KIFO CHA TINO MADHAHABU, BONGO MUVI HOFU UPYA!

Stori: waandishi Wetu/Ijumaa HOFU! Waigizaji wa tasnia ya filamu Tanzania, ambao walikuwa wameanza kusahausahau misiba mfululizo iliyowatokea miaka michache iliyopita, juzikati walijikuta wakitoneshwa kidonda, baada ya kutokea kifo cha muigizaji Tino Madhahabu, kilichotokea Tunduma mkoani Mbeya, kufuatia kuugua kwa muda mrefu. Muigizaji Tino Madhahabu enzi… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MSANII BONGO MUVI ALIVYONUSA KIFO!
11 years ago
GPL
HOFU YA KIFO YATAWALA MASTAA BONGO
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Tino: Filamu za Bongo haziuzi bila warembo
MSANII wa maarufu wa filamu Tanzania, Hisani Muya ‘Tino’, amesema filamu za Bongo haziwezi kuuza bila kuwa na wasichana warembo. Akizungumza na mtandao wa Bongo 5 jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Mwananchi31 May
Tino Muya: Bongo Movie hatuvuni tunachopanda
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Familia inayodai hofu ya ugonjwa wa corona kulisababisha kifo cha mtoto wao.
9 years ago
StarTV22 Nov
Hofu yatanda kwa viogozi wa vyama vya siasa mkoani Geita kuhusu Kifo Cha Mawazo
Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama ambaye pia ni Mkuu wa Wa Wilaya ya Geita Manzie Mangochie amesema kuna dalili za baadhi ya watu kutaka kuchafua amani iliyopo Wilayani hapo kwa kutoa taarifa zisizo na ukweli juu ya kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Alphonce Mawazo huku na baadhi ya watu kutishiwa maisha.
Amesema kuwa zipo taarifa za kiintelijensia na pia ushahidi wa ujumbe mfupi unaotishia kuwaua viongozi wa vyama vya siasa Wilaya na Mkoa wa Geita wakihusishwa na tukio la Kifo cha...
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Miaka mitatu baada ya kifo cha Kanumba: Bongo movies ‘Will never be the same again’
Wakati mwingine kuna maswali magumu sana kuweza kuyajibu. Kwa mfano kwanini watu muhimu na wazuri hufa mapema? Kwanini watu wenye umuhimu mkubwa katika jamii huondoka ghafla tena katika wakati ambapo wapo kwenye kilele cha mafanikio yao?
Chukulia mfano Aaliyah, Tupac, Notorious BIG au Stephen Kanumba! Hili ni swali gumu sana kulijibu na hivyo mambo mengine ni ya kumwachia Mungu.
Leo ni April 7, miaka mitatu tangu kifo cha muigizaji mahiri, aliyependwa, aliyekuwa na kipaji cha hali ya juu,...
11 years ago
GPL
BONGO MUVI WACHAFUKA!
11 years ago
GPL
BONGO MUVI KIMENUKA