Msikieni Kajala Masanja
STAA wa filamu za Bongo, kajala Masanja amesema kuwa kwa sasa hataki ugomvi na mtu kwani hauwezi kumletea maendeleo katika kazi zake hivyo anaangalia nini afanye ili apate mafanikio kupitia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JCVRBTTob5naLzp740ZVwn3yk7Gs6sDZeawQxH1f4QFPo8RF33UY1Gr73oBgNemBHkOyiojq7tf4w4W3JkB**D91IBsVTxDR/KAJALA1.jpg)
KAJALA MASANJA ANYWESHWA SUMU
10 years ago
VijimamboHUYU NDIYO KAJALA MASANJA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB-bolz0a9UsBLHMSIhHUpH7X0ZvYVO2WBCuus72pD3FpkcIGDrMW7lM5OauqPA-NjWsMNmZIAeJ*5z-xLlI6YN3/masanja.jpg?width=650)
UTAJIRI WA MASANJA KUFURU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxzfAYyFd1ab5MHUtsWNgp5DQPVmNcQiU4VAjXRvktJZI*YzFBvJpXHzfSPPzMiE4yWxYyIPRHyjUVMHr4-8mX5K/BARUANZITO.jpg)
MASANJA NI VIZURI UKACHAGUA MOJA!
9 years ago
Global Publishers04 Jan
TRA wampa presha Masanja
Mwimba nyimbo za Injili na mchungaji, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji.
MUSA MATEJA
2016, kazi imepamba moto! Zoezi linaloendelea kufanywa na maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) la kuhakikisha kila mtu analipa kodi inavyotakiwa ili kuipa hazina mapato, sasa limetua kwa mchekeshaji, mwimba nyimbo za Injili na mchungaji, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji,’ tembea na Ijumaa Wikienda.
Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, mfanyakazi mmoja wa TRA Tawi la...
9 years ago
Bongo Movies06 Nov
Masanja Ajitosa Kumrithi Filikunjombe
Wagombea tisa wakiwemo mdogo wa marehemu Deo Filikunjombe na mchekeshaji Masanja Mkandamizaji wamejitosa kuwania ubunge wa jimbo la Ludewa, mkoani Njombe kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Uchaguzi wa kumpata mbunge wa jimbo hilo ulilazimika kuahirishwa baada ya kutokea kifo cha aliyekuwa mbunge na mgombea wa jimbo hilo kupitia CCM, Deogratius Filikunjombe.
Miongoni mwa waliojitokeza kwenye kinyang’anyiro hicho ndani ya CCM ni mdogo wa marehemu, Philipo Filikunjombe na msanii wa...