Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho amtimua daktari wa timu

Meneja wa Chelsea,Jose Mourinho anapaswa kuomba msamaha kwa daktari wa timu Eva Carneiro ''kwa kumfedhehesha hadharani''

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Daktari'mjinga' hatakuwepo uwanjani

Meneja wa Chelsea manager Jose Mourinho amekariri msimamo wake dhidi ya kitengo cha utabibu cha timu yake.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kumtimua Jose Mourinho, Chelsea imetangaza kocha wa muda wa timu yao ….

Uongozi wa klabu ya Chelsea December 16 iliripotiwa kuweka kikao cha dharura kujadili mwenendo wa timu yao kwa sasa, Chelsea baada ya kukaa kikao hicho cha bodi, December 17 walitangaza rasmi kumfuta kazi Jose Mourinho na nafasi yake kubaki wazi. Stori mpya ni kuwa uongozi wa klabu ya Chelsea December 19 umetangaza rasmi kumteua kwa […]

The post Baada ya kumtimua Jose Mourinho, Chelsea imetangaza kocha wa muda wa timu yao …. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Timu mbovu kuliko zote duniani inataka kumuajiri Mourinho, eti akitwaa taji la Ligi wanamfukuza !!!

Ikiwa bado tunaelekea katika kipindi cha dirisha dogo la usajili la mwezi January kwa vilabu vya barani Ulaya, bado zile headlines za kocha huyu ataenda huku na mchezaji huyu ataenda kule zinachukua nafasi. Aliyekuwa kocha wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Jose Mourinho, December 30 zimetoka stori za klabu ya kibrazil imeomba kutaka kumuajiri. Ibis […]

The post Timu mbovu kuliko zote duniani inataka kumuajiri Mourinho, eti akitwaa taji la Ligi wanamfukuza !!! appeared first on...

 

10 years ago

GPL

MWIMBAJI AMTIMUA MWANAMKE!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Haijakaa poa! Katika hali isiyokuwa  ya kawaida, mwimbaji ambaye ni Prezidaa wa Bendi ya Mikumi Sound, Joshua Malekela amelazimika kumtimua mwanamke mmoja ukumbini, kisa kikielezwa ni mcharuko.
Tukio hilo la aina yake lilijiri wikiendi iliyopita kwenye Ukumbi wa Black Poiny uliopo maeneo ya Iringa Road, Msamvu mjini hapa ambapo bendi hiyo ilikuwa ikishusha burudani. Mlinzi akimuondoa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tsvangirai amtimua hasimu wake

Kiongozi wa MDC Morgan Tsvangirai alitimuliwa na chama hicho wiki jana lakini naye sasa amemtimua katibu mkuu wake Tendai Biti

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chenge amtimua Mwingulu kikaoni

MAKOMBORA ya Kamati ya Bajeti yameilazimisha serikali kufyeka sh bilioni 170 kutoka katika matumizi yasiyo ya lazima na kuzipeleka kwenye maeneo yenye tija. Tanzania Daima, imedokezwa kuwa uamuzi huo wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri amtimua mkandarasi Dar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amemtimua kazi mkandarasi anayejenga mfereji wa Buguruni kwa Mnyamani, Manispaa ya Ilala kwa kushindwa kuujenga kwa kiwango kinachotakiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

DC amtimua kazi mtendaji wa kata ungu

Mtendaji wa Kata ya Kinungu, Varelian Mapalala amefukuzwa kazi na Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu kwa tuhuma za kushindwa kuwajibika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani