Msanii amponza Nyalandu
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amelalamikiwa na baadhi ya askari wa Kikosi Dhidi ya Ujangili (KDU) kwa kushindwa kuwalipa stahiki zao huku akitoa fedha kwa watu wasio na mchango wowote katika vita dhidi ya ujangili.
Wakizungumza na gazeti hili kwa nyakati tofauti, askari hao wa KDU Kanda ya Kaskazini (majina yanahifadhiwa), walishangazwa na kitendo cha Nyalandu kutumia mamilioni ya fedha kwa ajili ya msanii wa kizazi kipya, Ally Kiba, aliyemteua kuwa Balozi wa Vita ya...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Mar
Lowassa amponza profesa wa Udom

Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akiwasalimia wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali vya mjini Dodoma na waendesha bodaboda walioandamana kwenda nyumbani kwake mjini humo jana kwa ajili ya kumshawishi achukue fomu ya kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Picha na Anthony Siame
Dar es Salaam. Profesa wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Peter Kopoka amebanwa na uongozi wa chuo hicho kutokana na kushiriki maandamano ya kwenda nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kumshawishi...
10 years ago
Mwananchi28 Mar
USHAWISHI: Lowassa amponza profesa wa Udom
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Shy-Rose ‘amponza’ Spika Zziwa wa Eala
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Mtanzania amponza kigogo wa Mambo ya Ndani Kenya
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Kocha Matola amponza kiongozi wa Mbeya City
11 years ago
Michuzi
Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.


10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 Feb