Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


msafiri kafiri


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HATA KAMA MSAFIRI KAFIRI LAKINI HII NI HATARI

Jikumbushe na hiki kibao hapa chini kiroho safi unaweza kujipakulia 

 

10 years ago

BBCSwahili

Mjusi Kafiri wafia angani wakifanyiwa utafiti

Mjusi Kafiri watano waliopelekwa katika anga ya juu kama sehemu ya utafiti kuhusu maisha yao na wanavyojamiiana wamefariki.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchakato wa katiba ni msafiri asiyejua aendako?

WANASEMA kama hujui uendako basi walau ujue unakotoka. Naam, naamini hata mkuu wa nchi hajui tuendako kwenye hili la majaribio ya kuandika katiba mpya. Nina amini kabisa hata mwenyekiti wa...

 

10 years ago

GPL

MSAFIRI DIOUF ATINGA GLOBAL TV ONLINE

Mwanamuziki Mashuhuri wa Twanga Pepeta, Msafiri Diof akiwa Global TV Online. Msafiri Diof akifafanua jambo kwa wafanyakazi wa Global Publishers (hawapo pichani).…

 

10 years ago

BBCSwahili

Msafiri Zawose mwimbaji nyimbo za kigogo

Mmoja wapo wa wasanii ambao wanatumbuiza mwaka huu kwenye tamasha la Busara, ni Msafiri Zawose anayeimba muziki wa kigogo kutoka Dodoma katikati mwa Tanzania.

 

10 years ago

Mtanzania

Tiper yasaidia vifaa vya maabara Shule ya Msafiri

Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya kuhifadhi mafuta nchini, Tiper imetoa msaada wa vifaa vya maabara vyenye thamani ya Sh milioni 20 kwa Shule ya Sekondari Msafiri, iliyopo wilayani Rufiji, mkoani Pwani ikiwa ni mwendelezo wa jitihada za kampuni hiyo katika kuboresha kiwango cha elimu nchini.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya makabidhiano ya vifaa hivyo iliyofanyika jana wilayani Rufiji, Mkurugenzi Mtendaji wa Tiper, Daniel Belair, alisema msaada huo pia ni sehemu ya mpango endelevu wa kampuni hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MSAFIRI DIOUF: Bendi ya Super Star imenitoa kwenye ‘uteja’

IMEKUWA ni nadra kuona watumiaji wa dawa za kulevya wakiachana na tabia hiyo, kwani walio wengi hujikuta wanaishia kubaya na kuwa maskini. Kwa hapa Tanzania baadhi ya wasanii ambao walikuwa...

 

10 years ago

GPL

MSAFIRI DIOF:AWASHAURI WATUMIAJI KWENDA MUHIMBILI, MWANANYAMALA KUTIBIWA BURE

Makala: Elvan Stambuli
MWANAMUZIKI mahiri wa muziki wa dansi nchini, Msafiri Diof amesema anajuta kwa kitendo chake cha kutumia madawa ya kulevya ‘unga’ na kwamba ameshaamua kuachana nao kwa sababu hakuna faida yoyote aliyopata. Mwanamuziki Mashuhuri wa Twanga Pepeta, Msafiri Diof akiwa Global TV…

 

5 years ago

Michuzi

DC Msafiri,haipiti siku moja Njombe bila kupata matukio 6-12 ya ukatili

Na Amiri Kilagalila, Njombe
Mkuu wa wilaya ya Njombe mkoani humo Ruth Msafiri amesema  haiwezi kupita siku moja mkoani Njombe bila kupata matukio ya ukatili yanayojumuisha ukatili wa kingono yasiyopungua 6-12  hali inayoweza kusababisha mkoa huo kuwa na matukio mengi ya ukatili kwa mwaka.

Ruth Msafiri ameyasema hayo mjini Makambako mkoani Njombe wakati wa msafara wa kutokomeza unyanyasaji wa kijinsia unaopita karibu mikoa yote nchini  kutoa elimu kwa wananchi kwa lengo la kuleta usawa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani