Msekwa: Msishangae, Ni kawaida kususia Bunge
>“Sijaweka orodha ya vitabu vya mwaka huu, sijavi-document (sijaviorodhesha) pale.†Hii ni kauli ya mwanasiasa mkongwe, Pius Msekwa ambaye ameshika nyadhifa mbalimbali katika Bunge, chama tawala ambaye katika mahojiano maalum na waandishi wa Mwananchi alikuwa na mengi ya kusema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Chadema yatishia kususia Bunge
Zikiwa zimebaki siku nne kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba mjini Dodoma, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kitasusia bunge hilo, iwapo mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Jaji Warioba hayatazingatiwa.
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Chadema kususia Bunge la Katiba ikiwa...
Wakati Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akisema wabunge wa chama chake watasusia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ikiwa hoja ya kuundwa kwa Serikali tatu itapingwa na wabunge wa CCM, Mwakilishi wa Mji Mkongwe (CUF), Ismail Jussa Ladhu ametaka kuvunjwa kwa Muungano.
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Kakobe: Ninaunga mkono Ukawa kususia Bunge
>Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe ameongeza chumvi katika Mchakato wa Katiba kwa kueleza kuwa anaunga mkono msimamo wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutorejea kwenye awamu ya pili ya vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.
10 years ago
MichuziBUNGE LA VIJANA LAANZA VIKAO VYAKE KATIKA UKUMBI WA MSEKWA BUNGENI DODOMA
Picha na habari na Owen Mwandumbya, Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeandaa Bunge la Vijana linalofanyika Mjini Dodoma kwa siku tatu, ikiwa ni jitihada la kuwajengea uwezo vijana wa vyuo vikuu nchini. Bunge hilo liloanza vikao vyake juzi linalojumuisha Vijana kutoka Vyuo Vikuu 15 vya hapa Nchini vinavyozunguka mkoa wa Dodoma. Bunge hilo linalotarajiwa kumalizika tarehe 3 Desemba, 2014, ni sehemu ya Mpango wa Elimu kwa Umma ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Lowassa: Hali isiyo ya kawaida huibua hatua zisizo za kawaida
WIKI iliyopita niliandika kusema kwamba Edward Lowassa kuhama kutoka chama kilichomlea ilikuwa ni
Jenerali Ulimwengu
11 years ago
GPLUAMUZI ULIOTANGAZWA NA WIZARA YA FEDHA KWA UKAWA BAADA YA KUSUSIA VIKAO VYA BUNGE LA KATIBA
Naibu wake Waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba. Wizara ya Fedha kupitia Naibu wake Waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba wametangaza uamuzi wa kufuta malipo ya Wabunge waliosusia vikao vya mchakato wa Katiba vinavyoendelea Dodoma.
Uamuzi huu umetangazwa ikiwa ni siku ya pili tangu Wajumbe wa Bunge la Katiba Kutoka UKAWA wasusie Shughuli za Bunge la Katiba kwa Madai wamechoka matusi na Kuburuzwa kwenye Bunge hilo.
Hii leo...
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Msishangae, CCM imegeuka kuwa mnara wa Babeli!
Sasa ni dhahiri kwamba mwelekeo wa nchi yetu umetufikisha mahali pabaya. Haya tumeyasema, tumeyaandika, wengine tumeyahubiri, lakini serikali yetu tukufu ya CCM haisikiii.
10 years ago
Bongo529 Jan
Jay Moe: Narudi kitofauti, msishangae mkinisikia kwenye beat kama za akina ASAP Rocky au French Montana
Jay Moe anarudi tena. Hata hivyo ameonya kuwa mashabiki wake wa kitambo wasishtuke sana kumsikia akirap tofauti na walivyomzoea. Akiongea kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, hitmaker huyo wa ‘Kama Unataka Demu’, amedai kuwa baada ya kukaa kimya kwa miaka miwili ambapo alikuwa akifanya mambo ya msingi zaidi kimaisha, hivi karibuni anarejea tena […]
10 years ago
Daily News02 Aug
Msekwa new MoCU Chancellor
Msekwa new MoCU Chancellor
Daily News
Former Speaker of the National Assembly has been appointed Chancellor of Moshi Co-operative University (MoCU). At a ceremony held here on Friday, Mr Pius Msekwa was handed over the mantle by the interim Chancellor, Mr Al Noor Kassum. Mr Msekwa ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania