JAHAZI KUPELEKA NYIMBO MPYA MORO MWISHO WA MWEZI HUU

KUNDI bingwa la miondoko ya mwambao, Jahazi Modern Taarab litaanza kutambulisha nyimbo zake mpya mwishoni mwa mwezi huu ambapo mji wa Morogoro utakuwa wa kwanza kupata uhondo huo. Jahazi watafanya onyesho maalum mjini humo Ijumaa ya Januari 31ndani ya ukumbi wa Tanzanite Complex. Hii inakuwa ni mara ya kwanza kwa Jahazi kupiga ndani ya ukumbi huo uliofunguliwa kiasi cha mwaka mmoja uliopita. Kwa mujibu wa mratibu wa onyesho hilo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
JAHAZI MODERN TAARAB KUPELEKA UTAMBULISHO WA NYIMBO MPYA MOROGORO
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Jahazi kutambulisha nyimbo mpya Moro
KUNDI bingwa la miondoko ya muziki wa mwambao, Jahazi Modern Taarab litaanza kutambulisha nyimbo zake mpya mwishoni mwa mwezi huu, likianzia mkoani Morogoro. Kwa mujibu wa ratiba ya kundi hilo,...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Moro ya kwanza kuonja mpya za Jahazi
UONGOZI wa kundi la Jahazi Modern Taarab umeuteua Mkoa wa Morogoro kuwa kituo cha kwanza kutambulisha nyimbo zao zitakazounda albamu yao mpya. Kwa mujibu wa mmoja wa viongozi wa Jahazi,...
10 years ago
Michuzi
Twanga Pepeta waibuka na onesho maalumu la "juzi, jana na leo", kuanza kurindima mwisho wa mwezi huu

11 years ago
GPLJAHAZI: UZINDUZI WA ALBAMU MPYA 'CHOZI LA MAMA' WAFANA DAR LIVE USIKU HUU
10 years ago
Bongo Movies02 Mar
MOVIE MPYA: F.R.E.N.D.z ya Irene Paul Kuingia Sokoni Mwezi Huu
Filamu mpya ya mrembo na mwigizaji wa filamu Irene Paul inayokwenda kwa jina la F.R.E.N.D.z itaingia sokoni mwishoni mwa wiki hii, pamoja na Irene mwenywe kucheza filamu hii wako pia Yusuph Mlela na Kennedy Victor. Filamu imetengenezwa chini ya Kalunde & Mama Ntilie na kuletwa kawako na Steps Entertainments.
Kupitia ukurasa wake wa instagram Irene ameahidi kukutana na mashabiki wake zaidi ya 50 watakao itazama filamu na kujibu maswali atakayouliza.
“Tarehe 5 mwezi huu, can't thank God...
5 years ago
Bongo514 Feb
Darassa alikuwa aachie wimbo mpya mwezi huu lakini… – Hanscana
Mtayarishaji wa video za muziki nchini ambaye kwa sasa anafanya kazi pamoja na rapa Darassa, Hanscana, amefunguka kuzungumzia ujio mpya wa rapa huyo ambaye bado anafanya vizuri kupitia hit single yake ‘Muziki’.
Akiongea na Bongo5 Jumanne hii, Hanscana amedai Darassa alikuwa aachie wimbo mpya mwezi huu, lakini ameshindwa kutokana ratiba za show za kimataifa kumbana.
“Kusema kweli alikuwa aachie wimbo mpya mwezi huu lakini show za Rwanda na Burundi zimembana sana, amekuwa na tour ndefu sana...
10 years ago
Bongo502 Nov
Video: Navio azungumzia album yake mpya ‘Power’ anayotarajia kuitoa mwezi huu

10 years ago
Bongo517 Oct
Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya