Wadau wa afya waunda kamati bungeni
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambao ni wataalamu wa afya, wameunda kamati ndogo ya watu saba ambayo itakuwa na jukumu la kupitia Rasimu ya Katiba na kuona jinsi gani afya imeguswa katika rasimu hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania27 May
MOAT waunda kamati maalumu
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
WAMILIKI wa vyombo vya habari nchini (MOAT) wameunda kamati ndogo ambayo itakwenda Dodoma kuonana na wabunge waweze kupinga muswada wa vyombo vya habari ambao una vipengele 10 vinavyodaiwa kukandamiza uhuru wa habari nchini.
Muswada huo ambao unatarajiwa kuwasilishwa hivi karibuni una vipengele hivyo ambavyo vikipitishwa vinaweza kuwafanya wanahabari kushindwa kutimiza majukumu yao.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti Dar es Salaam jana, wamiliki hao...
11 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Wanawake waunda kamati mfumo wa 50/50
WABUNGE wanawake nchini, wameazimia kuunda kamati ndogo ya wataalamu itakayowashirikisha wanawake kutoka katika mabunge ya Kenya, Rwanda na Uganda ili kutafuta mfumo sahihi wa uwakilishi wa uwiano wa asilimia 50...
9 years ago
Habarileo20 Dec
Mwakyembe, Kitwanga waunda kamati Magereza
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe na Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga, wameunda kamati ndogo ya wataalamu kwa ajili ya kutatua changamoto zilizopo magerezani.
11 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Hofu ya ebola Mtwara waunda kamati
KUTOKANA na ugonjwa wa Ebola kuenea katika baadhi ya nchi ikiwemo jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), hospitali ya Rufaa ya Ligula mjini hapa, imeunda timu ya usimamizi...
11 years ago
MichuziVIONGOZI WA KAMATI ZA AFYA ZA SHEHIYA WAPATIWA MAFUNZO JUU YA MIKAKATI YA AFYA YA JAMII ZANZIBAR
Amesema kuwa endapo mpango huo ukihamasishwa kwa jamii utaweza kuwasaidia wananchi katika kujikwamua na matatizo ya kujikinga na maradhi mbalimbali yanayojitokeza katika maeneo yao .
Akizungungumza katika ufunguzi wa mafunzo juu ya mkakati wa afya ya jamii...
5 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi
Wadau wa Sekta ya Afya kutoka Tanzania Washiriki Maonyesho ya Sekta ya Afya jijini Istanbul -Uturuki. Dec 2014.
10 years ago
Mwananchi21 Mar
Wadau wapania kukwamisha Muswada wa Habari bungeni