KIFO CHA TINO MADHAHABU, BONGO MUVI HOFU UPYA!
![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2Ry1FL3OfqsrLeryCK4D7ipO2p4oLk7x1VMCfFPjTrsegz3B2mW4WXphYCiNNgn7Zbd0WH0HrNUwsuStRefYI1A/BACK.jpg)
Stori: waandishi Wetu/Ijumaa HOFU! Waigizaji wa tasnia ya filamu Tanzania, ambao walikuwa wameanza kusahausahau misiba mfululizo iliyowatokea miaka michache iliyopita, juzikati walijikuta wakitoneshwa kidonda, baada ya kutokea kifo cha muigizaji Tino Madhahabu, kilichotokea Tunduma mkoani Mbeya, kufuatia kuugua kwa muda mrefu. Muigizaji Tino Madhahabu enzi… ...
GPL