Tangazo la Msiba Leicester, Uingereza
Annur Community Centre Leicester, UK, Inasikitikita kutangaza kifo cha Mume wa Dada Ashura Juma, Bwana Twalib Durrace kilichotokea Jumatatu 13/04/15 Peterborough City Hospital.
Mazishi yatafanya leo Jumanne 14/04/15 hapo Peterborough central Mosque saa Tisa Mchana. Kwa taarifa zaidi tafadhali wasiliana na Abdul Dau 07792104495. Innaa Lillaahi wa Innaa Ilayhi Rajioon.
Khamis Sahal, Mdhamini Jumuia ya Annoor 170a Belgrave Gate, Leicester LE1 3XL.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi27 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vB5vx8zHAEE/U56oMw9twbI/AAAAAAAAj5Q/uUa1pjQyDYA/s72-c/unnamed.jpg)
TANGAZO LA MSIBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-vB5vx8zHAEE/U56oMw9twbI/AAAAAAAAj5Q/uUa1pjQyDYA/s1600/unnamed.jpg)
MAZISHI YATAKUWA SIKU YA ALHAMISI YA TAREHE 18/6/2014 SAA 10 JIONI MAKABURI YA KINONDONI DAR ES SALAAM,
IBADA YA MISA ITAFANYIKA KANISA LA KATOLIKI MUHIMBILI SAA 7 MCHANA NA HESHIMA ZA MWISHO ZITATOLEWA HAPO.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ynq7GV_Qzss/U2Z3BzYhEJI/AAAAAAAFfWk/t0WkZq4_Y18/s72-c/unnamed+(55).jpg)
Tangazo la Msiba Philadelphia na New York
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ynq7GV_Qzss/U2Z3BzYhEJI/AAAAAAAFfWk/t0WkZq4_Y18/s1600/unnamed+(55).jpg)
Kwa maana hiyo na kwa sababu msiba huu umetokea ghafla na kwa sababu ni Mtanzania mwenzetu tunaomba tusaidiane ili tuweze kufanikisha shughuli za msiba huu...
10 years ago
Vijimambo17 Apr
TANGAZO LA MSIBA DMV NA TANZANIA
Hapa DMV msiba upo 706 Chillum Rd, Apt 201, Hyttsville, MD 20783
Kupena pole na kufarijiana ndio malezi tuliyokulia ikiwemo upendo na ukarimu. Ukipata muda tafadhali pitia nyumbani kwa mfiwa utoe mkono wa pole au unaweza kumpigia simu 301 272 5922
Bwana ametoa, bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-s_552QVGr9s/ViT-_1dCRJI/AAAAAAAAa_k/CiOBVyMaBgc/s72-c/12079492_969885916390465_6005675068092636352_n.jpg)
TANGAZO LA MSIBA CHICAGO NA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-s_552QVGr9s/ViT-_1dCRJI/AAAAAAAAa_k/CiOBVyMaBgc/s640/12079492_969885916390465_6005675068092636352_n.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
Tangazo la msiba Tanzania na Marekani
DR. ALI MZIGE wa Mikocheni, Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha Dada yake MRS MARIAMU -MWAJUMA MUSISA (NEE MZIGE) kilichotokea Raleigh, North Carolina Marekani tarehe 21-06-2015. Mwili wa marehemu utaletwa Tanzania kwa ajili ya mazishi.
Tutatoa taarifa zaidi mwili utakapowasili. Kwa mawasiliano tafadhali mpigie Yussuf Mhiro 0754-609-338 / 0714-979-014.Usoma taarifa hii tafadhali wajulishe ndugu jamaa na marafiki wa Ukoo wa Humbi Ziota na Musisa. Au Kaka wa Marehemu DR. ALI A....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wX_bfcjAKAY/VNj5ty7qwgI/AAAAAAAHCrc/YPlDn7NAZ7w/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
TANGAZO LA MSIBA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-wX_bfcjAKAY/VNj5ty7qwgI/AAAAAAAHCrc/YPlDn7NAZ7w/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
Mipango ya Mazishi inafanywa nyumbani kwa mtoto wa Marehemu Tegeta Mivumoni Dar es Salaam.
Habari ziwafikie Marko Ruwaichi Lyimo na nduguze wa Kilombero Morogoro, Vera na Jessie Mpanda wa Mwanza , Filex na Ajuae Lyimo wa Marangu Moshi na Eliwangu Jamhuri wa Arusha. Ukoo wa Yobu Lyimo, Shoo wa Machame, Mbuya, Mtui, Makundi ndg jamaa...
10 years ago
VijimamboTangazo la msiba Marekani na Tanzania:
Familia ya Mang'ulo na ndugu Isaac Kibodya wanasikitika kutangaza kifocha bwana Abbas Khalfani Mang'ulo (68) ambaye ni baba mzazi wa KhajatSwalha Kibodya, mke wa bwana Isaac Kibodya kilichotokea Bagamoyo,Tanzania. Mazishi yamefanyika leo mchana huko Msata, Mkoa waPwani. kwa hapa Marekani msiba upo nyumbani kwa bwana na bibi Kibodya58 Vail Street, Springfield, Mass. Dua imepangwa kufanyika JumapiliJulai 19 Masjid Al Baqi 148 Fort Pleasant Avenue, Springfield, Masskuanzia saa 10...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5JuP90KUF5M/Vi94CawZRoI/AAAAAAAAiGU/UCdXEOQjKXg/s72-c/IMG_20151027_160805.jpg)
TANGAZO LA MSIBA WA MAMA JUDITH TARIMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-5JuP90KUF5M/Vi94CawZRoI/AAAAAAAAiGU/UCdXEOQjKXg/s640/IMG_20151027_160805.jpg)
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Ukonga-Mombasa jijini Dar es salaam na Rombo Mahida, Mkoani Kilimanjaro.
Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki wote wa ukoo wa Tarimo na Shayo, popote pale walipo.
Mwili wa marehemu unataraji kuagwa Oktoba 28, 2015 kabla ya kusafirishwa siku...