Twanga Pepeta waibuka na onesho maalumu la "juzi, jana na leo", kuanza kurindima mwisho wa mwezi huu

Bendi ya muziki wa dansi ya African Stars “Twanga Pepeta’ itafanya maonyesho maalum mwishoni mwa mwezi huu yaliyopewa jina la juzi, jana na leo.Katika maonyesho hayo, bendi hiyo itapiga nyimbo zao maarufu katika albamu zake kuanzia "Kisa cha Mpemba" mpaka albamu ya mwisho kuzinduliwa ijulikanayo kwa jina la "Nyumbani ni Nyumbani". Pia itapiga nyimbo zake mpya ambazo bado hazijaingia kwenye albamu.Mratibu wa onyesho hilo, Nasib Mahinya alisema kuwa onyesho la kwanza litafanyika kwenye ukumbi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTWANGA PEPETA WAKIWASHA MOTO KATIKA UZINDUZI WA YAMOTO BAND NDANI YA DAR LIVE USIKU HUU
10 years ago
MichuziMWANAMUZIKI MKONGWE WA TWANGA PEPETA,AMIGOLAS AZIKWA MAKUBURI YA KISUTU JIJINI DAR LEO
11 years ago
Dewji Blog26 Sep
Twanga Pepeta wafanya shoo ya nguvu Maisha Club usiku wa kuamkia leo jijini Dar
Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu (wa pili kutoka kulia), akiwa na Kalala Junior (wa pili kutoka kushoto) pamoja na Haji Ramadhani (wa kwanza kulia) wakitoa burudani kwa mashabiki wao kwenye shoo iliyofanyika club ya Maisha jijini Dar
Waimbaji wa Twanga Pepeta wakitoa burudani kwenye shoo iliyofanyika kwenye club ya Maisha jijini Dar usiku wa kuamkia leo.
Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu akicheza moja ya nyimbo zao kwenye...
10 years ago
Habarileo01 Sep
Ujenzi Reli ya Kati kuanza mwezi huu
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa anasahau haraka na kuanza kunadi miradi ambayo imeshaanza kujengwa na Rais Jakaya Kikwete kupitia Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
11 years ago
GPL
JAHAZI KUPELEKA NYIMBO MPYA MORO MWISHO WA MWEZI HUU
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI KUANZA KUTUMIA JENGO LA MAKAO MAKUU DODOMA MWISHO WA MWEZI
10 years ago
GPLSHINDANO LA KUIGIZA LA TMT KUANZA TAREHE 25 MWEZI HUU
9 years ago
Michuzi
Programu ya kitaifa ya kupanda miti kuanza mwezi huu
5 years ago
Michuzi
GGM KUANZA KUTUMIA UMEME WA GRIDI YA TAIFA MWEZI JUNI MWAKA HUU


Muonekano wa sehemu ya mitambo ya katika kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Mponvu kinachotarajiwa kukamilika mwishoni mwa Mwezi Mei, 2020.

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) akikagua...