI/AAAAAAAH_yQ/vScxLGYgnwo/s640/IMG-20151009-WA0013.jpg)
Msemaji Mkuu wa tamasha hilo,Mohamed Mkangara,alisema kwamba TASMA kwa kushirikiana na kamati ya kandanda Day wameamua kufanya kliniki hiyo ya wazi ili kuwapa fursa wadau wa michezo kupata mafunzo na kupima afya zao.
“Kamati ya Kandanda day,imeona kuna haja ya kushirikiana na ndugu zetu wa...
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Tamasha la NHC Family Day lafanyika Kunduchi Beach Hotel
Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Mawasiliano waNHC, Bi Suzan Omari akipata maelezo kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa shirika hilo waliokuwa wakisimamia michezo mbalimbali wakati wa tamasha la NHC Family Day lililofanyika kwenye hoteli ya Kunduchi Beach mwishoni mwa wiki likishirikisha wafanyakazi wa shirika hilo jijini Dar es salaam na familia zao na kufahamiana ikiwani pamoja na kubadilishana mawazo.
Wafanyakazi hao wakishindana katika mbio ufukweni.
Mmoja wa wafanyakazi wa NHC akiwa...
10 years ago
TheCitizen09 Aug
SOCCER : Ideal ‘Simba Day’ gift for fans