Mohamed: Nitahakikisha namuenzi baba
Wapenzi wa ndondi wanalikumbuka jina la Rashid ‘Snake Man’ Matumla ambaye miaka ya 1990 alijulikana zaidi kama Snake Boy ambaye ametangaza kuwaaga rasmi mashabiki wake na kumrithisha ‘mikoba’ mwanaye Mohamed.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Libj3OwXRSU/XutZuZrz6iI/AAAAAAABMfQ/622pzjw7HuYoYomX-THjQeUXsDo_V7cwgCLcBGAsYHQ/s72-c/MMM.jpeg)
MOHAMED HIJA MOHAMED ACHUKA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Libj3OwXRSU/XutZuZrz6iI/AAAAAAABMfQ/622pzjw7HuYoYomX-THjQeUXsDo_V7cwgCLcBGAsYHQ/s400/MMM.jpeg)
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Magufuli: Nitahakikisha nchi haifanywi shamba la bibi
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Sakaya: Nitahakikisha CUF inashika dola 2015
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnVZ5sg4fK2f2TeK2LkMJ6GqsExjYADxg*twtG7aFwk6yM4AJM6Oc2I65c59GOejnkcAzRPGgLYT7AQGXC12oiu4/aunti.jpg)
AUNT EZEKIEL: NITAHAKIKISHA NAMPA PENZI MUME WA MTU
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-7
ILIPOISHIA IJUMAA WIKIENDA:
Saa kumi juu ya alama, mama Pilima alipokea simu kwa namba asiyoijua, akajua ni baba Pili…
“Haloo…niambie baba Pili…wapi? Ooo…napajua…oke… we umeshafika? Haya nakuja sasa hivi mpenzi wangu…”
BANJUKA NAYO MWENYEWE…
Mama Pilima alichukua usafiri mpaka kwenye hoteli aliyoelekezwa na mwanaume huyo. Akaingia ndani mpaka chumbani bila kupotea ambapo alimkuta mwenyeji wake amejaa tele japo alikuwa hajavua nguo kwa sababu machale yalimcheza…
“Unajua nini…saa zile nakuita...
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-6
ILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA:
“Yes! Hakuna mtu anayepita eneo hili muda huu,” alisema mama Pilima hali iliyomfanya baba Pili aamini kwamba huenda wanakwenda kutimiza ndoto yake…
“Egemea kiti,” alisema mama Pilima…
JIRUSHE MWENYEWE…
Baba Pili aliegemea kiti kwa haraka sana, akatumbua macho kusubiri hatua nyingine akiamini ataambiwa au ataelekezwa…
“Mmm! Baba Pili acha mi niende bwana. Muda umekwenda kwelikweli, si ajabu nyumbani wameanza kuingiwa na wasiwasi,” alisema mama Pilima akiwa tayari...
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-5
ILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA WIKIENDA:
“Sasa niwe nyumba ndogo yako baba Pili si utakuwa unapata shida? Mimi najua nyumba ndogo lazima iwe free…ukitaka kwenda unakwenda muda wowote ule.”
“Hapana si lazima…unaweza kuwa mke wa mtu halafu bado ukawa nyumba ndogo yangu,” alifafanua baba Pili akionekana yuko siriasi kabisa na maneno yake…
JIACHIE MWENYEWE…
“Mh! Mimi nadhani au napendekeza tuendelee kuwa kama hivi…marafiki wakubwa lakini wa siri…mume wangu baba Pilima asijue wala mke wako mama Pili...
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-10
ILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA:
“Eti anakuuliza wewe nani?” aliuliza yule abiria akiwa ameinama kidogo ili amuone vizuri yule abiria…
“Anasema anaitwa baba Pili,” yule abiria alimwambia mama Pilima.
Mama Pilima akatembea kwa kasi hadi mlangoni mwa gari…
“Mzima baba Pili?”
“Mzima, twende nikupe lifti.”
SHUKA NAYO MWENYEWE SASA…
Mama Pilima alijikuta akizama ndani ya gari hilo huku akisema…
“Kwani we unakwenda wapi?”
“Mbelembele kule…wewe unakwenda wapi?” alisema baba Pili…
“Nakwenda mahali mara...