Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSANII WA B0NG0 FLEVA ATOA NA WITO KWA WADAU


NA DENIS MLOWE, IRINGA
MSANII wa muziki wa bongo fleva anayekuja kwa kasi kutoka Nyanda za Juu Kusini mwenye makazi yake mkoani Iringa, Ezra Msiliova ' Eze Nice' ametoa wito kwa wadau wa muziki huo kuzipokea kwa nguvu zote nyimbo zake mbili anazotarajia kuziachia hivi karibuni.
Akizungumza na Mwanahabari, Eze Nice alisema kuwa nyimbo hizo mbili ni zawadi tosha kwa Rais John Magufuli na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Iringa, Salim Abri 'Asas' kwani amezipa majina Magufuri na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA CHALINZE ATOA WITO KWA MAKAMBUNI YA MAWASILIANO KUSAMBAZA HUDUMA KWA WATEJA WAKE

Mbunge wa jimbo la Chalinze mkoani Pwani Mh. Ridhiwani Kikwete(kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo Chalinze mjini Mkoa humo. Katikati ni Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu,(kulia)Mkuu wa Idara ya Uuzaji na usambazaji bidhaa wa kampuni hiyo Upendo Richard. Hafla hiyo imefanyika leo mkoani humo.Mkuu wa Idara ya Uuzaji na usambazaji bidhaa wa Vodacom Tanzania Upendo Richard(kulia)akimfafanulia jambo kuhusiana na simu aina...

 

10 years ago

GPL

MBUNGE WA CHALINZE ATOA WITO KWA MAKAMPUNI YA MAWASILIANO KUSAMBAZA HUDUMA KWA WATEJA WAKE

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Mh. Ridhiwani Kikwete (kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo Chalinze Mjini. Katikati ni Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu (kulia) na Mkuu wa Idara ya Uuzaji na usambazaji bidhaa wa kampuni hiyo Upendo Richard. Hafla hiyo imefanyika leo mkoani humo.… ...

 

5 years ago

CCM Blog

SPIKA MPYA WA BUNGE LA IRAN ATOA WITO WA KULIPA KIASI KWA MAREKANI

  Spika mpya wa Bunge la Iran Mohammad Ghalibaf amesema leo majadaliano yoyote na Marekani hayatokuwa na manufaa na badala yake mkakati wa Iran unapaswa kuwa wa kulipa kisasi na siyo mazungumzo. 
Ghalibaf, kamanda wa zamani wa kikosi cha anga katika jeshi la walinzi wa mapinduzi ametoa matamshi hayo alipokuwa akitoa hotuba ya kwanza mbele ya bunge la Iran . 

Spika huyo aliyechaguliwa hivi karibuni amesema ni lazima Iran ilenge kuondoa uwepo wa majeshi ya Marekani kwenye kanda hiyo na kulipa...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA TUNU PINDA ATOA WITO KWA WAKULIMA KUTUMIA WATALAMU WA KILIMO

Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda akiwaonyesha baadhi ya wake wa viongozi zabibu zilizolimwa kwa kufuata ushauri wa watalamu wa kilimo,zilizolimwa shambani kwa Waziri Mkuu Zuzu nje kidogo ya Dodoma mjini,wakati walipotembelea ili kupata utalaamu wa kulima kilimo cha Zabibu unavyo fanywa.kutoka kushoto ni Mama Malima,Mama Mashiba na Mama Lukuvi.Mke wa Naibu Waziri wa Fedha,Mama Naima Malima akionyesha utaalamu wake wa kutumia kamera,wakati alipokuwa akimpiga picha Mke wa Waziri Mkuu,Mama...

 

5 years ago

Michuzi

PROF. SHEMDOE ATOA WITO KWA HALMASHAURI KUTENGA MAENEO YA UJENZI WA VIWANDA














Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Bw. Ludovick Nduhiye akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi Idara ya Utawala na Rasilimali watu Wizara ya Viwanda na Biashara Bi. Veronica Nchango ramani ya eneo kwa ajili ya utekelezaji.

Sehemu ya eneo ambalo Wizara imekabidhiwa kwa ajili ya kufanya utekelezaji.

Kiwanda cha kutengeneza vinywaji cha “KOM Food products “ kinachomilikiwa na mzawa kikiwa katika hatua ya ujenzi.

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akiwa katika moja...

 

10 years ago

Bongo Movies

Natasha Atoa Wito Kwa Makampuni ya Filamu Kufanya Kazi na Watoto Hawa

Staa wa Bongo Movies, Susan Humba ‘Natasha’ amewataka wenye makampuni ya uandaaji wa filamu za bongo kuwatumia watoto wenye vipaji ambao wana ulemavu wa viungo.

Natasha alitoa kauli hiyo kwa watoto hao wenye ulemavu wa viungo wanaosoma Shule ya Sekondari Jangwani, jijini Dar es Salaam, baada ya kuonyesha uwezo wao wa kuigiza mbele yake.

Wanafunzi hao walionesha vipaji vyao mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati wa uzinduzi wa shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation (SVF),...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mratibu wa asasi ya Better Living Aid atoa wito kwa wafanyabiashara wa vifaa vya ujenzi!

Watangazaji Hamisa Mussa Lubilo na Deogratius Yagomba wa VOT fm 89.0 wakimuuliza maswali mratibu wa asasi ya Better Living Aid walipomualika leo asubuhi katika kipindi cha Meza huru

Mratibu wa asasi ya kiraia ya Better Living Aid Bw. Mkala Fundikira leo akiwa amavalia fulana ya mkakati wa Imetosha unaopinga mauaji dhidi ya watu wenye ualbino ambao yeye ni mjumbe wa kamati kuu, ametoa wito kwa wafanyabiashara wa vifaa vya ujenzi mjini Tabora waiunge mkono asasi yake inayodhamiria kujenga...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Membe atoa wito kwa Watanzania kuwasaidia watu wasiojiweza kwenye jamii

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb)  akimtazama kwa furaha mmoja wa watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha Nyumba ya Furaha na Amani kilichopo Kigogo Mburahati, Jijini Dar es Salaam. Waziri Membe alikitembelea kituo hicho wakati wa Siku Kuu ya Pasaka. Mhe. Membe pamoja na Mkewe Mama Dorcas Membe wakipata maelezo juu ya watoto waishio katika kituo hich kutoka kwa Sista Mary Bakhita. Waziri Membe akitoa  msaada kwenye kituo hichoPicha zaidi BOFYA...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI NYALANDU ATOA WITO KWA VIONGOZI WA DINI KUHUSU KUKEMEA UJANGILI NCHINI.

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu
Na Anitha Jonas – Maelezo.03 Novemba, 2014.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu ametoa wito kwa Viongozi wa dini wote nchini kupaza sauti kwa pamoja kukemea vitendo vya Ujangili pamoja na Uharibifu wa mazingira nchini.
Wito huo ameutoa leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua mkutano wa viongozi wa dini unaolenga kuwaelimisha viongozi hao kutoa elimu kwa waumini wao juu ya kupinga suala la ujangili na kuwasihi juu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani