Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Modeli aliyeishi kama mhamiaji haramu US

Iman Abdulmajid aliishi nchini Marekani kama mhamiaji haramu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Modeli anayefanana na Naomi Campbell

Modeli aliyechekwa kwa miaka mingi kwa kuwa mrefu kupitia kiasi sasa amekuwa kivutio cha wengi

 

9 years ago

BBCSwahili

Mhamiaji ashinda dola laki 4 Uhispania

Mhamiaji mmoja raia wa Senegal ambaye hana kazi ameshinda jumla ya dola 400,000 katika mchezo wa krismasi wa bahati nasibu nchini Uhispania.

 

11 years ago

Michuzi

UHAMIAJI WAKANUSHA JUU YA MHAMIAJI ALIYEDAIWA KUTOROSHWA

IMG-20140618-WA0007 Afisa Uhamiaji wa mkoa wa Arusha Daniel Nanomba akikanusha vikali taarifa za  aliyekuwa Meneja Mauzo wa kampuni ya Tanzanite One,Jaques Beytel anayedaiwa kutoroshwa IMG-20140618-WA0006 Jaques Beytel anayedaiwa kutoroshwa   IMG-20140618-WA0008 Waandishi wa habari wakiwa kazini
Afisa Uhamiaji wa mkoa wa Arusha Daniel Nanomba amekanusha vikali taarifa za  aliyekuwa Meneja Mauzo wa kampuni ya Tanzanite One,Jaques Beytel anayedaiwa kutoroshwa na kueleza kuwa mtu huyo alipatiwa notice ya kuondoka nchi ambapo Juni 10 mwaka huu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mhamiaji mmoja auawa katika kambi ya PNG

Wakimbizi wanaojaribu kutafuta hifadhi nchini Australia walizua vurugu na kukabiliana na maafisa wa usalama wa Papua New Guinea.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia

SAM_0161

Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.

SAM_0148

Ofisa Uvuvi Mfawidhi Kituo cha kuendeleza ufugaji samaki kanda ya kati, Bwana Renatus Charles Karumbete akitoa maelezo ya namna samaki wanavyozalishwa katika kituo hicho.

Na. Jumbe Ismailly

[IGUNGA] Kituo  cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Video inayomuonesha mwanahabari akimpatia viatu vyake mhamiaji yapata umaarufu mtandaoni

Maelfu ya wahamiaji nchini India wamekuwa wakitembea mwendo mrefu kwa miguu kutoka mijini kurejea vijijini kwao. Mwandisi wa BBC Salman Ravi mmoja kumpatia viatu.

 

10 years ago

Michuzi

WARSHA YA KISAYANSI KUHUSU HUDUMA ZA HALI YA HEWA KUPITIA MODELI YA ‘PRECIS’, KUANZIA TAREHE 29 JUNI HADI 3 JULAI 2015, DAR ES SALAAM, TANZANIA.

Na Monica MutoniMamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) wameandaa mafunzo ya hali ya hewa kwa kutumia modeli ya PRECIS (Providing Regional Climates for Impact Studies) kuanzia tarehe 29 Juni hadi 03 Julai 2015. Warsha/ mafunzo haya yameandaliwa na TMA chini ya mwamvuli wa mradi wa GFCS unaotekelezwa kwa upande wa Afrika katika nchi za Tanzania na Malawi.  Washiriki wa mafunzo hayo kutoka TMA na Kurugenzi ya Hali ya Hewa ya Malawi ...

 

11 years ago

GPL

MTOTO ALIYEISHI NDANI YA BOKSI MIAKA ...

Stori:  DUSTAN SHEKIDELE, Morogoro
WAKATI bado wananchi wakiwa wanajiuliza kilichosababisha mama mkubwa wa mtoto Nasra Mvungi kumficha binti huyo mwenye miaka minne ndani ya boksi, makubwa yameibuka kuhusu chanzo hasa cha malezi hayo ya kudhalilisha. Mtoto aliyedaiwa kuishi ndani ya biksi kwa miaka mitatu akiwa na baba yake na kati ni Mama mkubwa wa mtoto huyo Nasra Mvungi anayedaiwa kufanya kitendo hicho. Kwa mujibu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Chidiebele: Muuaji wa Simba aliyeishi kwa mkate

“Maisha ni safari ndefu yenye milima na mabonde, lakini Mwenyezi Mungu akikufungulia njia unafika unakokwenda,” ndivyo anaanza kusimulia mshambuliaji wa Stand United, Abasirim Chidiebele raia wa Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani