Tigo kuwekeza dola million 30 kanda ya kaskazini mwaka 2015
Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania Cecile Tiano (kulia) akiongea na waandishi wa habari Mkoani Arusha (hawapo pichani), wakati wa kutangaza kuongeza kwa uwekezaji wa dola za kimarekani milioni 30 kwa mikoa ya kanda ya Kaskazini mwishoni mwa wiki, kulia kwake ni Meneja Mkuu wa kanda hiyo David Charles.
Kaimu Meneja mkuu wa Tigo Tanzania, Cecile Tiano, ameelezea nia ya kampuni yake kuongeza uwekezaji katika mikoa ya kanda ya kaskazini kwa kiasi cha dola za kimarekani milioni 30 alipokuwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Tigo kuwekeza dola milioni 1 kupanua huduma zake Zanzibar
Kaimu Meneja Mkuu mpya wa Tigo Bi. Cecile Tiano.
Tigo Tanzania imepanga mwaka huu kujenga minara 10 mipya ya simu yenye thamani ya dola milioni moja (1) katika visiwa vya Zanzibar kama moja ya mikakati yake ya upanuzi wa huduma zake nchini.
Hii ilitangazwa leo na Kaimu Meneja Mkuu mpya wa Tigo Bi. Cecile Tiano wakati alipotembelea Zanzibar kwa mara ya kwanza kukutana na wadau wa kampuni kisiwani hapo.
Bi. Tiano alisema kwamba minara hii mipya 10 ni uwekezaji mkubwa ambao kampuni hiyo...
10 years ago
Dewji Blog20 Feb
Tanzania kuwekeza dola milioni 120 katika mtandao wake 2015
Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Cecile Tiano akiongea na waandishi wa habari kuhusu kampuni yake itakavyowekeza mwaka huu, Kulia ni Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha.
Tigo Tanzania imepanga kutumia kiasi cha dola milioni 120 (Shilingi bilioni 221) mwaka huu kwa ajili ya upanuzi wa mtandao wake utakao ongeza ufanisi wa huduma zake nchini.
Akizungumza mipango hiyo ya kampuni kwa mwaka 2015, Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Bi.Cecile Tiano alisema kwamba uwekezaji wa mwaka huu ni ishara...
10 years ago
Michuzi21 Mar
UMOJA WA VYAMA VYA WANAFUNZI ELIMU YA JUU KUTOKA VYUO MBALIMBALI KANDA YA KASKAZINI WAMUOMBA PROF.MUHONGO KUGOMBEA URAIS 2015
![IMG_8515](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/YK5JdFGBw-GKQMMrLQc4ng65YITIhbdN3d3lT4T7Ps3ed0rLYYAy03OHEAOLQlTyWQIGCgqSp2TNpd3NagEeYV0Eh1-aIJS0bSimPXpOgi5neL1SzBzBTvk=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8515.jpg?w=660)
![IMG_8521](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/kgeoi6XMMV_Smw1YSKVAwo79aSUU99eogLuacUN3VS3lQeicUi0HfUtdEz4aSQqAzkJRH4yqDMW4P3ceA2giaYEdlk1HrSEqNBy5xKiEdJ4U6d9IquCWDcI=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8521.jpg?w=660)
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro. Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cxf_Sq4ncTo/VWK9kkme6TI/AAAAAAAHZjg/xI2itwy_CWs/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
KAMPUNI YA SHELTER AFRIQUE YATOA DOLA MILIONI 1 KUWEKEZA NDANI YA TMRC
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cxf_Sq4ncTo/VWK9kkme6TI/AAAAAAAHZjg/xI2itwy_CWs/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zCCTWs2RzD8/VWK9kl12DgI/AAAAAAAHZjY/-aymhygbeo8/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo25 Mar
Viwavijeshi kushambulia Kanda za Mashariki, Kaskazini
WAKULIMA wametakiwa kuchukua hadhari mapema, kutokana na kutabiriwa kuwepo kwa milipuko ya viwavijeshi vinavyoathiri mazao. Taarifa za utabiri za mwenendo wa milipuko ya viwavijeshi katika msimu wa kilimo 2013/2014, zinaashiria kuwepo kwa milipuko mikubwa hasa katika Kanda ya Mashariki na Kaskazini.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqxQSKXKvxSGUFMFz9TtxF3Bs*OBQXiDz1wB4BtRN-5TARspxoKApgqvscQTWUMrnSOvL9*XVF-pyW7xqpuA2LO1/Chadema_logo.jpg)
CHADEMA YATANGAZA WAGOMBEA WA UDIWANI KANDA YA KASKAZINI
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Raisa ndie Redds Miss kanda ya Kaskazini
![](http://1.bp.blogspot.com/-yVV4A9Ehavc/U7F7EJy5kbI/AAAAAAAAMyY/zeAZeVX8q80/s1600/IMG-20140628-WA0108.jpg)
Hawa ndio washindi wa Redd’s Miss kanda ya Kaskazini kwa mwaka 2014.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7U6DvMw5GFQ/U7F7PM5vAcI/AAAAAAAAMyg/wp1DPpiAGpU/s1600/IMG-20140628-WA0021.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9JyT2XU-RSA/U7F7PVmFfqI/AAAAAAAAMyk/RvQKKUOP1D4/s1600/IMG-20140628-WA0022.jpg)
Hawa ni wadhimini wa shindano hilo kutoka Minjingu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-EYv05fb1a1k/U7F7T8l_lbI/AAAAAAAAMzs/Uxn7ENLiHlk/s1600/IMG-20140628-WA0030.jpg)
LEMUTUZ nae alikuwemo ndani ya Redd’s Miss Kanda ya Kaskazini bila kumsahau mwenyekiti wa Taswa Juma Pinto.
![](http://3.bp.blogspot.com/-FF4O462Mma0/U7F7UKby9fI/AAAAAAAAMzo/gd3zNQBxL88/s1600/IMG-20140628-WA0031.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9oro-J-xrf0/U7F7VGySvuI/AAAAAAAAMz4/cBpV9iaIicg/s1600/IMG-20140628-WA0033.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha pamoja na mkuu wa mkoa wa Manyara waliuthuria katika usiku huo wa kumsaka mrembo wa kanda ya kaskazini ambapo katika shindano hilo warembo wanne wa mwanzo wataingia katika kambi ya Redd’s miss Tanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jcw9FfOsuOE/U7F7VjdYt1I/AAAAAAAAMz8/O15OeXy-0kg/s1600/IMG-20140628-WA0034.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t6xLtKVqv1I/U49bb1Mwk9I/AAAAAAAFnsw/9jki9UfoiKI/s72-c/bb+1.jpg)
Tamasha la wanahabari kanda ya kaskazini kufanyika june 28
![](http://1.bp.blogspot.com/-t6xLtKVqv1I/U49bb1Mwk9I/AAAAAAAFnsw/9jki9UfoiKI/s1600/bb+1.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jana , Katibu wa chama cha waandishi wa habari za michezo na burudani mkoa wa Arusha,(TASWA- Arusha) Mussa Juma, alisema maandalizi muhimu ya Bonanza yameanza.
Juma alisema bonanza hilo,ambalo huandaliwa na TASWA Arusha na kampuni ya MS UniquePromotion...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10