Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WLAC yatoa mafunzo ya katiba

KITUO cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake na Watoto (WLAC), kimeendesha mafunzo ya katiba ili kuwawezesha watu wa rika mbalimbali kuelewa yaliyomo kwenye katiba ya sasa na rasimu ya katiba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Baclays yatoa mafunzo kwa wanafunzi

BENKI ya Barclays tawi la Iringa imetoa mafunzo ya utunzaji fedha kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Highlands ya mjini hapa  kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kuhifadhi fedha sehemu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DEP yatoa mafunzo kwa Polisi

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Programu ya Maendeleo (UNDP) kupitia Mradi wa Uwezeshaji Demokrasia (DEP) wenye thamani ya dola milioni 22 za Marekani, umezindua programu ya mafunzo ya kina...

 

5 years ago

Michuzi

MOI YATOA MAFUNZO YA CORONA KATA YA KISUKURU

Taasisi ya Tiba ya Mifupa MOI imetoa mafunzo ya namna ya kujikinga na ugonjwa wa Corona kwa wenyeviti pamoja na makatibu wa mashina ya chama Cha Mapinduzi (CCM) kata ya kisukuru jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa MOI amesema mafunzo hayo yamefanyika kutokana na ombi la viongozi wa Kisukulu ambao waliomba taasisi ya MOI kutoa mafunzo hayo ili kuwajengea uwezo na uwelewa viongozi hao ili wakawaelimishe wananchi wao.

"Tulipokea mamombi ya kuja kutoa elimu hapa, tukaona tuje kwani jukumu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vodacom yatoa fursa kwa ziara za mafunzo

KAMPUNI ya Vodacom imetoa fursa kwa wanafunzi wa ngazi mbalimbali kuifanya kuwa sehemu ya ziara za mafunzo yakiwemo ya huduma za mawasiliano ya simu, masuala ya ajira, na Teknolojia ya...

 

10 years ago

GPL

BASATA YATOA MAFUNZO KWA WASANII‏

Kaimu Katibu Mtendaji wa BASATA Godfrey Mngereza (Kushoto) akisisitiza jambo wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wasanii wa batiki yaliyoanza mapema wiki hii kwenye Ofisi za Baraza hilo zilizoko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Ujereum Bi. Eleonore Sylla na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni  Bi. Leah Ruhimbi .
...

 

10 years ago

Tanzania Daima

NHC yatoa mafunzo ufyatuaji tofali za kisasa

VIJANA 40 wilayani hapa, wameanza mafunzo ya siku saba kufyatua tofali za kisasa ili kusaidia kupunguza uharibifu wa mazingira pia kuondosha tatizo la ajira na kuinua kipato kwa vijana. Mratibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

WLAC yawanoa wanawake walemavu

WAKATI wanawake wengi wakielezwa kuwa na uelewa mdogo kuhusu mchakato wa Katiba mpya, wanawake wenye ulemavu wameelezwa kuwa mara mbili yake. Mwanasheria wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake...

 

10 years ago

Michuzi

TMF yatoa mafunzo kwa wanahabari wa Sauti ya mnyonge

Mratibu wa mradi wa ruzuku kwa waandishi wa habari wa mfuko wa waandishi wa habari nchini (TMF) Danstan Kamanzi akizungumza jana mjini Dodoma na kikundi cha waandishi wa habari wanaoandika habari za wasiosikika (Sauti ya mnyonge) kwenye mafunzo ya siku tano ya kuandika habari za mitandao ya jamii yanayofanyika Dodoma hotel. Miongoni mwa waandishi wa habari 17 wa kikundi cha waandishi wa habari wanaoandika habari za wasiosikika (Sauti ya mnyonge) wakiwa mjini Dodoma kwenye mafunzo ya siku...

 

10 years ago

Michuzi

Nacte yatoa taratibu za uendeshaji wa mafunzo ya ufundi nchini

Kaimu katibu mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt.Adolf Rutayuga akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari hawapo (pichani) wakati alipokuwa akiongea nao makao makuu ya ofisi hizo yaliyopo Mikocheni  jijini Dar es Salaam, kuhusiana na  maamuzi mbalimbali yaliyofanywa  na baraza hilo katika kuratibu uendeshaji wa mafunzo ya elimu ya ufundi nchini. Kushoto ni Mkurugenzi wa Ukaguzi na ufuatiliaji wa Ubora wa Mafunzo wa (NACTE) Agnes Ponera na Msaidizi wa Katibu Mtendaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani