Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake waunda kamati mfumo wa 50/50

WABUNGE wanawake nchini, wameazimia kuunda kamati ndogo ya wataalamu itakayowashirikisha wanawake kutoka katika mabunge ya Kenya, Rwanda na Uganda ili kutafuta mfumo sahihi wa uwakilishi wa uwiano wa asilimia 50...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

MOAT waunda kamati maalumu

DK MENGINa Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
WAMILIKI wa vyombo vya habari nchini (MOAT) wameunda kamati ndogo ambayo itakwenda Dodoma kuonana na wabunge waweze kupinga muswada wa vyombo vya habari ambao una vipengele 10 vinavyodaiwa kukandamiza uhuru wa habari nchini.
Muswada huo ambao unatarajiwa kuwasilishwa hivi karibuni una vipengele hivyo ambavyo vikipitishwa vinaweza kuwafanya wanahabari kushindwa kutimiza majukumu yao.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti Dar es Salaam jana, wamiliki hao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hofu ya ebola Mtwara waunda kamati

KUTOKANA na ugonjwa wa Ebola kuenea katika baadhi ya nchi ikiwemo jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), hospitali ya Rufaa ya Ligula mjini hapa, imeunda timu ya usimamizi...

 

9 years ago

Habarileo

Mwakyembe, Kitwanga waunda kamati Magereza

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe na Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga, wameunda kamati ndogo ya wataalamu kwa ajili ya kutatua changamoto zilizopo magerezani.

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau wa afya waunda kamati bungeni

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambao ni wataalamu wa afya, wameunda kamati ndogo ya watu saba ambayo itakuwa na jukumu la kupitia Rasimu ya Katiba na kuona jinsi gani afya imeguswa katika rasimu hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumo dume bado unatawala wanawake

MFUMO dume ulioota mizizi katika jamii kwa kisingizio cha mila, desturi na dini unachangia kwa kiasi kikubwa katika unyanyasaji wa mtoto wa kike na mwanamke nchini. Tangu enzi za mababu,...

 

10 years ago

GPL

MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE-3

WIKI iliyopita tuliishia kwenye dalili za tatizo linaloitwa Pelvic Inflammatory Diseases (PID), leo tutajikumbusha dalili hiyo na tutaendelea na upande mwingine. DALILI ZA PELVIC INFRAMATORY DISEASES (PID)
Dalili ya kwanza ilikua ni hali ya kupatwa na maumivu makali sana wakati wa hedhi ambayo kitaalamu inaitwa Dysmenorrheal, tulisema kwamba maumivu haya makali wakati wa hedhi yamegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni...

 

10 years ago

GPL

MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE

Dk. Frank Ndiyanka
+255 713 112112 | +255 753 644644
LEO tutazungumzia mmea uitwao mlonge ambao ni moja ya mmea tiba unaotumika zaidi kumtibia mwanadamu.
Mmea huu katika pande zake zote hutumika zaidi katika matibabu, nikimaanisha kuanzia kwenye mizizi, magome, majani, pamoja na maua yake.
Mmea huu unaweza kumsaidia mwanadamu katika kutatua matatizo mbalimbali katika mwili wake na leo tutaanza na upande wa mwanamke...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani