MSIBA READING, UINGEREZA
Jumuiya ya Watanzania Reading tunaendelea kwa majonzi makubwa kuomboleza na kuhani msiba wa mwanafamilia mwenzetu Mama Anna Goodchild, na kuifariji familia nyumbani kwake ktk anuani hii:-
56b St Peter's Road Reading (Wokingham Rd area) RG6 1PHMarehemu Anna Goodchild ataagwa kwa Heshima ya Mwisho-
Siku: Ijumaa ya 06/02/2015.Muda: Saa Nane MchanaAnuani: Kanisa la "Our Lady of Peace"
Wokingham Rd, RG6 7DA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog11 Jul
Pinda akutana na Watanzania waishio Reading Uingereza
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakiongozana na Madona Pemba (kushoto) , mtanzania aishie Uingereza kuelekea kwenye ukmbi wa mikutano ili kuzungumza na watanzania waishio Reading Julai 10, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakisalimiana na baadhi ya watoto na wazazi waliohudhuria mkutano kati yake na watanzania waishio Reading Uingereza.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya mipira kutoka kwa watanzania...
11 years ago
GPLWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO READING UINGEREZA
10 years ago
Michuzi14 Apr
Tangazo la Msiba Leicester, Uingereza
Annur Community Centre Leicester, UK, Inasikitikita kutangaza kifo cha Mume wa Dada Ashura Juma, Bwana Twalib Durrace kilichotokea Jumatatu 13/04/15 Peterborough City Hospital.
Mazishi yatafanya leo Jumanne 14/04/15 hapo Peterborough central Mosque saa Tisa Mchana. Kwa taarifa zaidi tafadhali wasiliana na Abdul Dau 07792104495. Innaa Lillaahi wa Innaa Ilayhi Rajioon.
Khamis Sahal, Mdhamini Jumuia ya Annoor 170a Belgrave Gate, Leicester LE1 3XL.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
11 years ago
TheCitizen20 Jan
Reading is a part of my life
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Worth Reading: Toward Forgiveness!
My teacher always said that forgiving was not an act, but an inner state. Similar to light that falls upon whatever comes in front of it, when we are in a state of forgiving, we forgive anyone, without any judgment. We use the term ‘I have forgiven’; my teacher used to say that the ‘I’ cannot forgive. Forgiveness can only be brought about with the dissolution of ego.
For us, forgiving is an act. We must strive to practice as often as we can. If we can observe ourselves a little, we will see...
11 years ago
TheCitizen01 Apr
Why we are not reading our local literature
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Reading kupambana na Arsenal FA
10 years ago
SPLM Agreement28 Jan
A reading of the Arusha intra
Sudan Tribune
On the 21st of January 2015, the three factions of the SPLM (now calling themselves 'Groups') inked in Arusha, Tanzania, an agreement dubbed “Agreement on the Reunification of the SPLM”. This development comes after negotiations mediated by the ruling ...
S. Sudan upbeat on peace talks after SPLM unity dealTurkish Press
all 2