MOI YATOA MAFUNZO YA CORONA KATA YA KISUKURU

Taasisi ya Tiba ya Mifupa MOI imetoa mafunzo ya namna ya kujikinga na ugonjwa wa Corona kwa wenyeviti pamoja na makatibu wa mashina ya chama Cha Mapinduzi (CCM) kata ya kisukuru jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa MOI amesema mafunzo hayo yamefanyika kutokana na ombi la viongozi wa Kisukulu ambao waliomba taasisi ya MOI kutoa mafunzo hayo ili kuwajengea uwezo na uwelewa viongozi hao ili wakawaelimishe wananchi wao.
"Tulipokea mamombi ya kuja kutoa elimu hapa, tukaona tuje kwani jukumu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziAGAPE ACP YATOA MSAADA WA VIFAA KUKABILIANA NA CORONA VIJIJI VYA KATA YA MWAMALA SHINYANGA
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la AGAPE ACP, John Myola (kushoto) akimkabidhi ndoo ya kunawia mikono Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko. Shirika limetoa msaada wa ndoo 62, sabuni 62 za maji na barakoa 150 kwa ajili ya kusaidia wananchi wa vijiji vya kata ya Mwamala halmashauri ya wilaya ya Shinyanga ili kukabiliana na Maambukizi ya Virusi vya Corona. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Dereva bajaji wanaotoa mafunzo ya Corona nchini Tanzania
9 years ago
Dewji Blog29 Aug
CCM kata ya Majengo yatoa kauli kali
Mwenyekiti wa CCM kata ya Itigi Majengo,wilaya ya Manyoni, Mkoani Singida, Bwana Haroub Suleim akiwahutubia wananchi wa mji mdogowa Itigi na vitongoji vyake wakati wa kuwanadi wagombea wa ubunge na udiwani wa jimbo la Manyoni magharibi uliofanyika Itigi mjini.
Mgombea wa ubunge mteule wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Bwana Yahaya Masare akiomba kura kwa wanachma pamoja na wananchi kwa ujumla wa jimbo la Manyoni magharibi kwenye mkutano uliofanyika mji mdogo wa Itigi, wilayani...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Maziko ya Daniel arap Moi: Maelfu ya raia wamiminika Kabarak kumuaga rais mstaafu Daniel Moi
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
WLAC yatoa mafunzo ya katiba
KITUO cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake na Watoto (WLAC), kimeendesha mafunzo ya katiba ili kuwawezesha watu wa rika mbalimbali kuelewa yaliyomo kwenye katiba ya sasa na rasimu ya katiba...
11 years ago
GPLWAZAZI, WALIMU, UONGOZI WA SHULE YA SEKONDARI YA KISUKURU REGENT WAKUTANA
11 years ago
Michuzi.jpg)
NMB YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA UPEPO MKALI KATA YA IZAZI MKOANI IRINGA
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAANZA KUTOA MAFUNZO YA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME KATIKA NGAZI YA KATA, WILAYANI SAME
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAENDELEA KUTOA MAFUNZO YA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME KATIKA NGAZI YA KATA, WILAYANI SAME
.jpg)
.jpg)