Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mradi mkubwa wa uchukuzi kujengwa nchini

MRADI mkubwa wa ukanda wa uchukuzi wa kati kutoka Bandari ya Dar es Salaam kuelekea kaskazini-magharibi na magharibi unatarajiwa kuanza kutekelezwa nchini mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO MKUBWA WA KIMATAIFA WA TAASISI YA USAFIRISHAJI NA UCHUKUZI TANZANIA (CILT) KUFANYIKA MACHI, 3 JIJINI ARUSHA‏

Balozi wa Heshima wa Taasisi ya Kimataifa ya Usafirishaji na Uchukuzi Tanzania (CILT), Waziri wa Jumuia ya Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe (kulia), akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya kukusanya fedha kwa ajili ya mkutano wa kimataifa utakaofanyika jijini Arusha kuanzia Machi 4 hadi 5 ulioandaliwa na taasisi hiyo kwa ajili ya kuwajengea weredi wadau wa usafirishaji kutoka nchi mbalimbali duniani.Mwenyekiti wa CILT, George Makuke (kushoto), akizungumza katika mkutano huo....

 

10 years ago

GPL

MKUTANO MKUBWA WA KIMATAIFA WA TAASISI YA USAFIRISHAJI NA UCHUKUZI TANZANIA (CILT) KUFANYIKA MACHI, 3 JIJINI ARUSHA‏

Balozi wa Heshima wa Taasisi ya Kimataifa ya Usafirishaji na Uchukuzi Tanzania (CILT), Waziri wa Jumuia ya Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe (kulia), akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya kukusanya fedha kwa ajili ya mkutano wa kimataifa utakaofanyika jijini Arusha kuanzia Machi 4 hadi 5 ulioandaliwa na taasisi hiyo kwa ajili ya kuwajengea weredi wadau wa usafirishaji kutoka nchi mbalimbali duniani.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Maghala ya mafuta kujengwa nchini

Kampuni ya ENOC Africa inayojihusisha na ununuzi wa mafuta, gesi na usafirishaji nchini imejipanga kupanua shughuli zake kwa kujenga maghala ya kuhifadhia bidhaa ya mafuta ya petroli, jitihada zitakazohakikisha kuwa Tanzania na nchi za jirani zinakuwa na akiba ya kutosha katika miezi miaka michache ijayo.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yaelezea ujenzi mradi mkubwa wa maji

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kimesema mradi mkubwa wa majisafi na salama kutoka Ziwa Victoria unatarajia kuanza kutekelezwa mapema Januari 2015 ukitokea mkoani Shinyanga kupitia Nzega na Igunga mpaka Tabora.

 

11 years ago

Habarileo

Mradi mkubwa wa maji Masasi -Nachingwea wazinduliwa

KERO ya miaka mingi ya uhaba mkubwa wa maji kwa wakazi wa miji ya Masasi, mkoani Mtwara na Nachingwea, mkoani Lindi, hatimaye imemalizika baada ya kuzinduliwa kwa mradi mkubwa ambao unatoa huduma ya maji kwa wakazi wa miji hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Mradi mkubwa wa umeme Dar kukamilika mwakani

MRADI mkubwa wa megawati 80 kwa ajili ya kuboresha umeme katikati ya Jiji la Dar es Salaam unatarajia kukamilika Agosti mwakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Viwanda vya kubangua korosho kuanza kujengwa nchini

Hatimaye, ujenzi wa viwanda vitatu vya kubangua korosho uliokuwa ukililiwa kwa muda mrefu unatarajiwa kuanza katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, ili kuliongezea thamani zao hili muhimu kwa uchumi wa Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Mawaziri watatu wazindua mradi mkubwa wa kilimo Bagamoyo

Mawaziri watatu wakiongozwa na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza juzi walizindua Mradi wa Kilimo cha Miwa unaotekelezwa na Kampuni ya Agro EcoEnergy (T) Ltd, utakaogharimu Sh.1trilioni wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani