Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moshi, Serene Home of Kilimanjaro


Moshi, Serene Home of Kilimanjaro
AllAfrica.com
Twenty two hours on a bus is a long time. First, it is tiring and then laborious. My destination was Moshi, one of Tanzania's largely semi-urban town, located near Mount Kilimanjaro. When I arrived on a Friday night, it was serene and quite inviting ...

AllAfrica.com

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MOSHI YAFUNIKA TAMASHA LA KILIMANJARO MUSIC TOUR

Wakazi wa mji wa Moshi wakifuatilia tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager. Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Kala Jeremiah akifanya vitu vyake wakati wa tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kilimanjaro Music Tour yabisha hodi Moshi

ZIARA ya Kilimanjaro Music Tour ambayo imeanza kuwa gumzo kwa sasa katika sekta ya burudani, imebisha hodi mjini Moshi ambako wapenzi wa muziki wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake kutoka...

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA CHADEMA MJINI MOSHI MKOANI KILIMANJARO.

Mwenyekiti wa Chama Taifa Freeman Mbowe akihutubia mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Reli, Kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi mjini jana.Baadhi ya Wakazi wa  Kata ya Njoro,Manispaa ya Moshi mjini wakiwa kwenye mkutano wa hadhara katika uwanja wa reli wakimsikiliza Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa ,Mh Freeman Mbowe.

 

5 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa DCB washiriki Kilimanjaro Marathon mjini Moshi.

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe (Katikati), Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dk. Anna Mghwira (wa pili kushoto) pamoja na baadhi ya wakimbiaji wa Benki ya Biashara ya DCB wakishiriki mbio za kujifurahisha za kilomita 5 wakati wa mashindano ya Kilimanjaro Marathon 2020 yaliyofanyika katika Uwanja wa Chuo cha Ushirika Mjini Moshi, Kimanjaro leo.  Wafanyakazi wa Benki ya Biashara ya DCB, wakishiriki mbio za Kilomita 21 pamoja na wakimbiaji wengine katika...

 

10 years ago

Michuzi

Kilimanjaro Marathon 2015 kufanyika Machi 1,mjini Moshi

Mbio za 13 za Kilimanjaro Marathon ambazo zimepangwa kufanyika Machi 1, 2015 mjini Moshi mkoani Kilimanjaro zimepata msisimko mpya baada ya wanariadha nyota wa Tanzania kuthibitisha kushiriki.
Mkurugenzi wa Mbio hizo John Bayo jana katika taarifa yake kwa vyombo vya habari aliwataja baadhi ya wanariadha nyota kutoka Tanzania kuwa ni Andrew Sambu, Daudi Joseph, Mashaka Masumbuko, watachuana na wanariadha wengine kutoka nchini na kutoka nje ya nchi katika mbio za Kilimanjaro Premium Lager...

 

11 years ago

Michuzi

Maandalizi Kilimanjaro Marathon 2014 yaendelea mjini Moshi

Na Dixon Busagaga  wa Globu ya Jamii, Moshi.   Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika kwa mbio za mwaka huu ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo sasa zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa.  Njia mpya zimelenga kuboresha mwendo wa washiriki barabarani na kuwafanya wafurahie zaidi mbio hizo zilizopangwa kufanyika tarehe 2 Machi, 2014 mjini Moshi.   Akitangaza njia hizo mpya jana, John Addison, Mkurugenzi wa Wild...

 

10 years ago

Michuzi

Makalla alipokuwa ziarani mjini Moshi mkoa wa Kilimanjaro

Naibu waziri wa Maji Mhe.Amos makalla akizindua mradi wa maji karanga mjini MoshiNaibu waziri wa maji Amos makalla akiwahurubia wafanyakazi wa mamlaka maji Moshi Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akikabidhi tuzo ya ubora wa utunzaji mazingira kwa mkurugenzi wa mamlaka maji moshi Injinia Cryspin Lumeleja Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla Naibu wazir maji akiongea na wajumbe wa bodi ya mamlaka maji moshiNaibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akikagua chanzo cha maji cha Mto Karanga...

 

9 years ago

Vijimambo

MKOMBOZI BANK YAZINDUA TAWI JIPYA MOSHI MKOANI KILIMANJARO.

Baadhi ya wananchi wakishuhudia ufunguzi rasmi wa Benki ya Mkombozi tawi la Moshi.Askofu wa jimbo Katoliki la Moshi ,Mhashamu Baba Askofu Isaac Amani akimwaga maji ya baraka katika jingo la Benki ya Mkombozi tawi la Moshi.
Maeneo tofauti ya Benki hiyo kwa ndani.Askofu wa jimbo Katoliki la Moshi ,Mhashamu Baba Askofu Isaac Amani akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa tawi jipya la Benki ya Mkombozi mjini MoshiBaadhi ya wafanyakzi wa Benki ya Mkombozi tawi la Moshi wakiwa katika sare maalumu...

 

10 years ago

Michuzi

MSIMU WA 13 WA MBIO ZA KIMATAIFA ZA KILIMANJARO MARATHONI WAZINDULIWA MJINI MOSHI

Katibu tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Seveline Kahitwa akiwa ameshika bendera kuashiria uzinduzi wa msimu wa 13 wa mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathoni,Uzinduzi uliofanyika Hotel ya Kibo Homes,Wengine ni Viongozi katika kampuni ambazo zimejitkeza kudhamini mbio hizo Katibu tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Seveline Kahitwa akizungumza wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa msimu wa 13 wa mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathoni,Uzinduzi uliofanyika Hotel ya Kibo Homes, Meneja wa Bia ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani