MSANII BONGO MUVI ALIVYONUSA KIFO!
Mayasa Mariwat Pole! Msanii wa sinema za Kibongo, Ummy Mohammed amenusa kifo baada ya kunusurika kwenye ajali ya Basi la Al-Saeed alilopanda akitokea mkoani Morogoro kwenda Dar ambapo ameumia mkono wa kushoto. Msanii wa sinema za Kibongo, Ummy Mohammed akionekana na jeraha lake baada ya kunusurika katika ajali. Akilisimulia Ijumaa Wikienda mkasa mzima, Ummy ambaye ni mwigizaji mkongwe aliyeibuka staa kwenye Sinema ya Mke Mchafu,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMSANII BONGO MUVI ANASWA AKIJIUZA
11 years ago
GPLMSANII BONGO MUVI HALI MBAYA
10 years ago
GPLMSANII BONGO MUVI AIKIMBIA NYUMBA
11 years ago
GPLMSANII BONGO MUVI AFARIKI KWA AJALI
10 years ago
GPLMSANII BONGO MUVI ABAMBWA MAKABURINI AWE KAMA WEMA NA LULU
10 years ago
GPLKIFO CHA TINO MADHAHABU, BONGO MUVI HOFU UPYA!
9 years ago
GPLKADA CCM ASIMULIA ALIVYONUSA KIFO!
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Ninayo stori ya Msanii wa Bongo Fleva kunusurika kifo baada ya kuitwa mwizi….
Rapper kutoka kwenye zao la Serengeti Fiesta Supa Nyota 2013, Edu Boy amenusurika kifo baada ya kuitwa mwizi maeneo ya Sinza wakati akitoka studio za Freenation kurekodi ngoma. Msanii huyo akiongea kwenye Clouds TV alisema…’Nilikuwa natoka studio kurekodi ngoma ilikuwa usiku nikakutana na vijana watano wakanisimamisha wakaniuliza kuna mtu umekutana naye nikajibu sijakutana na mtu […]
The post Ninayo stori ya Msanii wa Bongo Fleva kunusurika kifo baada ya kuitwa mwizi…. appeared first on...
10 years ago
GPLBONGO MUVI WACHAFUKA!