Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwakyembe, Kitwanga waunda kamati Magereza

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe na Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga, wameunda kamati ndogo ya wataalamu kwa ajili ya kutatua changamoto zilizopo magerezani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAZIRI KITWANGA, DKT. MWAKYEMBE WATEMBELEA MAGEREZA MAKUU JIJINI DAR ES SALAAM, WAAHIDI KUBORESHA HUDUMA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Charles Kitwanga (kushoto) akisalimiana na Kamshina Jenerali wa Jeshi la Magereza,. John Minja wakati alipokuwa anawasili Gereza la Mahabusu Keko kwa ziara ya kikazi. Mwenye mawani ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu, John Mngodo.Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Charles Kitwanga  akikagua gadi maalumu iliyoandaliwa na Maafisa na Askari wa Gereza Keko alipofanya ziara ya kikazi ya kutembelea Magereza...

 

10 years ago

Mtanzania

MOAT waunda kamati maalumu

DK MENGINa Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
WAMILIKI wa vyombo vya habari nchini (MOAT) wameunda kamati ndogo ambayo itakwenda Dodoma kuonana na wabunge waweze kupinga muswada wa vyombo vya habari ambao una vipengele 10 vinavyodaiwa kukandamiza uhuru wa habari nchini.
Muswada huo ambao unatarajiwa kuwasilishwa hivi karibuni una vipengele hivyo ambavyo vikipitishwa vinaweza kuwafanya wanahabari kushindwa kutimiza majukumu yao.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti Dar es Salaam jana, wamiliki hao...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanawake waunda kamati mfumo wa 50/50

WABUNGE wanawake nchini, wameazimia kuunda kamati ndogo ya wataalamu itakayowashirikisha wanawake kutoka katika mabunge ya Kenya, Rwanda na Uganda ili kutafuta mfumo sahihi wa uwakilishi wa uwiano wa asilimia 50...

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau wa afya waunda kamati bungeni

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambao ni wataalamu wa afya, wameunda kamati ndogo ya watu saba ambayo itakuwa na jukumu la kupitia Rasimu ya Katiba na kuona jinsi gani afya imeguswa katika rasimu hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hofu ya ebola Mtwara waunda kamati

KUTOKANA na ugonjwa wa Ebola kuenea katika baadhi ya nchi ikiwemo jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), hospitali ya Rufaa ya Ligula mjini hapa, imeunda timu ya usimamizi...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI KITWANGA ALA KIAPO CHA KUWA MWENYEKITI WA TUME YA UTUMISHI YA JESHI LA POLISI NA MAGEREZA

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga akila kiapo cha kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Jeshi la Polisi na Magereza mbele ya Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu, Shabani Lila (kushoto) jijini Dar es Salaam leo. Tume hiyo inashughulikia masuala ya kiutumishi kwa askari Polisi na Magereza. Katikati ni Msajili wa Mahakama Kuu, Ilvin Mugeta.  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga akisaini hati ya kiapo mara baada ya kuapishwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Jeshi...

 

10 years ago

Habarileo

Mwakyembe aunda Kamati ya Ajali

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison MwakyembeWAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameunda Kamati Maalumu iliyopewa kazi ya kuchunguza mambo mbalimbali ambayo yatasaidia kupunguza ajali za barabarani.

 

10 years ago

Habarileo

Dk Mwakyembe atunishia msuli kamati ya Bunge

Dk Harison MwakyembeWAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameitunishia misuli Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu baada ya kugoma kuwarejesha kazini watumishi 27 wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) waliofanya mgomo kazini kinyume cha sheria.

 

5 years ago

Michuzi

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, SULEIMAN MZEE AWAFUNDA WAKUU WA MAGEREZA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA AGENDA YA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA MAGEREZA


Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akitoa maelekezo maalum leo Mei 04, 2020  katika kikao kazi cha Maafisa wa Jeshi la Magereza walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa mbalimbali katika Jeshi hilo wakiwemo wakuu wa magereza, Boharia Mkuu wa Jeshi ambapo Jenerali Mzee amewataka kuhakikisha kuwa wanasimamia ipasavyo Agenda ya mabadiliko ndani ya Jeshi la Magereza.Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akiwa meza kuu pamoja na Viongozi Waandamizi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani