Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moro ya kwanza kuonja mpya za Jahazi

UONGOZI wa kundi la Jahazi Modern Taarab umeuteua Mkoa wa Morogoro kuwa kituo cha kwanza kutambulisha nyimbo zao zitakazounda albamu yao mpya. Kwa mujibu wa mmoja wa viongozi wa Jahazi,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Jahazi kutambulisha nyimbo mpya Moro

KUNDI bingwa la miondoko ya muziki wa mwambao, Jahazi Modern Taarab litaanza kutambulisha nyimbo zake mpya mwishoni mwa mwezi huu, likianzia mkoani Morogoro. Kwa mujibu wa ratiba ya kundi hilo,...

 

11 years ago

GPL

JAHAZI KUPELEKA NYIMBO MPYA MORO MWISHO WA MWEZI HUU

KUNDI bingwa la miondoko ya mwambao, Jahazi Modern Taarab litaanza kutambulisha nyimbo zake mpya mwishoni mwa mwezi huu ambapo mji wa Morogoro utakuwa wa kwanza kupata uhondo huo. Jahazi watafanya onyesho maalum mjini humo Ijumaa ya Januari 31ndani ya ukumbi wa Tanzanite Complex. Hii inakuwa ni mara ya kwanza kwa Jahazi kupiga ndani ya ukumbi huo uliofunguliwa kiasi cha mwaka mmoja uliopita. Kwa mujibu wa mratibu wa onyesho hilo...

 

9 years ago

Bongo5

Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo

Belle99

Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.

Belle99

What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya

— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015

Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...

 

11 years ago

GPL

JAHAZI MODERN TAARAB KUPELEKA UTAMBULISHO WA NYIMBO MPYA MOROGORO

KUNDI la Jahazi Modern Taarab limefafanua ni kwanini limeamua kuuchagua mji wa Morogoro kama kituo chao cha kwanza cha kutambulishia nyimbo zao mpya zitakazounda albam yao mpya ijayo. Jahazi wanatagemewa kufanya onyesho maalum Morogoro kwaajili ya kuwaonyesha nyimbo mpya mashabiki wao Ijumaa ya tarehe 31 mwezi huu ndani ya ukumbi wa Tanzanite Complex. Jana kiongozi wa Jahazi Modern Taraab Mohamed Mauji alifanya mahojiano na...

 

11 years ago

GPL

AMSHAAMSHA KABLA YA UZINDUZI WA ALBAMU MPYA YA JAHAZI NDANI YA DAR LIVE

Mwimbaji wa Jahazi Modern Taarab, Mohammed Ally akiimba wimbo 'Kazi Unayo' kabla ya uzinduzi wa albamu mpya iitwayo Chozi la Mama. Mashabiki wa Jahazi wakiburudika kabla ya uzinduzi.…

 

11 years ago

GPL

JAHAZI: UZINDUZI WA ALBAMU MPYA 'CHOZI LA MAMA' WAFANA DAR LIVE USIKU HUU

Meneja wa Jahazi Modern Taarab, Mohamed Rashid Mauji ' Father Mauji' akizindua na shabiki wa Jahazi albamu mpya iitwayo Chozi la Mama. Mwimbaji nyota wa muziki wa taarab nchini, Mzee Yusuph (kulia) akiongea jambo kabla ya uzinduzi akiwa na Aisha Abushiry 'Mama  wa madikodiko' (katikati) kutoka pilipili FM ya Kenya.…

 

9 years ago

Mwananchi

Kampuni za simu zaanza kuonja joto

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa adhabu ya faini ya Sh125 milioni kwa kampuni tano za simu za mkononi kwa kushindwa kuweka mazingira salama kwa wateja wao.

 

10 years ago

Mtanzania

Wanaume wabeba matumbo bandia kuonja uchungu wa kujifungua.

Kuanzia kushoto; Jonny Biggins, Steve Hanson na Jason Bramley walivaa mimba bandia kwa mwezi mmojaBAADA ya kuhangaika nayo tumboni kwa miezi tisa, hatimaye siku ya siku imefika kwa mtoto mtarajiwa kukaribia kuzaliwa.
Baada ya kero, adha, usumbufu na kila aina ya mahangaiko yanayotokana na ubebaji huo wa mimba, hiki ni kipindi kingine japo kifupi lakini kichungu zaidi ya hicho cha uleaji mimba.
Ni kipindi hiki kinachoonekana kuogopwa zaidi na wengi, kiasi kuwa wale, ambao hawajawahi kushika mimba unaweza kuwasikia wakijiuliza namna watakavyoweza kukihimili kutokana na simulizi za kweli au...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani