MOVIE MPYA: F.R.E.N.D.z ya Irene Paul Kuingia Sokoni Mwezi Huu
Filamu mpya ya mrembo na mwigizaji wa filamu Irene Paul inayokwenda kwa jina la F.R.E.N.D.z itaingia sokoni mwishoni mwa wiki hii, pamoja na Irene mwenywe kucheza filamu hii wako pia Yusuph Mlela na Kennedy Victor. Filamu imetengenezwa chini ya Kalunde & Mama Ntilie na kuletwa kawako na Steps Entertainments.
Kupitia ukurasa wake wa instagram Irene ameahidi kukutana na mashabiki wake zaidi ya 50 watakao itazama filamu na kujibu maswali atakayouliza.
“Tarehe 5 mwezi huu, can't thank God...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lnN28vSSBQk/Vl7kurTIPZI/AAAAAAAAMBs/BGjut54I3NU/s72-c/download.jpg)
MASTAA KIBAO NDANI YA FILAMU YA HOMECOMING, KUTINGA SOKONI MWEZI HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-lnN28vSSBQk/Vl7kurTIPZI/AAAAAAAAMBs/BGjut54I3NU/s640/download.jpg)
Mwongozaji mahiri wa filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni, Seko Shamte. Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.
10 years ago
GPLMUVI MPYA YA PISHU KUINGIA SOKONI KESHO
9 years ago
Dewji Blog03 Dec
Mastaa kibao ndani ya filamu ya Homecoming, kutinga Cinema kisha sokoni mwezi huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-lnN28vSSBQk/Vl7kurTIPZI/AAAAAAAAMBs/BGjut54I3NU/s640/download.jpg)
Mwongozaji mahiri wa filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni, Seko Shamte. Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.
Crew nzima pamoja na baadhi ya waigizaji
Moja kati ya kamera kali zilizotumika
Kazi ikiendelea location.
Na Mwandishi Wetu
WASANII mahiri wameshiriki kwenye filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi...
10 years ago
Bongo Movies08 Jan
KALEKWA:Filamu Mpya ya Richie na Rose Ndauka Tayari Kuingia Sokoni
Ile filamu iliyokuwa ikusubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki wengi,sasa ipo tayari imeshakamilika na inatarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni.
Filamu hiyo inayokwenda kwa jina la KALEKWA imefanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment, na inawajumuisha waigiza Single Mtambalike ‘Richie’ na Rose Ndauka ambao kwa pamoja wamekuwa wakitengeneza mvuto mkumbwa kwa mashabika na wapenzi wa filamu hapa inchini.
Jana kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, Richie ambaye ndio...
10 years ago
Bongo530 Sep
Video: Irene Uwoya na Rich wapigana denda live kwenye set ya movie mpya
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Washiriki 10 wa shindano la TMT wafanikiwa kuingia fainali, mshindi mmoja kuondoka na milioni 50 katika ukumbi wa Mlimani City tarehe 30 mwezi huu
Majaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakifuatilia Filamu fupi iliyochezwa na baadhi ya washiriki wa Shindano la Tanzania Movie talents (TMT) wakati ilipokua ikionyeshwa kwenye runinga kubwa katika Ukumbi wa Makumbusho. Kutoka Kulia ni Single Mtambalike au Rich Rich katikati ni Vyonne Cherry au Monalisa na Kushoto ni Jaji Mkuu wa Shindano hilo Roy Sarungi.
Mahosti wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) Joti na Lulu wakiwajibika katika Jukwaa la Ukumbi wa Makumbusho ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DQ0O94y2dIldAIIKh2KU7ea84m2QE2JA88V1LlZiB0MV5l5IwL91vXpc2-0asnV609zclnT0ONcIPzVLT2OdI*K/jahaziPIC.jpg?width=650)
JAHAZI KUPELEKA NYIMBO MPYA MORO MWISHO WA MWEZI HUU
5 years ago
Bongo514 Feb
Darassa alikuwa aachie wimbo mpya mwezi huu lakini… – Hanscana
Mtayarishaji wa video za muziki nchini ambaye kwa sasa anafanya kazi pamoja na rapa Darassa, Hanscana, amefunguka kuzungumzia ujio mpya wa rapa huyo ambaye bado anafanya vizuri kupitia hit single yake ‘Muziki’.
Akiongea na Bongo5 Jumanne hii, Hanscana amedai Darassa alikuwa aachie wimbo mpya mwezi huu, lakini ameshindwa kutokana ratiba za show za kimataifa kumbana.
“Kusema kweli alikuwa aachie wimbo mpya mwezi huu lakini show za Rwanda na Burundi zimembana sana, amekuwa na tour ndefu sana...