MSANII WA B0NG0 FLEVA ATOA NA WITO KWA WADAU
![](https://1.bp.blogspot.com/-np8o9tQ7awc/XnntjaWzvgI/AAAAAAALk5c/gvVyyyxpUDM4FK1cIxNogWeb2MbLqdpLgCLcBGAsYHQ/s72-c/eze%2B2.jpg)
NA DENIS MLOWE, IRINGA
MSANII wa muziki wa bongo fleva anayekuja kwa kasi kutoka Nyanda za Juu Kusini mwenye makazi yake mkoani Iringa, Ezra Msiliova ' Eze Nice' ametoa wito kwa wadau wa muziki huo kuzipokea kwa nguvu zote nyimbo zake mbili anazotarajia kuziachia hivi karibuni.
Akizungumza na Mwanahabari, Eze Nice alisema kuwa nyimbo hizo mbili ni zawadi tosha kwa Rais John Magufuli na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Iringa, Salim Abri 'Asas' kwani amezipa majina Magufuri na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hVWCzik_Sg0/VIBvd5XykVI/AAAAAAAG1Ro/dByxP8Zr2D0/s72-c/001.CHALINZE%2B%2BMEDIA.jpg)
MBUNGE WA CHALINZE ATOA WITO KWA MAKAMBUNI YA MAWASILIANO KUSAMBAZA HUDUMA KWA WATEJA WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-hVWCzik_Sg0/VIBvd5XykVI/AAAAAAAG1Ro/dByxP8Zr2D0/s1600/001.CHALINZE%2B%2BMEDIA.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mfQsFKDwG0I/VIBvd2T99mI/AAAAAAAG1Rk/7uD7fZKY6QY/s1600/002.CHALINZE%2BMEDIA.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zYBVQBdr3skIgqcwM--jdmipehh4JSPDTEN2xI-TDCU3eDyqOXgl4tQpN33S1JLJtjGYEXq1Y7aUA-q7B2si*by/1001.CHALINZEMEDIA.jpg?width=650)
MBUNGE WA CHALINZE ATOA WITO KWA MAKAMPUNI YA MAWASILIANO KUSAMBAZA HUDUMA KWA WATEJA WAKE
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9lAVjCyYM84/XtOa3tsexpI/AAAAAAAC6c0/715H_zBA6lsu19WebtBQm0Vck4F1fBtowCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsn31b8bbac671jjte_800C450.jpg)
SPIKA MPYA WA BUNGE LA IRAN ATOA WITO WA KULIPA KIASI KWA MAREKANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9lAVjCyYM84/XtOa3tsexpI/AAAAAAAC6c0/715H_zBA6lsu19WebtBQm0Vck4F1fBtowCLcBGAsYHQ/s400/4bsn31b8bbac671jjte_800C450.jpg)
Ghalibaf, kamanda wa zamani wa kikosi cha anga katika jeshi la walinzi wa mapinduzi ametoa matamshi hayo alipokuwa akitoa hotuba ya kwanza mbele ya bunge la Iran .
Spika huyo aliyechaguliwa hivi karibuni amesema ni lazima Iran ilenge kuondoa uwepo wa majeshi ya Marekani kwenye kanda hiyo na kulipa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ryJ2oI9N-xg/VMZVlVspwCI/AAAAAAAG_mc/pU7kYcfbPeo/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
MAMA TUNU PINDA ATOA WITO KWA WAKULIMA KUTUMIA WATALAMU WA KILIMO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ryJ2oI9N-xg/VMZVlVspwCI/AAAAAAAG_mc/pU7kYcfbPeo/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PqAUFiPxgHA/VMZVlTo0NCI/AAAAAAAG_mY/rMWTankZquk/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Lho4Ub2nUgY/XsIS-3qgqiI/AAAAAAALql4/bKDPpsjwcBwhHC-MqwLy1wtNckdEs4q5wCLcBGAsYHQ/s72-c/91cf4083-463c-4238-94e6-019e38016956.jpg)
PROF. SHEMDOE ATOA WITO KWA HALMASHAURI KUTENGA MAENEO YA UJENZI WA VIWANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Lho4Ub2nUgY/XsIS-3qgqiI/AAAAAAALql4/bKDPpsjwcBwhHC-MqwLy1wtNckdEs4q5wCLcBGAsYHQ/s640/91cf4083-463c-4238-94e6-019e38016956.jpg)
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Bw. Ludovick Nduhiye akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi Idara ya Utawala na Rasilimali watu Wizara ya Viwanda na Biashara Bi. Veronica Nchango ramani ya eneo kwa ajili ya utekelezaji.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/712cf630-8d96-47ee-a743-dd7ca20f2dbe.jpg)
Sehemu ya eneo ambalo Wizara imekabidhiwa kwa ajili ya kufanya utekelezaji.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1f51caa2-5ed3-4b08-8cb9-8823ad6b8c16.jpg)
Kiwanda cha kutengeneza vinywaji cha “KOM Food products “ kinachomilikiwa na mzawa kikiwa katika hatua ya ujenzi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1f66270a-b2d1-4f96-9003-b89bb785cfe1.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akiwa katika moja...
10 years ago
Bongo Movies28 Apr
Natasha Atoa Wito Kwa Makampuni ya Filamu Kufanya Kazi na Watoto Hawa
Staa wa Bongo Movies, Susan Humba ‘Natasha’ amewataka wenye makampuni ya uandaaji wa filamu za bongo kuwatumia watoto wenye vipaji ambao wana ulemavu wa viungo.
Natasha alitoa kauli hiyo kwa watoto hao wenye ulemavu wa viungo wanaosoma Shule ya Sekondari Jangwani, jijini Dar es Salaam, baada ya kuonyesha uwezo wao wa kuigiza mbele yake.
Wanafunzi hao walionesha vipaji vyao mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati wa uzinduzi wa shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation (SVF),...
10 years ago
Dewji Blog01 May
Mratibu wa asasi ya Better Living Aid atoa wito kwa wafanyabiashara wa vifaa vya ujenzi!
Mratibu wa asasi ya kiraia ya Better Living Aid Bw. Mkala Fundikira leo akiwa amavalia fulana ya mkakati wa Imetosha unaopinga mauaji dhidi ya watu wenye ualbino ambao yeye ni mjumbe wa kamati kuu, ametoa wito kwa wafanyabiashara wa vifaa vya ujenzi mjini Tabora waiunge mkono asasi yake inayodhamiria kujenga...
10 years ago
MichuziWaziri Membe atoa wito kwa Watanzania kuwasaidia watu wasiojiweza kwenye jamii
10 years ago
Vijimambo03 Nov
WAZIRI NYALANDU ATOA WITO KWA VIONGOZI WA DINI KUHUSU KUKEMEA UJANGILI NCHINI.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/nyalandu-jan23-2014.jpg)
Na Anitha Jonas – Maelezo.03 Novemba, 2014.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu ametoa wito kwa Viongozi wa dini wote nchini kupaza sauti kwa pamoja kukemea vitendo vya Ujangili pamoja na Uharibifu wa mazingira nchini.
Wito huo ameutoa leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua mkutano wa viongozi wa dini unaolenga kuwaelimisha viongozi hao kutoa elimu kwa waumini wao juu ya kupinga suala la ujangili na kuwasihi juu ya...