Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjusi Kafiri wafia angani wakifanyiwa utafiti

Mjusi Kafiri watano waliopelekwa katika anga ya juu kama sehemu ya utafiti kuhusu maisha yao na wanavyojamiiana wamefariki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

HATA KAMA MSAFIRI KAFIRI LAKINI HII NI HATARI

Jikumbushe na hiki kibao hapa chini kiroho safi unaweza kujipakulia 

 

9 years ago

Mwananchi

Watano wafia mgodini

Wakati ombwe ya wachimbaji wa machimbo ya Nyangalata wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga walikoishi siku 41 kabla ya kuokolewa halijafutika, wachimbaji wadogo watano wamekufa kwa kufukiwa na kifusi katika machimbo ya Mgusu yaliyopo Kijiji cha Mgusu wilayani Geita linalomilikiwa na Kampuni ya Dhahabu ya Geita (GGM)

 

11 years ago

StarTV

Wakimbizi wafia kambini Cameroon.

Taarifa kutoka nchini Cameroon zinasema kuwa wakimbizi waliotoroka kutoka kwa wapiganaji wa Boko Haram wamefariki wakiwa katika kambi ya wakimbizi.

 
Baadhi ya wakazi waliokuwa kambini katika mji wa Fotokol karibu na mpaka wa Nigeria, wanasema kuwa mazingira katika kambi hizo, yalikuwa mabaya sana na kwamba watoto walifariki baada ya kuugua Malaria.

 
Wengine walilalamika kuwepo uhaba wa chakula kambini na kwamba walilazimika kuiba chakula kutoka kwa mashamba ya wenyeji.

 
Wadadisi...

 

10 years ago

Habarileo

Wachimbaji wadogo 19 wafia mgodini

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson MpesyaWACHIMBAJI wadogo wa dhahabu mkoani Shinyanga, maarufu ‘manyani’, wamekufa katika machimbo madogo ya Kalole wilayani Kahama, baada ya kufukiwa na kifusi usiku wa kuamkia jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shirika la ndege taabani kwa kupakua mjusi

Shirika la ndege la Air India limejipata matatani baada ya habari kuenea kuwa lilimpakulia mteja wake mjusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wafia kambini mpakani Nigeria

Taarifa kutoka nchini Cameroon zinasema kuwa wakimbizi waliotoroka kutoka kwa wapiganaji wa Boko:H wamefariki klatika kambi ya wakimbizi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzazi unamwitaje mtoto wako panya, mjusi, paka?

Unashtuka? Kuna mtu anaitwa Panya Mjusi. Panya ni jina lake na Mjusi ni la baba yake. Kwa miaka zaidi ya 20 sasa ameendelea kutumia majina hayo.

 

10 years ago

Habarileo

Watoto familia moja wafia majini wakivua samaki

WA T O T O wawili wa f a m i l i a moja wilayani hapa, wamekufa maji baada ya mtumbwi waliokuwa wakitumia kuvulia samaki, kugonga mwamba na kuzama katika Ziwa Victoria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani