MSHINDI WA MILIONI 10 KUPATIKANA LEO
![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo9UvMuAiT39MNyzDExp9Cu2tHtz33xSIV0iIGjCVPoF7fD8yJMUnftZUQakaafm*xQx1Fw9KT5VKL3LVWse9VSo/leo.jpg?width=650)
Na Lucy Mgina IMETIMIA! Ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na wasomaji wa Gazeti la Championi kujinyakulia shilingi milioni 10 taslimu, sasa imetimia kwani leo kwenye Viwanja vya Mbagala Zakhem jijini Dar ndiyo itafanyika droo hiyo ya mwisho. Hii ni droo ya mwisho ambapo awali katika droo zilizopita walipatikana washindi mbalimbali wa sofa seti, friji, flat screen na dekoda yake, dinner seti na nyinginezo kibao. Meneja wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E9fEOxuVMyRzMye*nhn*c8ET6znQYD4YkFJWqcXkrWm95064MOL38SXgFCaWeBEX6D204EGRfrY5FWaVt1oW59s6gX94yeZ1/BrazilvsNetherlandsThirdPlaceMatchLiveStreaming.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqo0VtSEbuzozkZjoVjdSC2r1BRJAWk6cPIHLwBWIKHq4g*0xwbqxH2Civ4sfPx5sh21zxdO3j-SAmqNTcY40Y37/BINGWA4.jpg?width=650)
AIRTEL YAKABIDHI MILIONI 50 KWA MSHINDI WA PROMOSHENI YA MIMI NI BINGWA LEO
10 years ago
GPL23 Sep
KUTANA NA MSHINDI WA MILIONI 50 ZA TMT
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKnN3XB3RRFsB8gEzqvs0guFDoy-bR5-QUh08kzridOZIrr5*Ofmd5Lp7quzs0d917KzpYuwCUZLVoLwwVzIcLFW/breakingnews.gif)
MWANAAFA NDIYE MSHINDI WA MILIONI 50 ZA TMT
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Miss Ilala kupatikana leo
9 years ago
Habarileo10 Sep
Mufti Tanzania kupatikana leo
SASA ni rasmi kwamba, Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa kumpata Mufti wa Tanzania unatarajiwa kufanyika leo mjini hapa ukishirikisha wagombea wanne, akiwemo Kaimu Mufti, Shehe Abubakar Zuberi.
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Oxfam kuzawadia mshindi wa Maisha Plus Sh20 milioni
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Miss Albino kupatikana leo usiku
NA GEORGE KAYALA
KUNDI la Mashauzi Classic Modern Taarab linatarajiwa kutoa burudani kali ya kukonga nyoyo za mashabiki watakaoshuhudia shindano la kumsaka mrembo wa watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Miss Albino’, linalofanyika katika Ukumbi wa Msasani Club, jijini Dar es Salaam leo usiku.
Tamasha hilo limeandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation (SVF) kupitia Baraza la Sanaa nchini (Basata).
Mratibu wa tamasha hilo, Fredy Kaula, ambaye pia ni Mwenyekiti wa shirika...