MSIGWA AMFAGILIA RAIS KIKWETE
![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCjgcidvTUf37AeesE8iBxCj7bHB-XfAgMXgvUePYFFXSLQ756kGJwvNo1YWJ9JxqLRLaT7pR*xOnsEogR85F14N/picha2.jpg?width=650)
Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Mh.Peter Msigwa. Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Mh.Peter Msigwa amefanya mkutano hapo jana katika viwanja vya Mwembetogwa, mkoani humo. Mkutano huo ambao ulikuwa wa kufungia mwaka 2013, Msigwa pia aliutumia mkutano huo kwa kuwapongeza baadhi ya mawaziri ambao utendaji kazi wao unaonekana kuwa mzuri, akiwemo  Waziri wa Wizara ya Maji na Naibu Wake...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Dec
Profesa Jay amfagilia Rais Magufuli
MBUNGE wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, Joseph Haule maarufu ‘Profesa Jay’, amempongeza Rais John Magufuli, kwa kusikia kilio cha wasanii na kuunda Wizara ya Habari iliyozingatia masuala ya Utamaduni, Wasanii na Michezo.
9 years ago
Habarileo11 Dec
Mbunge wa Chadema amfagilia Rais Magufuli
MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Mara, Joyce Sokombi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amempongeza Rais John Magufuli, kwa kasi yake ya kuwawajibisha watu na watumishi wa serikali wanaojinufaisha na mali ya umma.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm*xx1q07EMAHIS3E9fseS25S1BcAGAgRp3VxUnz4R13Z15cTBpvnrhyC4R-WAjIUNrcTSQl6SEH00z2xMMCqDX*/tamashadom6.jpg?width=650)
UZINDUZI WA WIMBO WA TUULINDE MUUNGANO, RAIS JK AMFAGILIA DIAMOND
9 years ago
VijimamboDK.MAGUFULI ASEMA WAPINZANI WANUNE, WACHEKE YEYE NDIYE RAIS 2015, AMFAGILIA NAPE MTAMA
Akihutubia mjini Mtama, amesema kuwa Wapinzani Wanune, Wacheke yeye ndiye Rais 2015 na atahakikisha anafanya kazi kwa kuwaletea mafanikio watanzania.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CwylSvEmP6E/XsffX2UIfyI/AAAAAAALrTE/-YW0k4ipdHgDHuMTCvUTUdoGnGXk5OuwwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200522-WA0048.jpg)
OLE MILLYA AMFAGILIA RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU MAZISHI YA HESHIMA KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwylSvEmP6E/XsffX2UIfyI/AAAAAAALrTE/-YW0k4ipdHgDHuMTCvUTUdoGnGXk5OuwwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200522-WA0048.jpg)
******************************
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, James Ole Millya amempongeza Rais John Magufuli kwa hatua yake ya kuruhusu maziko kufanyika kwa heshima tofauti na awali watu 10 ndiyo walikuwa wanamzika mtu...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FzKN1tywSG8/XmopGiy_s7I/AAAAAAALixI/BaV_wiiiqQ4jlUeY9D7b9N94WSknDaguwCLcBGAsYHQ/s72-c/MSIGWA%252BPIC.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: RAIS MAGUFULI AMNUSURU KIFUNGO MBUNGE WA IRINGA MJINI PETER MSIGWA,AMLIPIA FAINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FzKN1tywSG8/XmopGiy_s7I/AAAAAAALixI/BaV_wiiiqQ4jlUeY9D7b9N94WSknDaguwCLcBGAsYHQ/s640/MSIGWA%252BPIC.jpg)
Hatua hiyo imefikiwa leo Machi 12,2020 baada ya familia kwenda kuomba msaada kwa Rais Magufuli baada ya wao kuchangishana na kufanikiwa kupata sh. Milioni mbili tu na kushindwa kutimiza fedha hizo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8cUZCbzQE7Y/XuX5MAXKM5I/AAAAAAALtx0/xRorJUptMFUxzv2m9PsARv6ntEQ8PjyjQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.45.32%2BPM.jpeg)
JOTO LA URAIS CHADEMA LAPAMBA MOTO, MCH MSIGWA ATAJA MAMBO MATATU ATAKAYOYAFANYA AKIWA RAIS
Charles James, Michuzi TV
UCHUMI imara, kusimamia utawala bora na kuboresha elimu nchini, ndivyo vipaumbele vitatu ambavyo Mtia nia wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mch Peter Msigwa amevitaja.
Mch Msigwa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini ametangaza rasmi nia yake hiyo ya kugombea Urais kupitia Chadema leo jijini Dodoma ambapo pia alisindikizwa na wabunge wenzake, Godbless Lema, Joseph Mbilinyi 'Sugu' Hawa Mwaifunga na John Heche.
Akizungumza na wandishi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xQP30VmWEzo/XmowkS2MQiI/AAAAAAALixs/M0dG3YtMvmA-mr9GFRaL1bF7psp9TfqvACLcBGAsYHQ/s72-c/D3EdG2vWoAA5Gy4.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AMNUSURU KIFUNGO MBUNGE WA IRINGA MJINI PETER MSIGWA,AMLIPIA SHILINGI MILIONI 38
![](https://1.bp.blogspot.com/-xQP30VmWEzo/XmowkS2MQiI/AAAAAAALixs/M0dG3YtMvmA-mr9GFRaL1bF7psp9TfqvACLcBGAsYHQ/s640/D3EdG2vWoAA5Gy4.jpg)
Hatua hiyo imefikiwa leo Machi 12,2020 baada ya familia kwenda kuomba msaada kwa Rais Magufuli kufuatia wao kuchangishana na kufanikiwa kupata sh. Milioni mbili tu na kushindwa kutimiza...