MOAT waunda kamati maalumu
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
WAMILIKI wa vyombo vya habari nchini (MOAT) wameunda kamati ndogo ambayo itakwenda Dodoma kuonana na wabunge waweze kupinga muswada wa vyombo vya habari ambao una vipengele 10 vinavyodaiwa kukandamiza uhuru wa habari nchini.
Muswada huo ambao unatarajiwa kuwasilishwa hivi karibuni una vipengele hivyo ambavyo vikipitishwa vinaweza kuwafanya wanahabari kushindwa kutimiza majukumu yao.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti Dar es Salaam jana, wamiliki hao...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Wanawake waunda kamati mfumo wa 50/50
WABUNGE wanawake nchini, wameazimia kuunda kamati ndogo ya wataalamu itakayowashirikisha wanawake kutoka katika mabunge ya Kenya, Rwanda na Uganda ili kutafuta mfumo sahihi wa uwakilishi wa uwiano wa asilimia 50...
9 years ago
Habarileo20 Dec
Mwakyembe, Kitwanga waunda kamati Magereza
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe na Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga, wameunda kamati ndogo ya wataalamu kwa ajili ya kutatua changamoto zilizopo magerezani.
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Hofu ya ebola Mtwara waunda kamati
KUTOKANA na ugonjwa wa Ebola kuenea katika baadhi ya nchi ikiwemo jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), hospitali ya Rufaa ya Ligula mjini hapa, imeunda timu ya usimamizi...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Wadau wa afya waunda kamati bungeni
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Lipualipua Kamati za Bunge Maalumu
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu yatakayovunja Muungano
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu yanayodhoofisha Muungano — 2
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Meghji alisajiliwa Bara kamati Bunge Maalumu
10 years ago
GPLAMINA MWIDAU (VITI MAALUMU CUF) NDIYE MWENYEKITI MPYA WA KAMATI YA PAC