Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpambano viti maalumu kuvikutanisha vyama vitatu

Vyama vitatu kati ya 22 vya siasa vilivyoshiriki kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ndivyo vyenye uhakika wa kupata wabunge wa viti maalumu ambao  majina yao yatatangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kesho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Vyama vitano vyagawana madiwani viti maalumu

Wakati kata 56 zinasubiri kufanya uchaguzi mdogo wa madiwani, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza mgawanyo wa madiwani wa viti maalumu miongoni mwa vyama vitano vilivyofuzu vigezo vilivyowekwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Vyama vitatu kufungua pazia la urais

Dar es Salaam. Pazia la kuchukua fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) za kugombea kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu, linafunguliwa rasmi leo kwa wagombea wa vyama vya UPDP, TLP na DP.

 

9 years ago

Mwananchi

Wabunge viti maalumu badilikeni

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa mgawanyo wa idadi ya wabunge wa viti maalumu kwa vyama vya CCM ambacho kimepata viti 64, kikifuatiwa na Chadema chenye viti 36 na CUF viti 10.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Ubunge wa Viti Maalumu ufutwe’

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Felister Bura amependekeza Katiba inayotungwa ifute Ubunge wa Viti Maalumu.

 

9 years ago

Mwananchi

47 watoswa viti maalumu CCM, Ukawa

Mchakato wa uteuzi wa wabunge wake wa viti maalumu wa Bunge la kumi na moja, umeacha simanzi kubwa baada ya orodha iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuonyesha kuwa wabunge 47 wametoswa katika vyama vya CCM, Chadema na CUF huku 33 wakipitishwa tena kuingia ‘mjengoni’.

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge viti maalumu atoa msaada wa mil 6/-

Martha MlataMBUNGE wa Viti Maalum kupitia tiketi ya CCM mkoa wa Singida, Martha Mlata ametoa msaada wa vifaa tiba mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 5.7 kwa Kituo cha afya cha Sokoine cha mjini Singida.

 

9 years ago

Dewji Blog

NEC yatangaza idadi ya madiwani wa viti maalumu!

AAMkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Tume ya  Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza idadi ya madiwani wa viti maalumu pamoja na vyama wanavyotokea.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima ametaja idadi ya madiwani hao kuwa 1402 na kuwataja madiwani 1392 huku 15 wakisubiri chaguzi zimalizike katika kata zilizosalia.

Amesema katika madiwani hao CCM ni 1122, Chadema 220, CUF 49, NCCR 6 na ACT 6.

Kailima ameongeza kuwa kata...

 

9 years ago

Habarileo

Hatujachakachua majina ya wabunge viti maalumu -NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema majina ya wabunge wa Viti Maalumu iliyoyapitisha hayajachakachuliwa bali yamepitishwa kulingana na orodha ya vyama vya siasa vilivyowasilisha majina hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani