Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sakaya: Nitahakikisha CUF inashika dola 2015

>Naibu Katibu Mkuu mpya wa Chama cha Wananchi (CUF), Magdalena Sakaya amejigamba kuwa atatumia nafasi hiyo kuhakikisha kuwa chama hicho kinashika dola katika uchaguzi mkuu wa 2015.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mtatiro aachia ngazi CUF, Sakaya amrithi mikoba

>Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) limemchagua Mbunge wake wa Viti Maalumu, Magdalena Sakaya kuwa naibu katibu mkuu wa chama hicho upande wa Tanzania Bara kushika nafasi iliyoachwa wazi na Julius Mtatiro.

 

10 years ago

Michuzi

POLISI YAPIGA MARUFUKU MAANDAMANO YA VIJANA WA CUF,WATAKAO ANDAMANA NGUVU YA DOLA ITATUMIKA

Na Chalila Kibuda.


Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia maandamano ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Wananchi (JUVICUF) na kusema watakaoandamana

kesho  nguvu ya dola itatumika


Akizungumza na waandishi wa habari leo,Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Kamishina wa Jeshi la Polisi (CP),Suleiman Kova amesema wamewashauri vijana hao na kusema wataandamana hivyo ni lazima nguvu itumike kuzima maandamano hayo kutokana na kuzuia kufanyika kwa shughuli...

 

9 years ago

TheCitizen

Opposition settles for Medeye, Sakaya

Seven opposition party cadres have picked nomination forms to vie for the Speaker’s seat, bringing the number of candidates vying for the seat to eight.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo kuwekeza dola million 30 kanda ya kaskazini mwaka 2015

Tigo GM 3

Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania Cecile Tiano (kulia) akiongea na waandishi wa habari Mkoani Arusha (hawapo pichani), wakati wa kutangaza kuongeza kwa uwekezaji wa dola za kimarekani milioni 30 kwa mikoa ya kanda ya Kaskazini mwishoni mwa wiki, kulia kwake ni Meneja Mkuu wa kanda hiyo David Charles.

Kaimu Meneja mkuu wa Tigo Tanzania, Cecile Tiano, ameelezea nia ya kampuni yake kuongeza uwekezaji katika mikoa ya kanda ya kaskazini kwa kiasi cha dola za kimarekani milioni 30 alipokuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mohamed: Nitahakikisha namuenzi baba

Wapenzi wa ndondi wanalikumbuka jina la Rashid ‘Snake Man’ Matumla ambaye miaka ya 1990 alijulikana zaidi kama Snake Boy ambaye ametangaza kuwaaga rasmi mashabiki wake na kumrithisha ‘mikoba’ mwanaye Mohamed.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania kuwekeza dola milioni 120 katika mtandao wake 2015

DSC01093

Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Cecile Tiano akiongea na waandishi wa habari kuhusu kampuni yake itakavyowekeza mwaka huu, Kulia ni Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha.

DSC01095

Tigo Tanzania imepanga kutumia kiasi cha dola milioni 120 (Shilingi bilioni 221) mwaka huu kwa ajili ya upanuzi wa mtandao wake utakao ongeza ufanisi wa huduma zake nchini.

Akizungumza mipango hiyo ya kampuni kwa mwaka 2015, Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Bi.Cecile Tiano alisema kwamba uwekezaji wa mwaka huu ni ishara...

 

9 years ago

2020 Election Manifesto

CUF Unveils Its 2015


CUF Unveils Its 2015-2020 Election Manifesto
AllAfrica.com
IN attempt to woo voters, the Zanzibar Civic United Front (CUF) presidential candidate Seif Sharif Hamad on Sunday unveiled the party's election manifesto which details how the islands will be transformed if he is voted into power. He described the ...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Nitahakikisha nchi haifanywi shamba la bibi

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk  John Magufuli amesema iwapo atachaguliwa kuingia Ikulu, atahakikisha nchi inapata mgao halali kutokana na uwekezaji kwenye rasilimali zilizopo.

 

11 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL: NITAHAKIKISHA NAMPA PENZI MUME WA MTU

Stori: Musa Mateja Makubwa! Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson amefungukia madai ya kutoka na dansa wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ aitwaye Moze Iyobo ambaye ni mume wa mtu akisema hakuna ukweli wowote zaidi ya kutaka kuchafuliwa. Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda wikiendi iliyopita, Aunt ambaye gazeti ndugu la hili, Risasi Mchanganyiko liliripoti tukio la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani