Mjusi Kafiri wafia angani wakifanyiwa utafiti
Mjusi Kafiri watano waliopelekwa katika anga ya juu kama sehemu ya utafiti kuhusu maisha yao na wanavyojamiiana wamefariki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
10 years ago
Vijimambo
HATA KAMA MSAFIRI KAFIRI LAKINI HII NI HATARI

9 years ago
Mwananchi30 Nov
Watano wafia mgodini
11 years ago
StarTV07 Oct
Wakimbizi wafia kambini Cameroon.
Taarifa kutoka nchini Cameroon zinasema kuwa wakimbizi waliotoroka kutoka kwa wapiganaji wa Boko Haram wamefariki wakiwa katika kambi ya wakimbizi.
Baadhi ya wakazi waliokuwa kambini katika mji wa Fotokol karibu na mpaka wa Nigeria, wanasema kuwa mazingira katika kambi hizo, yalikuwa mabaya sana na kwamba watoto walifariki baada ya kuugua Malaria.
Wengine walilalamika kuwepo uhaba wa chakula kambini na kwamba walilazimika kuiba chakula kutoka kwa mashamba ya wenyeji.
Wadadisi...
10 years ago
Habarileo18 Apr
Wachimbaji wadogo 19 wafia mgodini
WACHIMBAJI wadogo wa dhahabu mkoani Shinyanga, maarufu ‘manyani’, wamekufa katika machimbo madogo ya Kalole wilayani Kahama, baada ya kufukiwa na kifusi usiku wa kuamkia jana.
10 years ago
BBCSwahili13 Jun
Shirika la ndege taabani kwa kupakua mjusi
11 years ago
BBCSwahili06 Oct
Wakimbizi wafia kambini mpakani Nigeria
11 years ago
Mwananchi04 Nov
Mzazi unamwitaje mtoto wako panya, mjusi, paka?
10 years ago
Habarileo08 Sep
Watoto familia moja wafia majini wakivua samaki
WA T O T O wawili wa f a m i l i a moja wilayani hapa, wamekufa maji baada ya mtumbwi waliokuwa wakitumia kuvulia samaki, kugonga mwamba na kuzama katika Ziwa Victoria.