Msanii jela kwa kukejeli bendera- Misri
Msanii mmoja raia wa Armenia nchini Misri amehukumiwa kifungo gerezani kwa madai ya kutusi bendera ya taifa hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Maisha jela kwa wabakaji Misri
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Jela kwa mapenzi ya jinsia moja Misri
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Msanii jela miaka 10 kwa kumiliki fisi
NA TWALAD SALUM, MISUNGWI
MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi wa Wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza, imemhukumu msanii wa ngoma za asili, Mng’ahwa Kazanza (42), kwenda jela miaka 10 kwa kosa la kumiliki fisi wawili na kuwatumia kwenye sanaa zake bila kibali.
Awali akisomewa mashtaka katika mahakama hiyo na Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Doroth Mgenyi, ilielezwa mahakamani hapo kuwa mnamo Septemba 28, mwaka huu, kwenye Kijiji cha Sisu wilayani Misungwi, majira ya saa 7:30 mchana, Mng’ahwa Kazanza (42)...
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Waadhibiwa kwa kukejeli wajakazi Afrika:K
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Wanenguaji wawili wafungwa jela Misri
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Misri yamhukumu mwandishi miaka 5 jela
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/KfHg6YGqxZ0/default.jpg)
Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake
Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.
![](https://3.bp.blogspot.com/-CwPhPjmqGpQ/VPQhIv6w8uI/AAAAAAAACDo/o9MyJVrPz6w/s640/kizito2.jpg)
Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.
Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo5feI*Ll5FNbTxOVyEp6gtIdtWOvN9ZSceXJzwQ7EDDwcL70SOd36sWSLoFE833jtLvX-h5PZPSL5atLQcbQopl/51ef89869d3c4.jpg?width=650)
RAIS WA ZAMANI WA MISRI MOHAMED MORSI KWENDA JELA MIAKA 20