Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho akaribia kutua Old Trafford

Wamiliki wa Manchester United ndiyo wenye uamuzi wa mwisho wa kumtimua Louis van Gaal baada ya Jose Mourinho kukubali kuwa kocha mpya wa miamba hiyo ya Old Trafford.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

RAHEEM STERLING HATIHATI KUTUA OLD TRAFFORD

Mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling huenda akaelekea katika kilabu ya Manchester United ,hatahivyo mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 ana wasiwasi kuhusu athari za uhamisho huo hususan kutokana na ushindani mkali uliopo kati ya klabu hizo mbili.Hatahivyo Liverpool imesema kuwa haiko tayari kufanya biashara na wapinzani wao wakuu kutoka Kaskazini Magharibi.
Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Luois Van Gaal anavutiwa na kasi ya mchezaji huyo na uwezo wake wa kuwaponyoka...

 

9 years ago

MillardAyo

Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video)

Jumamosi ya December 19 zimechezwa mechi saba za Ligi Kuu Uingereza, michezo ambayo ilikuwa inatajwa kuwa na mvuto zaidi ni mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Sunderland. Huu ulikuwa na mvuto kwa sababu ndio mchezo wa kwanza wa Chelsea kucheza bila kuwepo kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Jose Mourinho.Chelsea imefanikiwa kuifunga Sunderland kwa jumla […]

The post Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video) appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Binadamu ‘akaribia’ Sayari ya Pluto

Watafiti hao wamejitoa kwa robo ya maisha yao kufuatilia vifaa hivyo ambavyo vinatarajiwa kutoa matokeo mengine hivi karibuni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sikinde yarejea ‘Old Trafford’

BAADA ya miaka minne, hatimaye kundi zima la Mlimani Park Orchestra ‘Sikinde’ limetanagaza kurejea rasmi ndani ya ukumbi wa DDC Kariakoo jijini Dar es Salaam. Ukumbi ambao mashabiki wa ‘Nginde’...

 

10 years ago

Vijimambo

Ronaldo v Messi at Old Trafford

and Lionel Messi, will go head-to-head in Manchester on Tuesday when Portugal take on Argentina at Old Trafford (kick-off 19:45 GMT).

 

11 years ago

BBCSwahili

Ferdinand kuondoka Old Trafford

Mlinzi wa Manchester United Rio Ferdinand amesema ataondoka Old trafford msimu ujao.

 

11 years ago

Mwananchi

Waliokuwa Old Trafford warejea

>Washindi wa awamu ya kwanza ya promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa wamerejea nchini wakitokea England waliokuwenda kushuhudia mpambano ya Ligi Kuu ya nchi hiyo kati ya Manchester United na Cardiff City kwenye Uwanja wa Old Trafford.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raheem Sterling kuelekea Old Trafford?

Mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling huenda akaelekea katika kilabu ya Manchester United

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtendaji Nangolo huyoo Old Trafford

OFISA Mtendaji wa Kijiji cha Nangolo, wilayani Kilwa, mkoani Lindi, Shaibu Dege, ameibuka mshindi wa tiketi mbili za kwenda kuangalia mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza kwenye Uwanja wa Old...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani