Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moyo aibua mjadala mzito Z’bar

Zanzibar. Wanasiasa wa Zanzibar wamegawanyika kuhusu hatua ya CCM kumfukuza uanachama mwanasiasa mkongwe, Hassan Nassor Moyo (pichani) baada ya kupatikana na hatia ya kuvunja miiko na maadili ya chama kwa kitendo chake cha kuhudhuria mikutano ya hadhara ya CUF na kutetea mfumo wa muundo wa Serikali tatu kinyume na sera ya chama chake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Gharama za simu mjadala mzito

Wakati Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeziagiza kampuni za simu kutoa maelezo kuhusu mabadiliko ya gharama za vifurushi vya muda wa maongezi, Vodacom Tanzania imeeleza kuwa mabadiliko hayo yanatokana na ongezeko la kodi na hivyo kulazimika “kubadili mazingira ya kibiashara ili kuepuka hasara”.

 

10 years ago

TheCitizen

Z’bar divided over Moyo’s expulsion

Politicians and academics in Zanzibar are divided on the expulsion of veteran politician Hassan Nassor Moyo from the ruling CCM.

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Rich Mavoko na mama mdogo wa girlfriend wake wazusha ugomvi mzito, amtuhumu kumtafutia wanaume, wafanyiana fujo bar

Rich Mavoko amejikuta akiingia kwenye ugomvi mzito na mwanamke anayeaminika kuwa ni mama yake mdogo na girlfriend wake baada ya kumtuhumu kuwa amekuwa akimtafutia wanaume. Tukio hilo linadaiwa kutokea Jumanne hii huko Tabata Bima jijini Dar es Salaam ambapo mwandishi wa blog ya Tizneez alifanikiwa kurekodi sauti ya tukio zima. Mavoko alienda kwenye bar moja […]

 

5 years ago

CCM Blog

TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA


Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa  wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo  cha  watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...

 

9 years ago

Vijimambo

Madaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto



Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...

 

9 years ago

Michuzi

MADAKTARI BINGWA WA MOYO TOKA INDIA, WANATARIJIWA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA KWA WATOTO



Na Mwandishi Wetu ,KUTOKEA  kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki.
 Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.
Watoto wenye...

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa NBC waadhimisha Siku ya Moyo Duniani kuchangisha fedha kusaidia vijana na watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo

Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakianza matembezi ya hisani ya takribani Kilomita 10 jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni moja ya matukio ya benki hiyo kudhimisha Siku ya Moyo Duniani ambapo kiasi cha pesa watakachochangisha kitapelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kusaidia watoto na vijana wanaosumbuliwa na matatizo ya ugonjwa wa moyo. Siku ya Moyo Duniani huadhimishwa kimataifa Septemba 29 kila mwaka. Hapa baadhi ya wafanyakazi hao wakipita katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani